Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamke aliyebadili dini apata utetezi

Afisa mwandamizi katika wizara ya maswala ya kigeni nchini Sudan amesema kuwa mwanamke aliyepewa hukumu ya kifo kuwachiliwa huru.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Aliyebadili dini S.kusini aenda Italia

Mwanamke wa Sudani kusini aliyehukumiwa adhabu ya kifo kwa kilichoelezwa kosa la kubadili dini asafirishwa kwenda Italia

 

11 years ago

CloudsFM

Mwanamke aliyeasi dini akamatwa tena

Taarifa kutoka nchini Sudan zinasema kuwa mwanamke aliyeachiliwa hapo jana kwa kosa la kuasi dini amekamatwa tena.
Mwanamke huyo Meriam Ibrahim, alikuwa amehukumiwa kifo kwa kosa la kuolewa na mwanamume mkristo na kukana dini ya kiisilamu alikamatwa akiwa na familia yake katika uwanja wa ndege mjini Khartoum.

Watu waliomkata walikuwa wamevalia mavazi ya kiraia ingawa wanaaminika kuwa wanajeshi wa serikali.
Duru zinasema kuwa Meriam Ibrahim aliyejifungulia jela alikuwa anajiandaa kuondoka...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamke 'aliyeasi dini' awasili Marekani

Mwanamke wa Sudan aliyetoroka kutoka nchini humo baada ya kunusurika hukumu ya kifo kwa kosa la ‘kuasi dini ya kiislamu’,Meriam Yahia Ibrahim Ishag, amewasili Marekani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamke aliyeasi dini achiliwa tena

Mwanamke wa Sudan aliyehukumiwa kifo kwa madai ya kuasi dini ya kiislam ameachiliwa huru baada ya kushikiliwa kwa mara ya pili.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamke aliyeasi dini 'ameghushi' hati

Mwanasheria wa mwanamke wa Sudan aliyeasi dini ya Kiislam , amesema mteja wake anatuhumiwa kwa kughushi nyaraka za safari.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanamke aliyekana dini kuanza kampeni

Mwanamke wa Sudan aliyehukumiwa kifo kwa kuikana dini ya kiislamu ameonekana hadharani nchini Marekani.

 

10 years ago

Vijimambo

MEMBE APATA BARAKA ZA VIONGOZI WA DINI KUGOMBEA URAIS WA TANZANIA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akizungumza na viongozi wa dini ya kiislam wa Mtwara mjini jana jioni, wakati wa dua maalum iliyoandaliwa na viongozi hao kwa ajili ya kumtakia kheri katika safari yake ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Aliyekaa (kushoto) ni Sheikh wa Mkoa wa Mtwara, Dk. Nurdin Abdallah Mangochi. Picha zote na John Badi Waziri wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamke kunyongwa kwa kuasi dini Sudan

Mahakama nchini Sudan imemhukumu kifo mwanamke mmoja anayedaiwa kubadili dini yake na kuolewa na mwanamume mkristo.

 

10 years ago

Vijimambo

WANACCM 78, 500 WA MKOWA WA PWANI WAMDHAMINI MH. LOWASSA, APATA BARAKA ZA VIONGOZI WA DINI

Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akisaini kitabu cha wageni wakati alipowasili kwenye Ofisi za CCM Mkoa wa Pwani, leo Juni 28, 2015, kabla ya kuelekea kwenye Ofisi CCM Wilaya ya Kibaha Mjini kukabidhiwa orodha ya majina ya WanaCCM waliomdhani ili apate ridhaa ya chama chake kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Jumla ya WanaCCM 78, 500 wamdhamini Mh. Lowassa, Mkoani Pwani. Kushoto ni Mkewe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani