Aliyebadili dini S.kusini aenda Italia
Mwanamke wa Sudani kusini aliyehukumiwa adhabu ya kifo kwa kilichoelezwa kosa la kubadili dini asafirishwa kwenda Italia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili01 Jun
Mwanamke aliyebadili dini apata utetezi
9 years ago
Bongo506 Nov
Ben Pol aenda Afrika Kusini kushoot video na Justin Campos
![Ben na Campos2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ben-na-Campos2-300x194.jpg)
Ben Pol ameongezeka kwenye orodha (inayozidi kuwa ndefu) ya wasanii wa Tanzania wenye mipango au walioishaenda Afrika Kusini kushoot video zao za muziki.
Ben Pol akiwa na Justin Campos na timu yake na Rossie M Afrika Kusini
King wa RnB ameamua kufunga safari kwenda Johannesburg kwaajili ya kushoot video ya wimbo wake mpya ‘Ningefanyaje’ aliowashirikisha Avril wa Kenya na msanii mpya Rossie M, ambayo amechagua kufanya na director Justin Campos wa Gorilla Films.
Kwanini kamchagua Justin Campos...
9 years ago
Bongo525 Nov
Hanscana aenda Afrika Kusini kutafuta connection za kimataifa na kuongeza ujuzi kwa Justin Campos (picha)
![Hanscana na campos-5](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Hanscana-na-campos-5-300x194.jpg)
Muongozaji na mtayarishaji wa video Hanscana yuko nchini Afrika Kusini, alikoenda kwaajili ya kuongeza ujuzi pamoja na kutafuta connection za kuwezesha kazi zake zifike kwenye vituo vya runinga vya kimataifa.
Hanscana akiwa an Justin Campos na mkewe Candice
Wiki hii Hanscana amekuwa akipost picha mbalimbali Instagram akiwa na director Justin Campos na mke wake Candice Campos ambaye pia ni producer wa video wa kampuni ya Gorilla Films.
Hanscana amepiga story na Bongo 5 na ametueleza...
10 years ago
StarTV08 Oct
Aliyebadili jinsia ashinda kesi.
Mwanamke aliyebadili jinsia yake ya kiume na kuwa mwanamke na kutaka jina lake kubadilishwa kwenye cheti chake cha mtihani ameshinda kesi yake dhidi ya baraza la kitaifa la mitihani nchini Kenya.
Mahakama imelazimisha baraza hilo kumpa Adrey Mbugua cheti kipya kinachoonyesha hali yake mpya ya kijinsia hasa kwa kuwa anapokea matibabu ya kufanikisha jinsia yake kubadilika kabisa.
Bi Mbugua alilishitaki baraza la kitaifa la mitihani nchini humo kwa kukataa kubadililisha utambulisho wa...
10 years ago
BBCSwahili07 Oct
Aliyebadili jinsia ashinda kesi Kenya
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Mkenya aliyebadili jinsia ashinda kesi
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Korti yaamuru aliyebadili jinsi apewe cheti kipya
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QGAL97PIhPA/VLpX0nISEgI/AAAAAAAG9-w/giB02-NwJuY/s72-c/DSC_0801.jpg)
VIONGOZI WA DINI WAKEMEA MAOVU YANAYOFANYWA KWA MGONGO WA DINI
Viongozi wa dini za kiislaam na kikristo wamesema dini ni za unyenyekevu na sio za kufanya maovu,ikitokea mtu mmoja katika imani anafanya maovu ni lazima akemewe ndani ya imani yake kwanza.
Wameyasema hayo leo katika kongamano la kujadili madhara ya misimamo mikali ya imani za kidini (Tafkiri) katika jamii na taifa lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa kufungua kongamano hilo Katibu wa Taasisi za...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QU0zdsqrHtY/VSacN4_K5FI/AAAAAAAHP38/smj7f3kpomU/s72-c/unnamed%2B(72).jpg)
Mangula awataka viongozi wa dini wasiwapotoshe wananchi kuhusiana na kuwapo kwa masuala ya dini katika katiba pendekezwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-QU0zdsqrHtY/VSacN4_K5FI/AAAAAAAHP38/smj7f3kpomU/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ypr5eRsgCsY/VSacSUg99UI/AAAAAAAHP4E/fhX5DK68_QQ/s1600/unnamed%2B(71).jpg)
Na Furaha Eliab, Njombe
MAKAMU mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) - Bara, Philip Mangula amesema kuwa viongozi...