Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyebadili dini S.kusini aenda Italia

Mwanamke wa Sudani kusini aliyehukumiwa adhabu ya kifo kwa kilichoelezwa kosa la kubadili dini asafirishwa kwenda Italia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamke aliyebadili dini apata utetezi

Afisa mwandamizi katika wizara ya maswala ya kigeni nchini Sudan amesema kuwa mwanamke aliyepewa hukumu ya kifo kuwachiliwa huru.

 

9 years ago

Bongo5

Ben Pol aenda Afrika Kusini kushoot video na Justin Campos

Ben na Campos2

Ben Pol ameongezeka kwenye orodha (inayozidi kuwa ndefu) ya wasanii wa Tanzania wenye mipango au walioishaenda Afrika Kusini kushoot video zao za muziki.

Ben na Campos2
Ben Pol akiwa na Justin Campos na timu yake na Rossie M Afrika Kusini

King wa RnB ameamua kufunga safari kwenda Johannesburg kwaajili ya kushoot video ya wimbo wake mpya ‘Ningefanyaje’ aliowashirikisha Avril wa Kenya na msanii mpya Rossie M, ambayo amechagua kufanya na director Justin Campos wa Gorilla Films.

Kwanini kamchagua Justin Campos...

 

9 years ago

Bongo5

Hanscana aenda Afrika Kusini kutafuta connection za kimataifa na kuongeza ujuzi kwa Justin Campos (picha)

Hanscana na campos-5

Muongozaji na mtayarishaji wa video Hanscana yuko nchini Afrika Kusini, alikoenda kwaajili ya kuongeza ujuzi pamoja na kutafuta connection za kuwezesha kazi zake zifike kwenye vituo vya runinga vya kimataifa.

Hanscana na campos-5
Hanscana akiwa an Justin Campos na mkewe Candice

Wiki hii Hanscana amekuwa akipost picha mbalimbali Instagram akiwa na director Justin Campos na mke wake Candice Campos ambaye pia ni producer wa video wa kampuni ya Gorilla Films.

Hanscana amepiga story na Bongo 5 na ametueleza...

 

10 years ago

StarTV

Aliyebadili jinsia ashinda kesi.

Mwanamke aliyebadili jinsia yake ya kiume na kuwa mwanamke na kutaka jina lake kubadilishwa kwenye cheti chake cha mtihani ameshinda kesi yake dhidi ya baraza la kitaifa la mitihani nchini Kenya.

 
Mahakama imelazimisha baraza hilo kumpa Adrey Mbugua cheti kipya kinachoonyesha hali yake mpya ya kijinsia hasa kwa kuwa anapokea matibabu ya kufanikisha jinsia yake kubadilika kabisa.

 
Bi Mbugua alilishitaki baraza la kitaifa la mitihani nchini humo kwa kukataa kubadililisha utambulisho wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliyebadili jinsia ashinda kesi Kenya

Mwanamke aliyebadili jinsia yake ya kiume na kuwa mwanamke na kutaka jina lake kubadilishwa kwenye cheti chake ameshinda kesi Kenya

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkenya aliyebadili jinsia ashinda kesi

Mahakama imemruhusu kubadilisha majina katika vyeti vyake vya mitihani ya elimu ya juu kutoka Andrew na kuwa Audrey.

 

10 years ago

Mwananchi

Korti yaamuru aliyebadili jinsi apewe cheti kipya

Mahakama Kuu ya Kenya imeliamuru Baraza Kuu la Mitihani nchini humo (KNEC), libadilishe jina kwenye cheti cha mlalamikaji wa kiume ambaye amekuwa akipigania atambuliwe kuwa mwanamke.

 

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA DINI WAKEMEA MAOVU YANAYOFANYWA KWA MGONGO WA DINI

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii Dar
Viongozi wa dini za kiislaam na kikristo wamesema dini ni za unyenyekevu na sio za kufanya maovu,ikitokea mtu mmoja katika imani anafanya maovu ni lazima akemewe ndani ya imani yake kwanza.
Wameyasema hayo leo katika kongamano la kujadili madhara ya misimamo mikali ya imani za kidini (Tafkiri) katika jamii na taifa lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa kufungua kongamano hilo Katibu wa Taasisi za...

 

10 years ago

Michuzi

Mangula awataka viongozi wa dini wasiwapotoshe wananchi kuhusiana na kuwapo kwa masuala ya dini katika katiba pendekezwa

Makamu Mwenyekiti wa CCM bara, Philip Mangulla akizungumza na wanafunzi na waalimu wa shule ya Hagafilo mkoani Njombe kuhusiana na katiba pendekezwa na utofauti kati ya katiba pendekezwa na ya sasa. wanafunzi na waalimu wakimsikiliza Makamu mwenyekiti wa CCM bara Philip Mangula juzi wakati akiwapa ufafanuzi wa katiba Pendekezwa.(picha na furaha eliabu wa www.eliabu.blogspot.com)
Na Furaha Eliab, Njombe
MAKAMU mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) - Bara, Philip Mangula amesema kuwa viongozi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani