Aliyebadili jinsia ashinda kesi Kenya
Mwanamke aliyebadili jinsia yake ya kiume na kuwa mwanamke na kutaka jina lake kubadilishwa kwenye cheti chake ameshinda kesi Kenya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV08 Oct
Aliyebadili jinsia ashinda kesi.
Mwanamke aliyebadili jinsia yake ya kiume na kuwa mwanamke na kutaka jina lake kubadilishwa kwenye cheti chake cha mtihani ameshinda kesi yake dhidi ya baraza la kitaifa la mitihani nchini Kenya.
Mahakama imelazimisha baraza hilo kumpa Adrey Mbugua cheti kipya kinachoonyesha hali yake mpya ya kijinsia hasa kwa kuwa anapokea matibabu ya kufanikisha jinsia yake kubadilika kabisa.
Bi Mbugua alilishitaki baraza la kitaifa la mitihani nchini humo kwa kukataa kubadililisha utambulisho wa...
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Mkenya aliyebadili jinsia ashinda kesi
10 years ago
Vijimambo07 Oct
ALIYEJIBADILI JINSIA ASHINDA KESI HUKO KENYA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/590/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/07/141007152134_audrey_mbugua_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Mwanamke aliyebadili jinsia yake ya kiume na kuwa mwanamke na kutaka jina lake kubadilishwa kwenye cheti chake cha mtihani ameshinda kesi yake dhidi ya baraza la kitaifa la mitihani nchini Kenya.Mahakama imelazimisha baraza hilo kumpa Adrey Mbugua cheti kipya kinachoonyesha hali yake mpya ya kijinsia hasa kwa kuwa anapokea matibabu ya kufanikisha jinsia yake kubadilika kabisa.
Bi Mbugua alilishitaki...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3v9ncL00ffs/VJf72HR2AtI/AAAAAAAAC9Q/TGFD34WTT44/s72-c/image.jpg)
NEWZ ALERT:JOHNSON LUKAZA WA KESI YA EPA ASHINDA KESI
![](http://2.bp.blogspot.com/-3v9ncL00ffs/VJf72HR2AtI/AAAAAAAAC9Q/TGFD34WTT44/s640/image.jpg)
Na Happiness Katabazi (UB)HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imemwachilia huru Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Johnson Lukaza na mdogo wake Mwesiga Lukaza waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa Sh.Bilioni Sita Katika Akaunti ya Madeni ya Nje ya Benki Kuu(EPA), baada ya kumuona Hana hatia Katika Kesi iliyokuwa ikimkabili.
Hukumu hiyo Imetolewa Jaji wa Mahakama Kuu Edson Mkasimongwa aliyekuwa alisaidia na Hakimu Mkazi Pamela Mazengo....
10 years ago
BBCSwahili28 Apr
Kesi ya ndoa za jinsia moja kusikizwa US
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55KiH43HCyRhGra4kghQuB3fEtcvjfWnKxFRydC79l38GwLfTNi1JWs4jt3jSlE5vpmrGfijmp1B6S0o*tnE0TXy/13.gif)
LIYUMBA ASHINDA KESI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u-nuBgwJg3xglYvB3JhuOC2B5fVV2Gqe7RSAzOmucYKltrKJ1o6X1HMwY3*E3wbscYpkZZfepnZqM3-RVMyObcjR3YwKkhBK/lwakatare.jpg)
LWAKATARE ASHINDA KESI YA UGAIDI
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Muislamu wa US ashinda kesi ya Hijab