Korti yaamuru aliyebadili jinsi apewe cheti kipya
Mahakama Kuu ya Kenya imeliamuru Baraza Kuu la Mitihani nchini humo (KNEC), libadilishe jina kwenye cheti cha mlalamikaji wa kiume ambaye amekuwa akipigania atambuliwe kuwa mwanamke.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Korti yaamuru maiti kufukuliwa
MGOGORO wa kugombea mwili wa marehemu, Stephen Assei (52) umechukua sura mpya baada ya askari polisi wenye silaha za moto wakiwemo askari kanzu kusimamia zoezi la ufukuaji wa kaburi na...
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Korti yaamuru wamiliki IPTL wasibughudhiwe
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imeiamuru Benki ya Standard Chartered ya Hong Kong (SCBHK) na Shirika la Usambazaji Umeme Tanzania (Tanesco) kuacha kuingilia utulivu, umiliki, usimamizi na utawala wa mitambo ya...
10 years ago
Habarileo02 Apr
Korti yaamuru mtuhumiwa Escrow akamatwe
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetoa hati ya kukamatwa kwa Mkurugenzi wa Sheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa Mujunangoma anayekabiliwa na kesi ya kupokea Sh milioni 323.4, kwa kuwa hajafika mahakamani.
10 years ago
StarTV08 Oct
Aliyebadili jinsia ashinda kesi.
Mwanamke aliyebadili jinsia yake ya kiume na kuwa mwanamke na kutaka jina lake kubadilishwa kwenye cheti chake cha mtihani ameshinda kesi yake dhidi ya baraza la kitaifa la mitihani nchini Kenya.
Mahakama imelazimisha baraza hilo kumpa Adrey Mbugua cheti kipya kinachoonyesha hali yake mpya ya kijinsia hasa kwa kuwa anapokea matibabu ya kufanikisha jinsia yake kubadilika kabisa.
Bi Mbugua alilishitaki baraza la kitaifa la mitihani nchini humo kwa kukataa kubadililisha utambulisho wa...
10 years ago
BBCSwahili07 Oct
Aliyebadili jinsia ashinda kesi Kenya
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Mkenya aliyebadili jinsia ashinda kesi
11 years ago
BBCSwahili24 Jul
Aliyebadili dini S.kusini aenda Italia
11 years ago
BBCSwahili01 Jun
Mwanamke aliyebadili dini apata utetezi
10 years ago
Michuzi19 Jun