Korti yaamuru mtuhumiwa Escrow akamatwe
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetoa hati ya kukamatwa kwa Mkurugenzi wa Sheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa Mujunangoma anayekabiliwa na kesi ya kupokea Sh milioni 323.4, kwa kuwa hajafika mahakamani.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-458Ms4tp0t8/XqlZaIq0-bI/AAAAAAALoiw/fjdqpD68CtMFDePeZ6OPb0NROa5FfYmiACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2018-11-02%2Bat%2B14.06.41.jpeg)
Mahakama yaamuru Zitto akamatwe, hukumu yake mwezi ujao
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetoa hati ya kukamatwa kwa Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe kupitia tiketi ya Chama cha ACT- Wazalendo, baada ya kushindwa kufika mahakamani hapo bila ya kutoa taarifa yoyote.
Amri hiyo, imetolewa leo Aprili 29,2020 na Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kupangiwa tarehe ya hukumu, kufuatia upande wa mashtaka kufunga kesi yao na mshtakiwa Zitto kumaliza kujitetea.
Aidha mahakama imesema,...
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Korti yaamuru maiti kufukuliwa
MGOGORO wa kugombea mwili wa marehemu, Stephen Assei (52) umechukua sura mpya baada ya askari polisi wenye silaha za moto wakiwemo askari kanzu kusimamia zoezi la ufukuaji wa kaburi na...
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Korti yaamuru wamiliki IPTL wasibughudhiwe
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imeiamuru Benki ya Standard Chartered ya Hong Kong (SCBHK) na Shirika la Usambazaji Umeme Tanzania (Tanesco) kuacha kuingilia utulivu, umiliki, usimamizi na utawala wa mitambo ya...
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Korti yaamuru aliyebadili jinsi apewe cheti kipya
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Mahakama: Mtuhumiwa kesi ya twiga akamatwe
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Mtuhumiwa wa Escrow abadilishiwa mashtaka
10 years ago
Habarileo21 Jan
Mtuhumiwa wa Escrow apata dhamana
MENEJA Misahama ya Kodi TRA, Kyabukoba Mutabingwa anayekabiliwa na kesi ya kupokea rushwa ya Sh bilioni 2 ikiwa ni sehemu ya fedha zilizokuwa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow amepata dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
10 years ago
Habarileo10 Mar
Mtuhumiwa fedha za Escrow ajichanganya
MKURUGENZI Mdhibiti Uchumi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA), Dk James Diu, amejichanganya mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, kuhusu matumizi halisi ya fedha alizozipokea kutoka kwa James Rugemalira ambazo ni Sh milioni 80.8.
10 years ago
Habarileo10 Feb
Mtuhumiwa sakata la Escrow kizimbani leo
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo inatarajia kumsomea maelezo ya awali Mkurugenzi wa Sheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa Mujunangoma anayekabiliwa na kesi ya kupokea Sh milioni 323.4 ambazo ni sehemu ya fedha zilizokuwa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.