Mahakama yaamuru Zitto akamatwe, hukumu yake mwezi ujao
![](https://1.bp.blogspot.com/-458Ms4tp0t8/XqlZaIq0-bI/AAAAAAALoiw/fjdqpD68CtMFDePeZ6OPb0NROa5FfYmiACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2018-11-02%2Bat%2B14.06.41.jpeg)
Na Karama Kenyunko, Michuzi TV.
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetoa hati ya kukamatwa kwa Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe kupitia tiketi ya Chama cha ACT- Wazalendo, baada ya kushindwa kufika mahakamani hapo bila ya kutoa taarifa yoyote.
Amri hiyo, imetolewa leo Aprili 29,2020 na Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kupangiwa tarehe ya hukumu, kufuatia upande wa mashtaka kufunga kesi yao na mshtakiwa Zitto kumaliza kujitetea.
Aidha mahakama imesema,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-koIWeQf8XPA/XleoLAF_1RI/AAAAAAALfqw/MkitxvjK4M8PRNmI6O805F2kozjgbxPUQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-27%2Bat%2B14.28.26.jpeg)
Mahakama kupokea hoja za Rugemalila za kutaka aachiwe mwezi ujao
![](https://1.bp.blogspot.com/-koIWeQf8XPA/XleoLAF_1RI/AAAAAAALfqw/MkitxvjK4M8PRNmI6O805F2kozjgbxPUQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-27%2Bat%2B14.28.26.jpeg)
MAHAKAMA ya Mkazi Kisutu imeruhusu kupokelewa kwa hoja za maombi ya mfanyabiashara James Rugemarila ya kutaka asiondolewe katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili yeye na wenzake wawili
Wakili wa Serikali Mwandamizi Wankyo Simon leo Februari 27, 2020 amedai mbele ya hakimu Hakimu Mkazi Mkuu Huruma Shaidi kuwa kesi hiyo ilikuja kwa kutajwa na upelelezi bado haujakamilika hivyo aliomba tarehe nyingine ya kutajwa.
Hata hivyo, wakili wa utetezi John Chuma anayemwakilisha Rugemarila alidai...
10 years ago
Habarileo02 Apr
Korti yaamuru mtuhumiwa Escrow akamatwe
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetoa hati ya kukamatwa kwa Mkurugenzi wa Sheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa Mujunangoma anayekabiliwa na kesi ya kupokea Sh milioni 323.4, kwa kuwa hajafika mahakamani.
11 years ago
GPL06 Jan
KUTOKA MAHAKAMA KUU BAADA YA HUKUMU YA PINGAMIZI LA ZITTO KUAIRISHWA
11 years ago
GPLTASWIRA KUTOKA NJE YA MAHAKAMA KUU DAR KABLA YA HUKUMU YA ZITTO
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Zitto ahusisha hukumu yake na escrow
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
ZITTO KABWE ASHINDA HUKUMU YA KESI YAKE
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Mbowe akata rufaa mahakama kuu dhidi ya hukumu yake
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4i1w6W-bFmE/U7MBkgH5VuI/AAAAAAAFt_4/haAWClKy-xo/s72-c/images.jpg)
WAZIRI MKUU: OMBEENI TAIFA NA UCHAGUZI MKUU UJAO - Askofu Niwemugizi ataka UKAWA warudi bungeni mwezi ujao, asema siyo ombi
![](http://2.bp.blogspot.com/-4i1w6W-bFmE/U7MBkgH5VuI/AAAAAAAFt_4/haAWClKy-xo/s1600/images.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amewaomba viongozi wa dini kote nchini na wananchi waungane pamoja ili kuombea uchaguzi mkuu wa viongozi wakuu wa Rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika mwakani.
Ametoa wito huo leo mchana (Jumanne, Julai mosi, 2014) wakati akizungumza na maelfu ya waumini na viongozi mbalimbali waliohudhuria ibada ya Jubilei ya miaka 25 ya Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Iringa, Mhashamu Tarsicius Ngalalekumtwa katika uwanja wa Kichangani wa Kanisa Kuu la Kihesa.
"Maaskofu...
10 years ago
Mtanzania15 Jun
Mahakama yataka Rais wa Sudan akamatwe
JOHANNESBURG, AFRIKA KUSINI
MAHAKAMA Kuu yaAfrika Kusini imetoa amri ya muda ya kumzuia Rais wa Sudan, Omar al Bashir anayehudhuria kikao kilichoanza jana cha viongozi wa Umoja wa Afrika (AU) kutoondoka nchini humo.
Mahakama hiyo imemuagiza al-Bashir abakie hadi leo wakati itakaposikiliza kesi inayoitaka iiamrishe Serikali ya Afrika Kusini kumkamata kiongozi huyo i akajibu mashitaka yanayomkabili katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) ya mjini Hague, Uholanzi.
Mapema jana,...