Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbowe akata rufaa mahakama kuu dhidi ya hukumu yake

Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe amekata rufaa Mahakama Kuu kupinga hukumu iliyotolewa dhidi yake Julai, mwaka huu, na kumtoza faini ya Sh1 milioni baada ya kupatikana na hatia katika kosa la jinai.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Akata rufaa dhidi ya hukumu ya ushoga

Kiongozi wa upinzani nchini Malaysia, Anwar Ibrahim, amefika mahakamani ili kukata rufaa dhidi ya hukumu inayomkabili ya ushoga.

 

10 years ago

Mtanzania

Chenge akata rufaa Mahakama Kuu

CHENGEPatricia Kimelemeta na Aziza Masoud
BARAZA la Maadili la Utumishi wa Umma jana lilikwama kuendelea na mahojiano na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM).
Baraza hilo lilishindwa kuendelea na kazi yake hiyo baada ya Chenge kukata rufaa Mahakama Kuu ya Tanzania kupinga uamuzi wa Baraza hilo kuendelea kujadili tuhuma zinazomkabili.
bilioni 1.6 kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing Tanzania Ltd, James Rugemalira, kupitia Akaunti ya Tegeta Escrow.
Kabla ya...

 

10 years ago

StarTV

Chenge akata rufaa mahakama kuu, akataa kuhojiwa.

Na Josephine Mwaiswaga,

Dar Es Salaam.

 

Baada ya Mbunge wa Bariadi Magharibi Andrew Chenge kugoma kuhojiwa na sekratarieti ya maadili ya viongozi wa umma kuhusiana na tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka, Mbunge huyo sasa amekimbilia mahakama kuu ili kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa sekretarieti hiyo wa kutaka kumhoji.

Chenge ambaye ni kiongozi wa kwanza kuitwa kuhojiwa na tume hiyo kwa tuhuma za kuhusishwa kwenye kashfa ya akaunti ya Tegeta Escrow amehoji pia uwezo wa wanasheria wa...

 

5 years ago

CHADEMA Blog

Mahakama ya Rufaa kutoa uamuzi rufaa ya Jamhuri dhidi ya Mbowe na Matiko

Mahakama ya Rufani leo imeketi kusikiliza hoja za wakata rufaa (Jamhuri) na wakatiwa rufaa (utetezi) kwenye maombi ya rufaa namba 344  yaliyopo Mahakama Kuu kuhusu kufutiwa dhamana kwa washtakiwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (Mb) na Mbunge wa Tarime Mjini, Ester Matiko. Upande wa Jamhuri umeiomba Mahakama ya Rufaa kuamuru maombi hayo 344 yatupiliwe mbali na Mahakama Kuu kwa sababu

 

9 years ago

Mwananchi

Mbowe ashinda rufaa dhidi ya hukumu kesi ya shambulio

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Moshi leo imeifuta hukumu iliyomtia hatiani Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe na kuamuru arejeshewe Sh1 milioni alizolipa kama faini.

 

10 years ago

Bongo Movies

Faiza Akata Rufaa Dhidi ya Ushindi wa Sugu, Asema Atamlea Mtoto Wake na Kuvaa Mavazi Yake!

Staa wa Bongo Movies, Faiza Ally aliyekuwa mchumba wa mbunge wa Mbeya Mjini, Mh Joseph Mbilinyi ‘Sugu’  amekata rufaa dhidi ya hukumu iliyotolewa hivi juzi ambayo ilimpa ushindi Sugu na hivyo kumchukua mtoto (Sasha) baada ya Faiza kuonekana kuwa ana muharibu mtoto kutokana na tabia zake ususani mavazi.

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, Faiza mbali na kuelezea rufaa yake ameeleze pia masikitiko yake kutokana na baadhi ya watu kumshabulia kwa maneno makali  juu ya mavazi yake...

 

10 years ago

CloudsFM

Faiza Akata Rufaa Dhidi ya Ushindi wa Sugu

Staa wa Bongo Movies, Faiza Ally aliyekuwa mchumba wa mbunge wa Mbeya Mjini, Mh Joseph Mbilinyi ‘Sugu’  amekata rufaa dhidi ya hukumu iliyotolewa hivi juzi ambayo ilimpa ushindi Sugu na hivyo kumchukua mtoto (Sasha) baada ya Faiza kuonekana kuwa ana muharibu mtoto kutokana na tabia zake ususani mavazi.

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, Faiza mbali na kuelezea rufaa yake ameeleze pia masikitiko yake kutokana na baadhi ya watu kumshabulia kwa maneno makali  juu ya mavazi yake...

 

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA KUU KANDA DARESALAAM YATOA HUKUMU KWA MAHAKAMA MTANDAO

Na Innocent Kansha- Mahakama  Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam jana ilitoa hukumu tatu kwa  njia ya Mahakama Mtandao maarufu kama “Video Conference” kwa kushirikiana na Magereza ya Keko na Segerea Jijini Dar es salaam, huku ikiahirisha mashauri mawili. Mashauri matano ya mauaji yalisikilizwa mbele ya Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam, Mhe. Lameck Mlacha kwa kutumika njia hiyo. Kati ya mashauri hayo matatu yalisikilizwa na kutolewa hukumu,  kwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Hukumu dhidi ya Mbowe Julai 17

mboweNA RODRICK MUSHI, HAI

HUKUMU ya kesi ya kumshambulia mwangalizi wa ndani wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 inayomkabili Mbunge wa Jimbo la Hai, Freeman Mbowe, iliyotarajiwa kutolewa jana katika mahakama ya Wilaya ya Hai, imeahirishwa hadi Julai 17 mwaka huu baada Mbowe kushindwa kufika mahakamani.

Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),ilidaiwa alishindwa kufika mahakamani n kutokana na kutoa udhuru wa kubanwa na kazi za serikali likiwamo bunge la bajeti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani