Hukumu dhidi ya Mbowe Julai 17
NA RODRICK MUSHI, HAI
HUKUMU ya kesi ya kumshambulia mwangalizi wa ndani wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 inayomkabili Mbunge wa Jimbo la Hai, Freeman Mbowe, iliyotarajiwa kutolewa jana katika mahakama ya Wilaya ya Hai, imeahirishwa hadi Julai 17 mwaka huu baada Mbowe kushindwa kufika mahakamani.
Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),ilidaiwa alishindwa kufika mahakamani n kutokana na kutoa udhuru wa kubanwa na kazi za serikali likiwamo bunge la bajeti...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Mbowe ashinda rufaa dhidi ya hukumu kesi ya shambulio
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Mbowe akata rufaa mahakama kuu dhidi ya hukumu yake
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmPi6NOT7I13YG*7EeL1N7K3DLQ21wLd3I6vjjM1SqJvl7wdJ72wyxL3081v0hrSnqeDraxT5wR3xPnEes0uKI-M/BREAKING.gif)
HUKUMU YA MRAMBA, YONA NA MGONJA YAAHIRISHWA HADI JULAI 3, 2015
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GMYzXkxnQso/XmdDmykXxeI/AAAAAAALiWQ/kJgKQ-sN688nP_PLTbcDPoxjCkVuCWWHACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-10%2Bat%2B10.20.47.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZZ....: HUKUMU YA KESI YA KINA MBOWE YAAHIRISHWA KWA MUDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GMYzXkxnQso/XmdDmykXxeI/AAAAAAALiWQ/kJgKQ-sN688nP_PLTbcDPoxjCkVuCWWHACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-10%2Bat%2B10.20.47.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-EQC4p1c_S4M/XmdDoNnvXGI/AAAAAAALiWc/VQmgXobxQ_AmK-1Cd2ndezzD1BPQ4XF5QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-10%2Bat%2B10.20.52.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gr9WRGiyCjA/VYUGxv7e0FI/AAAAAAAAwBY/d_g0OdjcWLI/s72-c/napee.png)
Freeman Mbowe........Amtaka AJIUZULU Maana Amekiabisha Chama Kwa Hukumu Aliyopewa.
![](http://4.bp.blogspot.com/-gr9WRGiyCjA/VYUGxv7e0FI/AAAAAAAAwBY/d_g0OdjcWLI/s640/napee.png)
Mbowe alihukumiwa hivi karibuni kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini ya Sh milioni moja baada ya kutiwa hatiani na mahakama mkoani Kilimanjaro kwa kosa la kumpiga Msimamizi wa Uchaguzi mwaka 2010.Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika Kata...
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Akata rufaa dhidi ya hukumu ya ushoga
10 years ago
Habarileo04 Jul
Hukumu dhidi ya akina Mramba yapigwa kalenda
HUKUMU ya kesi ya kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7 inayomkabili Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na wenzake imeahirishwa kwa mara ya pili kwa sababu hakimu anaumwa.
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
Malawi imefuta hukumu dhidi ya wapenzi wa jinsia moja
5 years ago
BBCSwahili29 May
Zitto Kabwe kukata rufaa dhidi ya hukumu ya kutokutoa matamshi ya uchochezi