Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtuhumiwa wa Escrow abadilishiwa mashtaka

Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa (Takukuru) imembadilishia hati ya mashtaka Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa Mujunangoma aliyekuwa akikabiliwa na shtaka la kupokea rushwa ya Sh 323 milioni toka kwa James Rugemalira.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Anayedaiwa kuingiza makomando abadilishiwa mashtaka

WATU wanne akiwemo mfanyabiashara Ally Ally (25) aliyekuwa anakabiliwa na mashitaka ya kusafirisha na kuhifadhi makomando wa Nepal nchini, wamepandishwa kizimbani wakikabiliwa na mashitaka ya usafirishaji wa binadamu uliokithiri.

 

10 years ago

Habarileo

Mwanasheria wa Tanesco abadilishiwa kesi Escrow

Steven UrassaMWANASHERIA Mwandamizi wa Tanesco, Steven Urassa amefutiwa mashitaka ya kupokea sehemu ya fedha zilizokuwa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow na kusomewa mashitaka ya kupokea rushwa ya Sh milioni 161.7.

 

10 years ago

Vijimambo

MTUHUMIWA WA MAUAJI ATOROKA CHINI YA ULINZI HOSPITALINI..ASKALI MAGEREZA ALIYEKUWA ANAMLINDA KUFUNGULIWA MASHTAKA

MSHITAKIWA wa kwanza, Salim Marwa katika kesi ya mauaji ya raia wa Ghana, Joseph Opong ametoroka chini ya uangalizi akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Temeke, Dar es Salaam. Mkuu wa Magereza mkoa wa Dar es Salaam, Joel Bukuku alikiri kutokea kwa tukio hilo Jumatatu usiku majira ya saa 6:00 huku akiwa na askari magereza wawili. Alisema mshtakiwa huyo alikuwa akipatiwa matibabu hospitalini hapo kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji.Lakini hakufafanua zaidi kuhusu upasuaji wa nini wala alilazwa...

 

10 years ago

Habarileo

Mtuhumiwa fedha za Escrow ajichanganya

Dk James DiuMKURUGENZI Mdhibiti Uchumi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA), Dk James Diu, amejichanganya mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, kuhusu matumizi halisi ya fedha alizozipokea kutoka kwa James Rugemalira ambazo ni Sh milioni 80.8.

 

10 years ago

Habarileo

Mtuhumiwa wa Escrow apata dhamana

Kyabukoba MutabingwaMENEJA Misahama ya Kodi TRA, Kyabukoba Mutabingwa anayekabiliwa na kesi ya kupokea rushwa ya Sh bilioni 2 ikiwa ni sehemu ya fedha zilizokuwa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow amepata dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

 

10 years ago

Habarileo

Korti yaamuru mtuhumiwa Escrow akamatwe

Rugonzibwa MujunangomaMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetoa hati ya kukamatwa kwa Mkurugenzi wa Sheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa Mujunangoma anayekabiliwa na kesi ya kupokea Sh milioni 323.4, kwa kuwa hajafika mahakamani.

 

10 years ago

Habarileo

Mtuhumiwa sakata la Escrow kizimbani leo

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo inatarajia kumsomea maelezo ya awali Mkurugenzi wa Sheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa Mujunangoma anayekabiliwa na kesi ya kupokea Sh milioni 323.4 ambazo ni sehemu ya fedha zilizokuwa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mmiliki jengo lililoanguka Dar abadilishiwa mashitaka

MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP), Dk. Eliezer Feleshi, amemfutia kesi ya kuua bila kukusudia inayomkabili mmiliki wa jengo lililoanguka katika Mtaa wa Indra Gandhi  mwenye asili ya Kiasia,  Raza Hussein Raza...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mashtaka

JINA la kitabu kinachohakikiwa hapa ni Mashtaka na kimetungwa na Elieshi Lema. Mchapishaji wa kitabu hiki ni E&D Vision Publishing, Dar es Salaam, na kitatoka hivi karibuni. Anayekihakiki sasa hivi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani