Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashtaka

JINA la kitabu kinachohakikiwa hapa ni Mashtaka na kimetungwa na Elieshi Lema. Mchapishaji wa kitabu hiki ni E&D Vision Publishing, Dar es Salaam, na kitatoka hivi karibuni. Anayekihakiki sasa hivi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MASHTAKA 7 DHIDI YA LOWASSA


Na. M. M. MwanakijijiWapo Watanzania ambao wanaamini na wanamtaka Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa awe rais wa awamu ya tano. Wana sababu zao za kufanya hivyo na wana haki zote za kumfanyia kampeni, kumuunga mkono, kumchangia na hata kujitolea kumsaidia apite kwenye mchakato ndani ya CCM na hata kwenye Uchaguzi Mkuu baadaye mwaka huu. Haki hii ya kumchagua kiongozi unayemtaka ni haki ya msingi ya Kikatiba.Wapo pia Watanzania ambao hawaamini na hawamtaki Lowassa kuwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Morsi alimbikiziwa mashtaka zaidi

Rais wa zamani wa Misri, Moh'd Morsi, atakiwa kukabili mashtaka zaidi ya yale aliyonayo hivi sasa

 

10 years ago

Habarileo

Mwale na wenzake wasomewa mashtaka

MWANASHERIA na wakili maarufu wa kujitegemea wa jijini hapa, Medium Mwale anayemiliki kampuni ya uwakili ya JJ Mwale Advocates na wenzake watatu jana walisomewa mashitaka mapya 42 ya utakatishaji fedha haramu, kula njama na kughushi baadhi ya nyaraka na kujipatia kiasi cha Sh bilioni 18.

 

10 years ago

Mwananchi

Mahakama yampunguzia Ponda mashtaka

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro, jana ilimfutia shtaka moja kati ya matatu Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda.

 

10 years ago

GPL

Simba yamfungulia mashtaka Tambwe

Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe. Na Mwandishi Wetu
MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe, ameibuka upya na kulizungumzia suala la mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe kupigwa kabali na beki wa Ruvu Shooting huku akisema hata yeye inaonekana alifanya makosa makubwa na alistahili kadi nyekundu. Kigogo huyo mwenye ushawishi ndani ya Simba, amesema Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), linatakiwa kumpa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mtuhumiwa wa Escrow abadilishiwa mashtaka

Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa (Takukuru) imembadilishia hati ya mashtaka Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa Mujunangoma aliyekuwa akikabiliwa na shtaka la kupokea rushwa ya Sh 323 milioni toka kwa James Rugemalira.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwendesha mashtaka Uturuki auawa

Mwendesha mashitaka wa Uturuki ameuawa baada ya kuzuiwa mateka katika mahakama moja mjini Istanbul

 

10 years ago

BBCSwahili

Nahodha wa mashua afunguliwa mashtaka

Nahodha wa mashua ambayo ilizama pwani ya Libya siku ya Jumapili ambapo wahamiaji wengi waliangamia amefunguliwa mashtaka

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wafunguliwa mashtaka Baltimore

Meya wa mji wa Baltimore anasema kuwa amehusunishwa baada ya polisi sita kushtakiwa kufuatia kifo cha mwananamme mweusi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani