Mashtaka
JINA la kitabu kinachohakikiwa hapa ni Mashtaka na kimetungwa na Elieshi Lema. Mchapishaji wa kitabu hiki ni E&D Vision Publishing, Dar es Salaam, na kitatoka hivi karibuni. Anayekihakiki sasa hivi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo09 Jul
MASHTAKA 7 DHIDI YA LOWASSA
![](http://www.theeastafrican.co.ke/image/view/-/2767182/medRes/1023466/-/maxw/600/-/hsh7r6z/-/lowassa.jpg)
Na. M. M. MwanakijijiWapo Watanzania ambao wanaamini na wanamtaka Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa awe rais wa awamu ya tano. Wana sababu zao za kufanya hivyo na wana haki zote za kumfanyia kampeni, kumuunga mkono, kumchangia na hata kujitolea kumsaidia apite kwenye mchakato ndani ya CCM na hata kwenye Uchaguzi Mkuu baadaye mwaka huu. Haki hii ya kumchagua kiongozi unayemtaka ni haki ya msingi ya Kikatiba.Wapo pia Watanzania ambao hawaamini na hawamtaki Lowassa kuwa...
11 years ago
BBCSwahili21 Dec
Morsi alimbikiziwa mashtaka zaidi
10 years ago
Habarileo22 Jan
Mwale na wenzake wasomewa mashtaka
MWANASHERIA na wakili maarufu wa kujitegemea wa jijini hapa, Medium Mwale anayemiliki kampuni ya uwakili ya JJ Mwale Advocates na wenzake watatu jana walisomewa mashitaka mapya 42 ya utakatishaji fedha haramu, kula njama na kughushi baadhi ya nyaraka na kujipatia kiasi cha Sh bilioni 18.
10 years ago
Mwananchi23 Jul
Mahakama yampunguzia Ponda mashtaka
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GvFfwHMN-v5AuJFeiIKR6Li1vRIWIdlHBv1Vi*3sk0XYk8khWrSvswRXcitmSgBWa63NoLFEj7Y7h5veiz4ExyY2yyUnZk-u/Tambwe.jpg?width=650)
Simba yamfungulia mashtaka Tambwe
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Mtuhumiwa wa Escrow abadilishiwa mashtaka
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Mwendesha mashtaka Uturuki auawa
10 years ago
BBCSwahili21 Apr
Nahodha wa mashua afunguliwa mashtaka
10 years ago
BBCSwahili02 May
Polisi wafunguliwa mashtaka Baltimore