Polisi wafunguliwa mashtaka Baltimore
Meya wa mji wa Baltimore anasema kuwa amehusunishwa baada ya polisi sita kushtakiwa kufuatia kifo cha mwananamme mweusi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo30 Apr
HIKI NDICHO KILICHOTOKEA HUKO BALTIMORE KUTOKANA NA MTITI WA FURUGU ZA RAIA NA POLISI
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/04/29/21/article-3061328-28254FA000000578-645_964x381.jpg)
Uwanja wa Baltimore Orioles ulikuwa mweupe bila watu kutokana na ghasia za raia na polisi watu wote wameogopa kutoka nje na kwenda kushuhudia mchezo kati ya timu ya Baltimore Orioles na Chicago White Sox. Machafuko hayo yaliyosababishwa na tukio la kifo cha kijana mmoja aliekufa mikono mwa polisi hapo ndipo mtiti ulianza baada ya vijana hadi wazee kuingia mtaani na kuanza kuandamana sambamba na uharibifu wa mali za watu na magari kuchomwa moto.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-We5xXZIlw9o/UyltSmFsj6I/AAAAAAAFU2g/85Cj07eeWLA/s72-c/1.jpg)
MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI IDARA YA POLISI WAFUNGULIWA MJINI MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-We5xXZIlw9o/UyltSmFsj6I/AAAAAAAFU2g/85Cj07eeWLA/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7HtGfvj5i2I/UyltSybIPWI/AAAAAAAFU2c/6QdNyZVLmNo/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TuvIc3LEupA/UyltSj4sCRI/AAAAAAAFU2Y/cRAtuGbOi9A/s1600/3.jpg)
10 years ago
BBCSwahili25 Nov
Polisi aondolewa mashtaka Marekani
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Walioua polisi Stakishari wasomewa mashtaka upya
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
UPANDE wa Jamhuri umewasomea upya mashtaka watuhumiwa 10 wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya watu saba wakiwamo askari.
Watu hao walifanya mauaji hayo kwenye Kituo cha Polisi Stakishari wilayani Ilala, Dar es Salaam.
Mashtaka hayo yalisomwa upya jana jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, mbele ya Hakimu Mkazi, Thomas Simba.
Walisomewa mashtaka hayo muda mfupi baada ya kufutiwa kesi.
Kesi ilifutwa baada ya Wakili wa Serikali Mwandamizi, Hellen Moshi...
10 years ago
BBCSwahili01 May
Maandamano mapya Baltimore Marekani
10 years ago
Vijimambo01 Dec
MISA YA KISWAHILI YA THANKSGIVING YAFANYIKA BALTIMORE, MARYLAND
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t35.0-12/10821932_1005359609491129_1924770704_o.jpg?oh=1cfd50b1773a04019616f38f86d490a7&oe=547DCF59&__gda__=1417538632_d95de448c71dfef60fc44b4b2bfd6559)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10756396_1005360112824412_1135404848_o.jpg?oh=61e373418c1298986ba041b4f4197b23&oe=547DB99D&__gda__=1417562025_a9d4b540d39fbc5b4f469c51e2a91059)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10839763_1005361079490982_1241157292_o.jpg?oh=8d857d41f51e5e27d40cc6af82ea1211&oe=547DE50D&__gda__=1417553593_28b836fb5ff59a2f032a0678a7267242)
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani mhe. Liberata Mulamula akitoa shukurani zake kwa mapadri waliongoza misa ya Thanksgiving na kusisitiza umoja...
9 years ago
MichuziMISA TAKATIFU YA KUMBUKUMBU YA NYAMITI LUSINDE BALTIMORE, MARYLAND
10 years ago
Michuzi02 Sep
FATHER EVOD SHAO AAGWA KWA KISHINDO BALTIMORE MD.
![IMG_9800](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/09/img_9800.jpg?w=714)
![IMG_9827](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/09/img_9827.jpg?w=714)
![IMG_9927](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/09/img_9927.jpg?w=714)
![IMG_9917](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/09/img_9917.jpg?w=714)