Polisi aondolewa mashtaka Marekani
Ghasia zimezuka nchini Marekani, baada ya wanasheria kuamua kutomfungulia mashtaka polisi wa kizungu aliyeua kijana mweusi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Straus Kahn aondolewa mashtaka
10 years ago
BBCSwahili02 May
Polisi wafunguliwa mashtaka Baltimore
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Walioua polisi Stakishari wasomewa mashtaka upya
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
UPANDE wa Jamhuri umewasomea upya mashtaka watuhumiwa 10 wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya watu saba wakiwamo askari.
Watu hao walifanya mauaji hayo kwenye Kituo cha Polisi Stakishari wilayani Ilala, Dar es Salaam.
Mashtaka hayo yalisomwa upya jana jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, mbele ya Hakimu Mkazi, Thomas Simba.
Walisomewa mashtaka hayo muda mfupi baada ya kufutiwa kesi.
Kesi ilifutwa baada ya Wakili wa Serikali Mwandamizi, Hellen Moshi...
11 years ago
Habarileo25 Feb
Mkurugenzi wa Wanyamapori aondolewa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amemuondoa katika nafasi yake Mkurugenzi wa Wanyamapori, Profesa Alexander Songorwa na kumteua Paul Sarakikya kukaimu nafasi hiyo. Kwa mujibu wa taarifa yake aliyoitoa jana kwa vyombo vya habari, Nyalandu alisema amechukua hatua hiyo kutokana na kutoridhishwa na utendaji wa kazi wa idara hiyo katika mapambano dhidi ya ujangili, yanayoendelea nchini.
10 years ago
BBCSwahili21 Dec
Polisi wawili wauawa Marekani
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Polisi mzungu kutoshtakiwa Marekani
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Polisi asimamishwa kazi Marekani
9 years ago
Bongo507 Dec
#TECNOOwntheStage: Banye wa Tanzania aondolewa
![Banye](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Banye-300x194.jpg)
Episode ya nne ya shindano la kusaka vipaji vya kuimba kwa mfumo wa karaoke linalohusisha nchi tatu, TECNO Own the Stage imeruka jana Jumapili kupitia Africa Magic Showcase.
Washiriki walipokuwa wakisubiri kujua hatma yao
Episode hiyo ilijumuisha washiriki wa kundi la 3 waliotakiwa kuimba nyimbo za kiafrika. Ikiwa na ushindani mkali, washiriki wa Tanzania waliopanda jukwaani ni pamoja na Banye, Mary, Jeff Mduma na Zooccu.
Hata hivyo Tanzania imepata pigo baada ya mshiriki wake Banye...