Polisi mzungu kutoshtakiwa Marekani
Polisi Mzungu anayetuhumiwa kwa kumpigia risasi Mmarekani mweusi, April mwaka huu hatokabiliwa na mashtaka yoyote.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Polisi mzungu ashtakiwa kwa kuua tineja mweusi
Askari huyo alimfyatulia tineja huyo risasi 16 punde baada ya kumfumania akitoboa gurudumu la gari la polisi mjini Chicago Marekani.
10 years ago
BBCSwahili25 Nov
Polisi aondolewa mashtaka Marekani
Ghasia zimezuka nchini Marekani, baada ya wanasheria kuamua kutomfungulia mashtaka polisi wa kizungu aliyeua kijana mweusi.
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Polisi asimamishwa kazi Marekani
Polisi mzungu katika jimbo la Texas nchini Marekani amesimishwa kazi baada kuonekana akihangaisha kundi la vijana
10 years ago
BBCSwahili21 Dec
Polisi wawili wauawa Marekani
Maafisa wawili wa polisi mjini New York Marekani wameuawa kwa kupigwa risasi walipokuwa ndani ya gari lao eneo la Brooklyn.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx23iSTqNtcn0hHkX2yiRJwyfXXcyKzuYj*NUea-qUhK4zbCgoV4R7r5s1yaylnAzowQas5lCtEW8VYW0gcJ3*QS4/150608065847_texas_police_violence_640x360_a_nocreditcopy.jpg?width=650)
POLISI ASIMAMISHWA KAZI NCHINI MAREKANI
Polisi akionekana kumdhibiti mmoja wa vijana hao. Polisi mmoja mzungu katika jimbo la Texas nchini Marekani amesimishwa kazi baada ya video moja kuwekwa kwenye mitandao ikionyesha akihangaisha kundi moja la vijana wengi wao wakiwa ni weusi. Afisa hiyo anaonekana akiwalenga vijana wawili wa kiume kwa bunduki yake huku pia akimuangusha chini na kumkamata msichana wa umri wa miaka 14.Polisi hao walikuwa wameitwa na wenyeji...
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Marekani:Polisi yashutumiwa kwa Ubaguzi
Polisi mjini Ferguson wameripotiwa kutumia nguvu nyingi na kusababisha mauaji dhidi ya kijana mweusi nchini Marekani.
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
Polisi waua raia St Louis nchi Marekani
Vurugu zimetokea katika mji wa Missouri nchini Marekani kufuatia kifo cha kijana mmoja Mmarekani mweusi kupigwa risasi na polisi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc5RO-aDWgK5W9gFoZS1xwSAnlmdkz1ACwKgCS9Ktz66SOkr6gLFsgh1DpW8K4d84DZdX7vY*S3D*cHKDq3DbHB4/1.jpg?width=644)
POLISI WAUA MGONJWA WA AKILI DALLAS, MAREKANI
Jason Harrison aliyeuawa na polisi kwa kupigwa risasi. Harrison akiwa amesimama mlangoni na bisibisi na polisi (kulia) akimwambia aitupe chini. …Akiondoka mlengoni ambapo polisi walimfyatulia risasi kadhaa.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania