Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani:Polisi yashutumiwa kwa Ubaguzi

Polisi mjini Ferguson wameripotiwa kutumia nguvu nyingi na kusababisha mauaji dhidi ya kijana mweusi nchini Marekani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

UBAGUZI WA RANGI, MGOGORO WA KITAIFA MAREKANI

Spika wa Bunge la Baraza la wawakilishi nchini Marekani, John Boehner. Kufuatia kuongezeka ghasia zitokanazo na ubaguzi wa rangi Marekani, Spika wa Bunge la Baraza la Wawakilishi nchini humo amesema uhusiano baina ya Wamarekani wenye asili ya Afrika na maafisa wa polisi sasa umegeuka na kuwa mgogoro wa kitaifa. Waandamanaji wakiharibu gari la polisi. John Boehner katika mahojiano na Televisheni ya NBC amesisitiza kuwa maafisa wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Obama ameshindwa kuondoa ubaguzi wa rangi Marekani

Waingereza wanao msemo na tafsiri yake isiyo rasmi ni kuwa: ‚Watu wanaoishi katika nyumba za vioo inawabidi wasirushe mawe.‘ Ina maana kwamba watu wachukue tahadhari, si kupurukuka tu kulaumu vitendo vya watu wengine ambavyo wao wenyewe wanavifanya. Kufanya hivyo ni unafiki.

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Maandamano makubwa ya kupinga ubaguzi yafanyika Marekani

Maandamano makubwa ya amani yamefanyika kote nchini Marekani kupinga ubaguzi wa rangi na unyanyasaji unaotekelezwa na maafisa wa polisi ikiwa ni siku ya 12 ya maandamano

 

10 years ago

BBCSwahili

Balotelli:polisi wachunguza ubaguzi wa rangi

Polisi wameanzisha uchunguzi kuhusiana na ubaguzi wa rangi dhidi ya Mario Balotelli

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi:Polisi wafanya msako Alexandra

Polisi nchini Afrika kusini vimefanya uvamizi mjini Johannesburg huku serikali ikijaribu kumaliza ghasia dhidi ya wahamiaji

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge: Kuna ubaguzi ajira Polisi

MBUNGE wa Ileje, Aliko Kibona (CCM), amelalamikia alichoita ubaguzi unaofanyika katika utaratibu wa kuajiri Polisi, ambao hupata ajira ya kudumu baada ya kutumikia jeshi kwa miaka 12.

 

5 years ago

CCM Blog

MAANDAMANO YA KUPINGA UBAGUZI WA RANGI NCHINI MAREKANI, SABABU NA HATARI ZAKE

Maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini Marekani, sababu na hatari zakeMarekani imetumbukia tena katika machafuko makubwa kutokana na malalamiko ya wananchi wanaopinga mauaji yaliyofanywa na polisi wa nchi hiyo dhidi ya raia mweusi.Katika kipindi cha siku nne zilizopita miji mbalimbali ya Marekani kuanzia Minneapolis hadi New York, Atlanta mpaka Houston na Milwaukee hadi Los Angeles imekumbwa na maandamano na ghasia kubwa baina ya raia wanaoandamana, na polisi. Watu kadhaa wamejeruhiwa katika baadhi ya machafuko hayo na kunashuhudiwa ghasia na hata oporaji wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

China yashutumiwa

Makampuni nchini China yameingia shutumani kua wanatengeza na kusafirisha vifaa vya mateso kwa vikosi vya polisi duniani.

 

11 years ago

Michuzi

Ubalozi wa Marekani wakabidhi mtambo wa mfumo wa mawasiliano wa masafa marefu kwa jeshi la Polisi kikosi cha maji nchini

Mkuu wa Ushirikiano wa Usalama kwa Ubalozi wa Marekani Tanzania, Lt.Kevin Balisky akisoma risala mbele ya mgeni rasmi Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Pereira Silima wakati wa halfa ya kukabidhi mtambo wa mfumo wa mawasiliano wa masafa marefu kwa jeshi la maji, masaada huo umetolewa na Serikali ya Marekani kupitia mradi wa AFRICO,leo jijini Dar es salaam. Naibu Waziri wa Mambo ya ndani Pereira Silima, ambaye alikuwa mgeni rasmi katika halfa ya kukabidhi mtambo wa mfumo wa mawasiliano wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani