Mbunge: Kuna ubaguzi ajira Polisi
MBUNGE wa Ileje, Aliko Kibona (CCM), amelalamikia alichoita ubaguzi unaofanyika katika utaratibu wa kuajiri Polisi, ambao hupata ajira ya kudumu baada ya kutumikia jeshi kwa miaka 12.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-WMnjdfGR8bg/TzPHieqNQgI/AAAAAAAA9RI/G_EIZk8NELk/s72-c/2.jpg)
Nusu ya Watanzania wameshuhudia ubaguzi dhidi ya watu wenye ulemavu katika ajira
heshima watu wenye ulemavu
![](http://4.bp.blogspot.com/-WMnjdfGR8bg/TzPHieqNQgI/AAAAAAAA9RI/G_EIZk8NELk/s1600/2.jpg)
4 Novemba 2014, Dar es Salaam: Karibu nusu ya wananchi (46%) wameripoti kuwahi kushuhudia ubaguzi dhidi ya watu wenye ulemavu katika ajira. Wakati huo huo, ni wananchi wawili tu kati ya kumi (17%) waliokiri kufahamu asasi/mashirika yanayotoa upendeleo kwenye suala la kuwaajiri watu wenye ulemavu. Wananchi waliripoti kuwa miongoni mwa mashirika haya asilimia 38 ni taasisi za kiserikali. Vile vile wananchi waliripoti...
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Kuna ajira ngapi za upendeleo serikalini?
WIZARA ya Mambo ya Ndani, imetangaza kufuta ajira 228 baada ya kuthibitika kuwa zilitolewa kinyume na taratibu kwa upendeleo. Hatua hii ya wizara inafuatia malalamiko kutoka katika jamii, kupitia vyombo vya...
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Mbunge kuadhibiwa kwa kusifu serikali ya ubaguzi wa rangi
9 years ago
Mwananchi28 Aug
Gavana: Watanzania njooni Hiiumaa kuna fursa za ajira
9 years ago
Mwananchi26 Dec
Wasanii mnajua kuna tatizo la ajira, mnaheshimu kazi zenu?
10 years ago
BBCSwahili22 Sep
Balotelli:polisi wachunguza ubaguzi wa rangi
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Ubaguzi:Polisi wafanya msako Alexandra
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Marekani:Polisi yashutumiwa kwa Ubaguzi
11 years ago
Habarileo23 Dec
Polisi: Kuna usalama Krismasi, mwaka mpya
JESHI la Polisi nchini na vyombo vingine vya ulinzi na usalama vimejipanga kuhakikisha vitendo vyovyote vya uhalifu vitakavyojitokeza wakati wa sikukuu za Krismasi na Mwaka mpya vinadhibitiwa.