Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge: Kuna ubaguzi ajira Polisi

MBUNGE wa Ileje, Aliko Kibona (CCM), amelalamikia alichoita ubaguzi unaofanyika katika utaratibu wa kuajiri Polisi, ambao hupata ajira ya kudumu baada ya kutumikia jeshi kwa miaka 12.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Nusu ya Watanzania wameshuhudia ubaguzi dhidi ya watu wenye ulemavu katika ajira

Watu binafsi na jamii kwa ujumla wanakiri kuwakosea
heshima watu wenye ulemavu
4 Novemba 2014, Dar es Salaam: Karibu nusu ya wananchi (46%) wameripoti kuwahi kushuhudia ubaguzi  dhidi ya watu wenye ulemavu katika ajira. Wakati huo huo, ni wananchi wawili tu kati ya kumi (17%) waliokiri kufahamu asasi/mashirika yanayotoa upendeleo kwenye suala la kuwaajiri watu wenye ulemavu. Wananchi waliripoti kuwa miongoni mwa mashirika haya asilimia 38 ni taasisi za kiserikali. Vile vile wananchi waliripoti...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kuna ajira ngapi za upendeleo serikalini?

WIZARA ya Mambo ya Ndani, imetangaza kufuta ajira 228 baada ya kuthibitika kuwa zilitolewa kinyume na taratibu kwa upendeleo. Hatua hii ya wizara inafuatia malalamiko kutoka katika jamii, kupitia vyombo vya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mbunge kuadhibiwa kwa kusifu serikali ya ubaguzi wa rangi

Chama rasmi cha upinzani nchini Afrika Kusini kimeanzisha hatua za kinidhamu dhidi ya mbunge mmoja mwandamizi,ambaye alionekana akimsifu mwanasiasa mmoja wa nyakati za ubaguzi wa rangi.

 

9 years ago

Mwananchi

Gavana: Watanzania njooni Hiiumaa kuna fursa za ajira

Gavana wa Kisiwa cha Hiiumaa, kilichoko Estonia, Riho Ruhoja amewakaribisha Watanzania kutumia fursa za ajira zilizoko kisiwani humo kwa kuwa kuna idadi ndogo ya wakazi katika eneo hilo.

 

9 years ago

Mwananchi

Wasanii mnajua kuna tatizo la ajira, mnaheshimu kazi zenu?

Asilimia 60 ya vijana wa nchi za Kiafrika hawana ajira. Ripoti mbalimbali zinaonyesha zaidi ya nusu ya vijana walio na umri chini ya miaka 25 katika nchi zilizo kusini mwa Jangwa la Sahara hawana kazi za kuajiriwa, wengi wao ni wabangaizaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Balotelli:polisi wachunguza ubaguzi wa rangi

Polisi wameanzisha uchunguzi kuhusiana na ubaguzi wa rangi dhidi ya Mario Balotelli

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi:Polisi wafanya msako Alexandra

Polisi nchini Afrika kusini vimefanya uvamizi mjini Johannesburg huku serikali ikijaribu kumaliza ghasia dhidi ya wahamiaji

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani:Polisi yashutumiwa kwa Ubaguzi

Polisi mjini Ferguson wameripotiwa kutumia nguvu nyingi na kusababisha mauaji dhidi ya kijana mweusi nchini Marekani.

 

11 years ago

Habarileo

Polisi: Kuna usalama Krismasi, mwaka mpya

JESHI la Polisi nchini na vyombo vingine vya ulinzi na usalama vimejipanga kuhakikisha vitendo vyovyote vya uhalifu vitakavyojitokeza wakati wa sikukuu za Krismasi na Mwaka mpya vinadhibitiwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani