Gavana: Watanzania njooni Hiiumaa kuna fursa za ajira
Gavana wa Kisiwa cha Hiiumaa, kilichoko Estonia, Riho Ruhoja amewakaribisha Watanzania kutumia fursa za ajira zilizoko kisiwani humo kwa kuwa kuna idadi ndogo ya wakazi katika eneo hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo23 Jan
Watanzania wahimizwa kuchangamkia fursa za ajira, Emirates
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Watanzania wachelea fursa za ajira Afrika Mashariki
WAKATI wakuu wa nchi za Afrika Mashariki walipotia saini mkataba wa kuanzisha Jumuiya ya Afrika Mashariki mwaka 1999, kila upande ulilenga maslahi ya kiuchumi na maendeleo kwa nchi na wananchi...
10 years ago
Vijimambo
LOWASSA AWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZA AJIRA ZITOLEWAZO NA AFRIKA MASHARIKI
Kauli hiyo ilitolewa jana na mgombea wa Urais kupitia Chadema, Edward Lowassa alipokuwa kwenye kampeni zake zilizofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Namanga.
Lowassa alisema iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, atahakikisha kuwa watanzania wanachangamkia fursa za Afrika Mashariki kama ilivyo kwa Kenya.
"Napenda mahusiano ya Afrika...
9 years ago
Michuzi
Benki ya Exim yatangaza fursa sawa ya ajira kwa watanzania bila kujali mipaka

11 years ago
GPL23 Jul
IVO MAPUNDA: WATANZANIA NJOONI TUONYESHE MATUMAINI KWA TAIFA LETU
10 years ago
Michuzi28 Jan
11 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Kuna ajira ngapi za upendeleo serikalini?
WIZARA ya Mambo ya Ndani, imetangaza kufuta ajira 228 baada ya kuthibitika kuwa zilitolewa kinyume na taratibu kwa upendeleo. Hatua hii ya wizara inafuatia malalamiko kutoka katika jamii, kupitia vyombo vya...
11 years ago
Habarileo27 Jun
Mbunge: Kuna ubaguzi ajira Polisi
MBUNGE wa Ileje, Aliko Kibona (CCM), amelalamikia alichoita ubaguzi unaofanyika katika utaratibu wa kuajiri Polisi, ambao hupata ajira ya kudumu baada ya kutumikia jeshi kwa miaka 12.
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Msitafute ajira, tengenezeni fursa
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade), Jaqueline Mneney amesema wakati wa watanzania kusaka ajira umekwisha, badala yake watambue muda walionao unawataka wanazalishe ajira. Alisema jambo hilo...