Polisi: Kuna usalama Krismasi, mwaka mpya
JESHI la Polisi nchini na vyombo vingine vya ulinzi na usalama vimejipanga kuhakikisha vitendo vyovyote vya uhalifu vitakavyojitokeza wakati wa sikukuu za Krismasi na Mwaka mpya vinadhibitiwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 Dec
Polisi yaonya vurugu Krismasi, Mwaka Mpya
POLISI imeonya juu ya vurugu na vitendo vya uhalifu katika kipindi hiki cha sikukuu za Krismasi na Mwaka mpya, ikisema imejipanga kukabiliana na aina yoyote ya uvunjifu wa amani.
9 years ago
Mwananchi04 Dec
Polisi watahadharisha kuongeza nauli Krismasi, Mwaka Mpya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xMCtlOLhuRcw2VBf9FB*C4*2hbK0y83b0BDUeRTcbP-ydDiZI2vXBlzUXXehLADkYpYO8ECKFJ7R-AFyiAtYqFruGtVKk-vm/xmass.gif?width=650)
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Wapendanao wanapaswa kuzitumiaje Krismasi na Mwaka Mpya?
Nianze kwa kuwatakia heri ya Krismasi na Mwaka Mpya wasomaji wa safu hii. Najua kabla ya mwaka huu kufika, kila mtu alijiwekea malengo yake. Kuna ambao walipanga kuoana, kuchumbiana au kutambulishana. Mmetimiza ahadi yenu?
Katika makundi hayo yote, hapo waliofanikiwa kufikia hatua waliyojipangia lakini pia wengine hawakuweza kufikia malengo yao. Penzi sahihi ni lile lenye malengo. Mkiishi katika uhusiano ambao kila mmoja wenu anawaza lake, hakuna maisha.
Kwenye uhusiano lazima kuwe na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6aOMGtxdGe535xDlE6--yncyg8nCJOyc9YkQRi-uDcexljqFp63LleTo0HF7gB62CFN1Y6fopfPKOmxGE1PPRBDMt7VGsotc/2.jpg)
SHIA WATUMA SALAM ZA KRISMASI, MWAKA MPYA KWA WAKRISTO
10 years ago
GPL24 Dec
10 years ago
Vijimambo25 Dec
SALAMU ZA KRISMASI NA KHERI YA MWAKA MPYA KUTOKA UONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA NEW YORK
![](http://cdn.playbuzz.com/cdn/54602225-eb1b-4c77-b4bf-dcdec5d184dd/0b9c9900-fdb7-4e10-9c5a-1d5c110c6313.jpg)
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Saa chache kabla ya kufunga mwaka kuna hii taarifa kutoka Jeshi la Polisi..
Tukiwa tumebakiza masaa machache kabla ya kuuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka 2016, Jeshi la Polisi limetoa tahadhari kuelekea mkesha wa mwaka mpya. Katika taarifa ya Jeshi hilo iliyotolewa na msemaji Advera Bulimba imesema wamejipanga vyema kukabiliana na vitendo vya uhalifu vitakavyojitokeza na kuimarisha ulinzi katika fukwe za bahari na maeneo mbalimbali ya starehe. Taarifa hiyo […]
The post Saa chache kabla ya kufunga mwaka kuna hii taarifa kutoka Jeshi la Polisi.. appeared first on...
10 years ago
MichuziBENKI YA AZANIA TAWI LA MOSHI YAPITA MITAANI NA KUTOA MKONO WA KRISMASI NA HERI YA MWAKA MPYA KWA WATEJA WAKE