Polisi watahadharisha kuongeza nauli Krismasi, Mwaka Mpya
Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga amesema kampuni au mtu atakayeongeza nauli ya mabasi yaendayo mikoani na nje ya nchi katika kipindi cha sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya atakamatwa na kufikishwa mahakamani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo23 Dec
Polisi: Kuna usalama Krismasi, mwaka mpya
JESHI la Polisi nchini na vyombo vingine vya ulinzi na usalama vimejipanga kuhakikisha vitendo vyovyote vya uhalifu vitakavyojitokeza wakati wa sikukuu za Krismasi na Mwaka mpya vinadhibitiwa.
10 years ago
Habarileo25 Dec
Polisi yaonya vurugu Krismasi, Mwaka Mpya
POLISI imeonya juu ya vurugu na vitendo vya uhalifu katika kipindi hiki cha sikukuu za Krismasi na Mwaka mpya, ikisema imejipanga kukabiliana na aina yoyote ya uvunjifu wa amani.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xMCtlOLhuRcw2VBf9FB*C4*2hbK0y83b0BDUeRTcbP-ydDiZI2vXBlzUXXehLADkYpYO8ECKFJ7R-AFyiAtYqFruGtVKk-vm/xmass.gif?width=650)
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Wapendanao wanapaswa kuzitumiaje Krismasi na Mwaka Mpya?
Nianze kwa kuwatakia heri ya Krismasi na Mwaka Mpya wasomaji wa safu hii. Najua kabla ya mwaka huu kufika, kila mtu alijiwekea malengo yake. Kuna ambao walipanga kuoana, kuchumbiana au kutambulishana. Mmetimiza ahadi yenu?
Katika makundi hayo yote, hapo waliofanikiwa kufikia hatua waliyojipangia lakini pia wengine hawakuweza kufikia malengo yao. Penzi sahihi ni lile lenye malengo. Mkiishi katika uhusiano ambao kila mmoja wenu anawaza lake, hakuna maisha.
Kwenye uhusiano lazima kuwe na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6aOMGtxdGe535xDlE6--yncyg8nCJOyc9YkQRi-uDcexljqFp63LleTo0HF7gB62CFN1Y6fopfPKOmxGE1PPRBDMt7VGsotc/2.jpg)
SHIA WATUMA SALAM ZA KRISMASI, MWAKA MPYA KWA WAKRISTO
10 years ago
GPL24 Dec
10 years ago
Vijimambo25 Dec
SALAMU ZA KRISMASI NA KHERI YA MWAKA MPYA KUTOKA UONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA NEW YORK
![](http://cdn.playbuzz.com/cdn/54602225-eb1b-4c77-b4bf-dcdec5d184dd/0b9c9900-fdb7-4e10-9c5a-1d5c110c6313.jpg)
10 years ago
Habarileo25 Dec
Mabasi 21 yaadhibiwa kwa nauli juu Krismasi
JESHI la Polisi kwa kushirikiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), limewaadhibu wamiliki wa magari zaidi ya 21.
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Utapeli wa kuongeza nauli waibuka Ubungo
KATIKA Kituo cha Mabasi ya Mikoani na Nje ya Nchi cha Ubungo (UBT), kumeibuka utapeli unaofanywa na mawakala wa kuwauzia tiketi kwa bei ya juu wasafiri. Akizungumza na Tanzania Daima...