Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIONGOZI NA WAFANYAKAZI WA GLOBAL PUBLISHERS LTD WANAWATAKIA HERI YA KRISMASI NA MWAKA MPYA

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

GLOBAL PUBLISHERS INAWATAKIA HERI YA MWAKA MPYA 2015

Mkurugenzi na wafanyakazi wote wa Kampuni ya Global Publishers wanawatakia wasomaji wetu wote wa mtandao na magazeti yetu heri ya mwaka mpya.

 

9 years ago

Global Publishers

Global Publishers Inakutakia Heri na Fanaka za Mwaka Mpya 2016

Happy-New-Year-2016

Mkurugenzi na wafanyakazi wote wa Global Publishers tunawatakia wasomaji wetu wote wa Magazeti yetu, Tovuti yetu, kurasa zetu za Facebook, Twitter na Instagram heri ya Mwaka Mpya 2016.

Tunawatakia baraka na mafanikio mema kwa huu tuliouanza leo.

 

9 years ago

Michuzi

NGOMA AFRICA BAND INAWATAKIA HERI YA SIKUU YA MAULID NA HERI YA KRISMASI NA MWAKA MPYA

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya The Ngoma Africa Band aka FFU-ughaibuni inayoongozwa na Kamanda  Ras Makunja yenye maskani nchini ujerumani inawatakieni kila la heri katika siku kuu ya Maulid el Nabii Muhammad(S.W.A) pia Heri ya siku kuu ya Krismasi kwa wadau wote iwena amani,upendo,furaha na mshikamano bila kusahau kupata muziki at www.ngoma-africa.com au www.reverbnation.com/ngomaafricabandjumuika nao at www.facebook.com/ngomaafricaband

 

11 years ago

GPL

WAFANYAKAZI WA GLOBAL PUBLISHERS WAUKARIBISHA MWAKA 2014 KWA AINA YAKE CHADIBWA BEACH

Wafanyakazi wa Kampuni ya Global Publishers Ltd wakipozi katika picha ya pamoja ikiwa ni ishara ya kuukaribisha rasmi mwaka 2014 katika ufukwe wa Chadibwa, Kigamboni Dar.…

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA AZANIA TAWI LA MOSHI YAPITA MITAANI NA KUTOA MKONO WA KRISMASI NA HERI YA MWAKA MPYA KWA WATEJA WAKE

Mkurugenzi wa Idara ya Oparesheni ya Benki ya Azania, Togolani Mramba (wa pili kushoto), akimkabidhi zawadi mmoja wa wateja wakuu wa Benki hiyo mkoani Kilimanjaro, Mfanyabiashara wa Nafaka, Izina Rashid Msangi, ikiwa ni utaratibu wa kawaida wa Benki hiyo kutoa mkono wa shukrani kwa wateja wake na kuwatakia heri katika sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya, wanaoshuhudia ni wafanyakazi wa Benki hiyo, wakiongozwa na Meneja wa Azania Tawi la Moshi, Bi. Hajira Mmambe.Timu ya Wafanyakazi wa Benki ya...

 

9 years ago

Global Publishers

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani