Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utapeli wa kuongeza nauli waibuka Ubungo

KATIKA Kituo cha Mabasi ya Mikoani na Nje ya Nchi cha Ubungo (UBT), kumeibuka utapeli unaofanywa na mawakala wa kuwauzia tiketi kwa bei ya juu wasafiri. Akizungumza na Tanzania Daima...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Utapeli wa nyumba za kupanga waibuka

Umeibuka mtandao wa matapeli jijini hapa wanaojifanya madalali wa nyumba na viwanja, ambao wanatumia matangazo na namba za simu wanazoziweka magazetini kuwanasa watu kwa urahisi.

 

10 years ago

Mwananchi

Utapeli wakithiri Kituo cha Mabasi Ubungo

Kama siyo mwenyeji wa jiji hili au kama hujatembelea maeneo ya Ubungo kwa muda mrefu unaweza kupoteza ramani ya hapa. Kwa sasa eneo hili lina mwonekano tofauti kiasi ukilinganisha na kipindi cha nyuma. 

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi watahadharisha kuongeza nauli Krismasi, Mwaka Mpya

Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga amesema kampuni au mtu atakayeongeza nauli ya mabasi yaendayo mikoani na nje ya nchi katika kipindi cha sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya atakamatwa na kufikishwa mahakamani.

 

9 years ago

Michuzi

KAMANDA MPINGA AONYA WENYE MABASI KUONGEZA NAULI, AZINDUA HUDUMA FASTA FASTA KWA BODABODA

 Kamanda wa Polisi wa kikosi cha usalama Barabarani nchini Kamishna Msaidizi wa Polisi, Mohammed Mpinga, akipata maelezo jinsi ya kujiunga na huduma mpya kwa abiria wa bodaboda inayopatikana kwa njia ya mtandao wa simu za mikononi ijulikanayo kwa jina la “Fasta Fasta Services”. Huduma hiyo umwezesha abiria kupata huduma ya usafiri huo kwa kufuatwa mahali alipo. Picha/Mpiga Picha wetuKamanda wa Polisi wa kikosi cha usalama Barabarani nchini Kamishna Msaidizi wa Polisi, Mohammed Mpinga pamoja...

 

10 years ago

Vijimambo

TUCTA WAIBUKA WASEMA LIWALO NA LIWE WAMECHOKA, UFISADI WA ESROW,TUCTA WAIBUKA WASEMA LIWALO NA LIWE WAMECHOKA SEMA HAPA KUJUA



Pichani ni Rais wa mpya chama cha Wafanyakazi nchi TUCTA Gration Mukoba picha na Maktaba
Na karoli Vinsent
CHAMA cha Wafanya kazi nchini (TUCTA) nao wamejitosa Kwa mara ya Kwanza kwenye sakata la Ufisadi wa zaidi ya bilioni 400 za kitanzania kwenye Akaunti ya Escrow na kusema chama hicho hakiwezi kukubaliana na ufisadi huo na kuitaka serikali kuwachukulia hatua kali ya watu wote waliohusika na wizi.
Na kama endapo Bunge pamoja na serikali hawatawachukulia hatua zozote Viongozi...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Tanzania Daima

Jihadhari na utapeli huu

KUNDI la matapeli limeibuka na kuwaliza mamilioni ya fedha watu wanaosaka ajira nchini, Tanzania Daima limebaini. Matapeli hao hujifanya maofisa wa baadhi ya ofisi za umma ambao hutangaza kwamba kuna...

 

10 years ago

GPL

MASOGANGE NA SKENDO YA UTAPELI

Stori: Imelda Mtema
VIDEO Queen matata Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ amefungua mdomo wake na kuwaka kuwa anachukizwa na tabia ya baadhi ya watu ambao wanatumia jina lake kutapeli kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook.Akizungumza na mwanahabari wetu,  Masogange alisema kuwa watu wanaotumia jina lake wakome Video Queen matata Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’. kwa sababu wanamjengea hisia tofauti...

 

10 years ago

BBCSwahili

BBC yawatahadharisha juu ya utapeli

BBC inawatahadharisha wasikilizaji na watumiaji wa mtandao wake dhidi ya watu wenye nia ya kitapeli kwa kutumia jina lake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani