TUCTA WAIBUKA WASEMA LIWALO NA LIWE WAMECHOKA, UFISADI WA ESROW,TUCTA WAIBUKA WASEMA LIWALO NA LIWE WAMECHOKA SEMA HAPA KUJUA

Pichani ni Rais wa mpya chama cha Wafanyakazi nchi TUCTA Gration Mukoba picha na Maktaba
Na karoli Vinsent
CHAMA cha Wafanya kazi nchini (TUCTA) nao wamejitosa Kwa mara ya Kwanza kwenye sakata la Ufisadi wa zaidi ya bilioni 400 za kitanzania kwenye Akaunti ya Escrow na kusema chama hicho hakiwezi kukubaliana na ufisadi huo na kuitaka serikali kuwachukulia hatua kali ya watu wote waliohusika na wizi.
Na kama endapo Bunge pamoja na serikali hawatawachukulia hatua zozote Viongozi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 May
Membe, Lowassa liwalo na liwe
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Liwalo na liwe na mimi ninaianza safari yangu — 2!
RAIS wangu, kwa wale ambao hawakusoma utangulizi wa safari yangu niliandika kuwa liwe na liwalo na mimi nimeazimia kuianza safari yangu. Lakini mimi sioti. Safari yangu ni safari kindakindaki! Mwenzetu...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jan
Liwalo na liwe na mimi ninaianza safari yangu!
RAIS wangu, na mimi nimeazimia kuianza safari yangu. Lakini safari yangu siyo ya ndotoni. Sijaota. Safari yangu ni safari kindakindaki! Mwenzetu mmoja alitangaza kuianza safari yake; La la la! Kelele...
9 years ago
Habarileo30 Dec
Ufisadi mwingine waibuka bandarin
MAKONTENA mengine 11,884 na magari 2,019, yamebainika kuwa yametoroshwa katika bandari kavu (ICD) saba jijini Dar es Salaam bila kulipiwa ushuru wa bandari, hivyo kuipotezea Serikali mapato ya Sh bilioni 48.55.
11 years ago
Mwananchi22 Oct
Ufisadi wa Sh1.4 bil waibuka TFF
10 years ago
Mzalendo Zanzibar27 Sep
Magufuli Azomewa Jijini Mbeya…..Wananchi Wasema Wanamtaka Lowassa Hapa.
Makufuli akumbana na wakati mgumu mbeya ya zomea zomea nakuonyeshwa sign za Chadema na kuiba Kwa kelele Luwassa Luwassa . Sunday, September 27, 2015 Bonyeza vidio
The post Magufuli Azomewa Jijini Mbeya…..Wananchi Wasema Wanamtaka Lowassa Hapa. appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo25 Nov
MACHUNGU YA UFISADI WA ESCROW YAANZA KUONEKANA ,SHILINGI YATANZANIA YASHUKA RASMI,SOMA HAPA KUJUA.

Dar es Salaam. Hatua ya wahisani kuzuia Sh1 trilioni za misaada ya kibajeti kwa Serikali kutokana na kashfa ya IPTL na wasiwasi wa Uchaguzi Mkuu mwakani, ni miongoni mwa sababu za kuporomoka kwa kasi thamani ya Shilingi nchini, imefahamika.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti wiki iliyopita, wasomi na wadau wa biashara nchini walisema sababu nyingine ni uagizaji na uuzaji bidhaa nje ya nchi.
Kwa mujibu wa takwimu za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Januari 2, mwaka huu, Dola moja ya Marekani ilikuwa...
10 years ago
Habarileo01 Apr
JK: Suala la ajira liwe ajenda ya maendeleo
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuna umuhimu mkubwa wa kuweka suala la ajira katika ajenda ya maendeleo, mipango na programu ya Mataifa yote duniani.
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Taifa liwe macho na mikataba ya wawekezaji