Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Liwalo na liwe na mimi ninaianza safari yangu!

RAIS wangu, na mimi nimeazimia kuianza safari yangu. Lakini safari yangu siyo ya ndotoni. Sijaota. Safari yangu ni safari kindakindaki! Mwenzetu mmoja alitangaza kuianza safari yake; La la la! Kelele...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Liwalo na liwe na mimi ninaianza safari yangu — 2!

RAIS wangu, kwa wale ambao hawakusoma utangulizi wa safari yangu niliandika kuwa liwe na liwalo na mimi nimeazimia kuianza safari yangu. Lakini mimi sioti. Safari yangu ni safari kindakindaki! Mwenzetu...

 

10 years ago

Vijimambo

TUCTA WAIBUKA WASEMA LIWALO NA LIWE WAMECHOKA, UFISADI WA ESROW,TUCTA WAIBUKA WASEMA LIWALO NA LIWE WAMECHOKA SEMA HAPA KUJUA



Pichani ni Rais wa mpya chama cha Wafanyakazi nchi TUCTA Gration Mukoba picha na Maktaba
Na karoli Vinsent
CHAMA cha Wafanya kazi nchini (TUCTA) nao wamejitosa Kwa mara ya Kwanza kwenye sakata la Ufisadi wa zaidi ya bilioni 400 za kitanzania kwenye Akaunti ya Escrow na kusema chama hicho hakiwezi kukubaliana na ufisadi huo na kuitaka serikali kuwachukulia hatua kali ya watu wote waliohusika na wizi.
Na kama endapo Bunge pamoja na serikali hawatawachukulia hatua zozote Viongozi...

 

10 years ago

Mwananchi

Membe, Lowassa liwalo na liwe

Dar es Salaam. Makada watano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambao ni miongoni mwa wanaotajwa kutaka kuwania nafasi ya urais, wamefanya uamuzi mgumu wa kutangaza kutogombea tena ubunge kwenye majimbo yao.

 

10 years ago

GPL

NINGEKUWA MIMI GODBLESS LEMA, NINGETHIBITISHA KAULI YANGU KUHUSU CHAGONJA

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Jonathan Lema. Kwako Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Jonathan Lema. Najua hunijui na hakuna mazingira yanayoweza kutukutanisha pamoja lakini hilo halinizuii kukufikishia ujumbe ninaotaka kukupa. Mheshimiwa, mimi sikuzaliwa Oktoba 26, 1976 kama wewe. Sikusoma Shule ya Msingi Kalangala kuanzia mwaka 1983 hadi 1989 wala sikujiunga na Sekondari ya Geita na baadaye kusoma kidato cha tano na sita...

 

10 years ago

Mwananchi

Nyilawila: Safari yangu Czech ilikuwa ngumu

“Sitaisahau safari yangu ya Jamhuri ya Czech niliyokwenda kucheza pambano la ubingwa wa dunia la WBF, ilikuwa safari ngumu kwangu, nikiwa kwenye ndege muda mwingi niliutumia kuwaza nitachezaje bila kuwa na kocha wa kunisaidia ulingoni?,” ndivyo anaanza kusimulia bondia namba mbili nchini wa uzani wa super middle, Karama Nyilawila.

 

10 years ago

Bongo5

Linex: Mimi sijawahi kua mvuta bangi maisha yangu yote na kama ninavuta Mungu ananiona

Kuna baadhi ya watu ambao huamini kuwa mtu akishakuwa msanii wa muziki ni lazima atakua mtumiaji wa vilevi kama bangi, na wapo wanaoamini kuwa binti akishaingia kwenye sanaa ya urembo pia ni lazima atajihusisha na umalaya, kitu ambacho si kweli kwasababu hiyo ni tabia ya mtu binafsi. Linex Sunday Mjeda leo ameamua kujibu swali ambalo […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema: Safari Yangu ya Siasa Ndiyo Kwanza Inaanza

Nilivyo amua kugombea viti maalum, nilijua kuna kupata na kukosa. Awamu hii nimekosa, ila dunia bado inazunguka. Nawapongeza walioshinda. Nawashukuru mlioniunga mkono, Mungu aendelee kuwabariki kwa mapenzi yenu juu yangu, yananipa moyo.

Nawashukuru pia wote mlionipinga maana mmeniongezea ujasiri na nina nguvu mpya ya kuthubutu upya. 2015 ni mwaka wa kipekee kwenye muamko wa vijana Tanzania. Bigger things loading.. Most of all Nilizaliwa nikiwa katika Chama Cha Mapinduzi na nitakufa nikiwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Coke Studio ni moja ya mafanikio katika safari yangu ya muziki-Ben Paul

BEN 1

.Wanamuziki Ben Paul na Fid Q wanaoshiriki kwenye  onyesho la Coke Studio wakiwa katika picha ya pamoja na washabiki wao wakati wa uzinduzi wa onyesho hili jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

BEN 2

Sehemu ya wafanyakazi wa kiwanda cha Coca Cola Kwanza wakifuatilia onyesho la Coke Studio. BEN 3 Msimu wa Coke Studio umewahusisha pia wanafunzi mashuleni kuonyesha vipaji vyao kama anavyoonekana mwanafunzi akionyesha kipaji cha kucheza katika moja ya tamasha la Coke Studio lililofanyika mjini Mwanza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani