NINGEKUWA MIMI GODBLESS LEMA, NINGETHIBITISHA KAULI YANGU KUHUSU CHAGONJA
![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa69wmmAtUesjixnZRR4btYFfIds3lj8CPYbGa0einsEGUZBg*wCC5eabsvWLqR8lTFSjchBsfNQd0MMuTjBK7zh/lemapix.jpg?width=650)
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Jonathan Lema. Kwako Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Jonathan Lema. Najua hunijui na hakuna mazingira yanayoweza kutukutanisha pamoja lakini hilo halinizuii kukufikishia ujumbe ninaotaka kukupa. Mheshimiwa, mimi sikuzaliwa Oktoba 26, 1976 kama wewe. Sikusoma Shule ya Msingi Kalangala kuanzia mwaka 1983 hadi 1989 wala sikujiunga na Sekondari ya Geita na baadaye kusoma kidato cha tano na sita...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ybieUunwRQM/VYUKkt_l2VI/AAAAAAAAHO8/yaqUqRlvF-4/s72-c/LEMA.png)
Godbless Lema Apata mpinzani Arusha ......Aja na Kauli mbiu "Chagua maendeleo usichague Soda"
![](http://3.bp.blogspot.com/-ybieUunwRQM/VYUKkt_l2VI/AAAAAAAAHO8/yaqUqRlvF-4/s1600/LEMA.png)
HARAKATI za kuwania ubunge katika Jimbo la Arusha Mjini zimeanza baada ya kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mustafa Abdulla Panju, kutangaza rasmi nia ya kugombea nafasi hiyo akiwa na kauli mbiu ya chagua maendeleo, usichague soda.Panju alitangaza rasmi nia hiyo jana katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika jijini hapa, ambapo aliwataka wanachama wa CCM kumuamini na kumpa nafasi ili apeperushe bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huuAidha, alisema...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfbInsB5bPTeKPqhD-lx8I5XDcvisLnWMVXZvcVDCVp-BSEuKBcxmGMSG0*t1E7JFVoGudwJkzBZ-5MPR4cuTi2f/HAWAGHASIA.jpg?width=650)
NINGEKUWA MIMI HAWA GHASIA, NINGEKUWA WA KWANZA KUJIUZULU
10 years ago
Mtanzania31 Jan
Lema amshambulia Polisi Chagonja
Na Maregesi Paul, Dodoma
MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema), jana alimshambulia kwa maneno makali Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Paul Chagonja, kuwa anaweza kuwa anashirikiana na majambazi wanaovamia vituo vya polisi na kupora silaha.
Lema alitoa maneno hayo makali ya kumshambulia Chagonja bungeni jana, wakati akichangia taarifa za Kamati za Bunge za Hesabu za Serikali Kuu (PAC) na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC).
Akichangia hoja...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-cwGvojgeDO4/Vm9dzOEu4kI/AAAAAAAAXb8/PmwraiuJQ-Y/s72-c/pic%252Blema.jpg)
GODBLESS LEMA AREJEA BUNGENI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Fk5g0t9PHmg/VQx_JOEWitI/AAAAAAAHLv8/Qj7ltfTx9mk/s72-c/unnamed%2B(69).jpg)
MHE. GODBLESS LEMA ATUNGIWA NYIMBO
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fk5g0t9PHmg/VQx_JOEWitI/AAAAAAAHLv8/Qj7ltfTx9mk/s1600/unnamed%2B(69).jpg)
5 years ago
The Citizen Daily12 Mar
DPP vows to act tough against Arusha MP Godbless Lema
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Baada ya Godbless Lema kutangazwa mshindi ubunge Arusha, Mollel ameyasema haya
Weekend iliyopita ulifanyika uchaguzi kwenye jimbo la Arusha mjini kumtafuta Mbunge ambaye ataliongoza jimbo hilo kwa miaka mitano ijayo ambapo Mshindi alitangazwa kuwa Godbless Lema wa CHADEMA, pamoja na ushindi wake kutangazwa aliyekua mgombea wa CCM Philemon Mollel amejitokeza kusema ushindi ni batili. Sababu zote zilizomfanya Mollel kusema ushindi huo ni batili zipo ukibonyeza play […]
The post Baada ya Godbless Lema kutangazwa mshindi ubunge Arusha, Mollel ameyasema haya appeared first...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7XMOhU2kcfw/Xl5rcpFE7DI/AAAAAAALgw8/YJC6mFvtXzwT9Y3cJcwdiAgQbmWQhQHoQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
KAMISHNA WA OPERESHENI NA MAFUNZO CP SABAS AAGIZA MBUNGE GODBLESS LEMA ATAFUTWE, AKAMATWE POPOTE ALIPO
![](https://1.bp.blogspot.com/-7XMOhU2kcfw/Xl5rcpFE7DI/AAAAAAALgw8/YJC6mFvtXzwT9Y3cJcwdiAgQbmWQhQHoQCLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
KAMISHNA wa Operesheni na Mafunzo Liberatus Sabas, amewasili mkoani Singida na kisha kutumia nafasi hiyo ufafanuzi kuhusu matukio ya mauaji ya watu 14 yaliyotokea wilayani Manyoni mkoani humo kuanzia mwaka jana mpaka Februari mwaka huu huku akitoa maagizo ya kutafutwa na kukamatwa kwa Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema.
Akizungumza leo mkoani Singida Kamishna Sabas amewaambia waandishi wa habari kuwa taarifa hizo za uongo ambazo zilisambazwa...
10 years ago
MichuziMHE. GODBLESS LEMA AFUNGUA WARSHA YA AFYA YA UZAZI NA UKIMWI KWA VIJANA JIJINI ARUSHA