Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wema: Safari Yangu ya Siasa Ndiyo Kwanza Inaanza

Nilivyo amua kugombea viti maalum, nilijua kuna kupata na kukosa. Awamu hii nimekosa, ila dunia bado inazunguka. Nawapongeza walioshinda. Nawashukuru mlioniunga mkono, Mungu aendelee kuwabariki kwa mapenzi yenu juu yangu, yananipa moyo.

Nawashukuru pia wote mlionipinga maana mmeniongezea ujasiri na nina nguvu mpya ya kuthubutu upya. 2015 ni mwaka wa kipekee kwenye muamko wa vijana Tanzania. Bigger things loading.. Most of all Nilizaliwa nikiwa katika Chama Cha Mapinduzi na nitakufa nikiwa...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wema afurahi kukubalika aanza safari rasmi ya siasa

DSC00633

Mgombea nafasi ya ubunge viti maalum CCM mkoa wa Singida, Wema Sepetu, akisindikizwa kwa maandamano kuelekea ukumbi wa mkutano wa kanisa la katoliki mjini Singida, kushiriki zoezi la uchaguzi wa kuchagua wana CCM wawili watakaoshika nafasi za ubunge viti maalum.

DSC00637

Mgombea nafasi ya ubunge viti maalum CCM mkoa wa Singida, Wema Sepetu, akiwa na na mgombea mwenzake Sara Mwambu, wakipokelewa kwenye lango la kuingilia kwenye  ukumbi wa mkutano wa kanisa la katoliki mjini Singida, kwa ajili ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Siasa sio mchezo mchafu bali CCM ndiyo yenye siasa chafu

SIASA safi ni kitu chema na siasa ni maisha na naamini Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai atakubaliana na mimi asilimia mia kwa hili na kama si kweli hapana shaka...

 

10 years ago

GPL

HAYA NDIYO MALENGO YANGU 2015!

Kwanza nawatakieni tena wote heri ya mwaka mpya 2015, hata wale walioanza mwaka kwa ‘kuwekwa kiporo’, waliofukuzwa kazi na bosi, waliogawana ule mkwanja, waliokosa ule mkwanja, wanaolalamika kwa kuwa walikosa ule mkwanja, wanaolalamika kwa kuwa wanaona wananchi waliukosa ule mkwanja, wanaolalamika kuhusu ule mkwanja kusudi wapate mkwanja, wanaolalamika kwa nini watu wanalalamika kuhusu ule mkwanja, wanaolalamika kuwa...

 

11 years ago

GPL

MASOGANGE: MAKALIO YANGU NDIYO KILA KITU

Stori: Imelda Mtema
VIDEO QUEEN ‘grade one’ Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ amefunguka kuwa hakuna kitu anakizimikia kwenye mwili wake kama makalio. Video Queen ‘grade one’ Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ asogange aliiambia Bongowood kuwa:“Hakuna sehemu ninayoipenda kama makalio, yamekaa vizuri, nayapenda, najidai kupitia sehemu hiyo niliyojaaliwa na Mwenyezi...

 

11 years ago

Mwananchi

Hii ndiyo siri yangu-Mzee Yusuph

Mwanamuziki wa miondoko ya taarabu Mzee Yusuph ametaja siri ya mafanikio yake kuwa ni pamoja na kusoma alama za nyakati huku akifuata na wanachotaka mashabiki wake.

 

10 years ago

GPL

DUDE: AKILI YANGU MBOVU NDIYO MAANA SIOI

Stori: Imelda Mtema/Risasi
STAA wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba, amesema licha ya kuishi na mzazi mwenzie kwa zaidi ya miaka kumi, anashindwa kuoa kwa sababu akili yake siyo nzuri. Staa wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba. Akipiga stori mbili tatu na mwanahabari wetu, Dude alisema linapokuja suala la kulaumiwa kuchelewa kuoa, anastahili kwani hakuna kitu kinachomsababisha asioe zaidi ya akili yake kuwa mbovu. “Mimi...

 

10 years ago

GPL

Q-CHILLAH: CHUJI, NIYONZIMA NA MANGWAIR NDIYO WALIOOKOA MAISHA YANGU

Mwanamuziki nguli wa Bongo Fleva, Aboubakar Shaaban Katwila ‘Q- Chillah’, katika mahojiano yake na Global TV Online sehemu ya PILI amefunguka mambo kibao yakiwemo haya: Q-Chillah akifikiria jambo wakati akihojiwa na Global TV Online. - Safari yake ya…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Liwalo na liwe na mimi ninaianza safari yangu — 2!

RAIS wangu, kwa wale ambao hawakusoma utangulizi wa safari yangu niliandika kuwa liwe na liwalo na mimi nimeazimia kuianza safari yangu. Lakini mimi sioti. Safari yangu ni safari kindakindaki! Mwenzetu...

 

10 years ago

Mwananchi

Nyilawila: Safari yangu Czech ilikuwa ngumu

“Sitaisahau safari yangu ya Jamhuri ya Czech niliyokwenda kucheza pambano la ubingwa wa dunia la WBF, ilikuwa safari ngumu kwangu, nikiwa kwenye ndege muda mwingi niliutumia kuwaza nitachezaje bila kuwa na kocha wa kunisaidia ulingoni?,” ndivyo anaanza kusimulia bondia namba mbili nchini wa uzani wa super middle, Karama Nyilawila.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani