Wema afurahi kukubalika aanza safari rasmi ya siasa
Mgombea nafasi ya ubunge viti maalum CCM mkoa wa Singida, Wema Sepetu, akisindikizwa kwa maandamano kuelekea ukumbi wa mkutano wa kanisa la katoliki mjini Singida, kushiriki zoezi la uchaguzi wa kuchagua wana CCM wawili watakaoshika nafasi za ubunge viti maalum.
Mgombea nafasi ya ubunge viti maalum CCM mkoa wa Singida, Wema Sepetu, akiwa na na mgombea mwenzake Sara Mwambu, wakipokelewa kwenye lango la kuingilia kwenye ukumbi wa mkutano wa kanisa la katoliki mjini Singida, kwa ajili ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Wema Sepetu aanza safari ya kuwania Ubunge wa Viti maalum Singida
Tanzania 2006 na Msanii wa Bongo Movie,Bi Wema Sepetu akipokea maelekezo kutoka kwa katibu wa CCM wilaya ya Ikungi,Bwana Alluu Ismaili Segamba kabla ya kuongea na wananhi pamoja na wanachama waliohudhuria kwenye mkutano huo. (Picha zote na Jumbe Ismailly).
Na Jumbe Ismailly,Ikungi
Hatimaye aliyewahi kuwa, Miss Tanzania 2006 na Msanii wa Bongo Movie,Wema Spetu ameanza safari maalum ya kuwania nafasi ya Ubunge kupitia chama cha Mapinduzi Mkoani Singida, ambapo ni chimbuko la Mama yake...
10 years ago
Bongo Movies25 Jul
Wema: Safari Yangu ya Siasa Ndiyo Kwanza Inaanza
Nilivyo amua kugombea viti maalum, nilijua kuna kupata na kukosa. Awamu hii nimekosa, ila dunia bado inazunguka. Nawapongeza walioshinda. Nawashukuru mlioniunga mkono, Mungu aendelee kuwabariki kwa mapenzi yenu juu yangu, yananipa moyo.
Nawashukuru pia wote mlionipinga maana mmeniongezea ujasiri na nina nguvu mpya ya kuthubutu upya. 2015 ni mwaka wa kipekee kwenye muamko wa vijana Tanzania. Bigger things loading.. Most of all Nilizaliwa nikiwa katika Chama Cha Mapinduzi na nitakufa nikiwa...
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Wema Sepetu sasa rasmi katika siasa
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-SB79Pcj9q5M/VX2iLMTn1EI/AAAAAAAASxY/1EatthTluEc/s72-c/IMG-20150518-WA0004.jpg)
MTIA NIA WA UBUNGE JIMBO LA KILOSA KUPITIA CHADEMA NDUGU RAJAB MSABAHA KAUZELA AANZA RASMI SAFARI YAKE YA KUWAKOMBOA WANA-KILOSA
![](http://3.bp.blogspot.com/-SB79Pcj9q5M/VX2iLMTn1EI/AAAAAAAASxY/1EatthTluEc/s1600/IMG-20150518-WA0004.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2ip2ueH4r6o/VX2iMhBZwkI/AAAAAAAASxg/OXLcOEcJarI/s1600/IMG-20150614-WA0000.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vMBmd6X6jTg/VX2iP9ToCiI/AAAAAAAASxo/0DRLlJHZdk0/s1600/IMG-20150613-WA0023.jpg)
11 years ago
Habarileo30 Dec
JK aanza safari ya historia
RAIS Jakaya Kikwete, leo anakabidhiwa Rasimu mpya ya Katiba, baada ya kufanyiwa marekebisho na Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mpya.
10 years ago
Habarileo31 May
Lowassa aanza safari yake
ALIYEKUWA Waziri Mkuu, Mbunge wa Monduli mkoani Arusha, Edward Lowassa, ametangaza nia ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), ili awe mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ReuTOx5h8cE/VFICIU8hWPI/AAAAAAAGuJs/CacIWcGGbnc/s72-c/DSCF0081.jpg)
SAFARI LAGER YAZINDUA RASMI PROGAMU YAKE YA “SAFARI LAGER WEZESHWA” KWA MSIMU 4 JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-ReuTOx5h8cE/VFICIU8hWPI/AAAAAAAGuJs/CacIWcGGbnc/s1600/DSCF0081.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-D0YseoIFta0/VFICIJz6vwI/AAAAAAAGuJo/g6I5j5mxTVU/s1600/DSCF0093.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-u1qQby7lzpg/VKxglk947LI/AAAAAAAG7wg/MDI0-uKW3cI/s72-c/unnamedn1.jpg)
SAFARI LAGER YATANGAZA RASMI UPATIKANAJI WA FOMU ZA PROGAMU YA SAFARI LAGER WEZESHWA MSIMU IV
Fomu hizo zichukuliwe, zijazwe na kurejeshwa kwenye vituo...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/1.jpg?width=500)
MISS TZ AANZA SAFARI YA DUNIA KWA KUCHANGIA DAMU