Wema Sepetu sasa rasmi katika siasa
Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu (pichani kushoto akiwa na mama yake), ametangaza rasmi nia yake ya kutaka kugombea ubunge wa Viti Maalumu Singida Mjini, kupitia tiketi ya CCM.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/P5NKfaKdwW0/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/DfH9uRjW8vE/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q2v7vAYsMbBtW9SJTfb9-0fB4lhcq*tyyZCI4r53Lgl5ki81tGfe8GWYbzvHXgdjsWaewNknmz2KcAF8dJotc0Z/BARUANZITO.jpg)
HONGERA WEMA SEPETU, SASA LINDA HESHIMA!
10 years ago
Bongo Movies21 Mar
Picha: Wema Sepetu Kwenye Uzinduzi Rasmi wa Mitsubishi ASX
Hizi ni baadhi ya picha za mrembo na staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu hapo jana usiku katika uzinduzi rasmi wa gari la kampuni ya Mitsubishi aina ya ASX akiwa kama balozi.
Hivi karibuni Wema Sepetu na mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo, walipata shavu la kutengeneza tangazo la gari hilo jipya ambapo kwenye tangazo la gari hilo, mastaa hao wenye ushawishi mkubwa wanaonekana wakisifia vitu mbalimbali vilivyomo kwenye gari hilo.
Hongera sana Wema na team yako kutoka Endless...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/0YXs-Z7sAcc/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Jul
Wema afurahi kukubalika aanza safari rasmi ya siasa
Mgombea nafasi ya ubunge viti maalum CCM mkoa wa Singida, Wema Sepetu, akisindikizwa kwa maandamano kuelekea ukumbi wa mkutano wa kanisa la katoliki mjini Singida, kushiriki zoezi la uchaguzi wa kuchagua wana CCM wawili watakaoshika nafasi za ubunge viti maalum.
Mgombea nafasi ya ubunge viti maalum CCM mkoa wa Singida, Wema Sepetu, akiwa na na mgombea mwenzake Sara Mwambu, wakipokelewa kwenye lango la kuingilia kwenye ukumbi wa mkutano wa kanisa la katoliki mjini Singida, kwa ajili ya...
10 years ago
Bongo Movies18 Jun
Wema: Baba Aliniambia Niingie Kwenye Siasa, Haya Sasa Naingia Vitani, Sitakubali Kushindwa
Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ambaye ametangaza nia kuwania ubunge wa Viti Maalum kupitia CCM ameandika hayo kwenye ukursa wake Instagram mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu ya zamani akiwa na mama yake pamoja na Marehemu baba yake.
"Naanza kwa kusema Alhamdulillah kwa kufikia hapa nilipo na nawashkuru sana wazazi wangu kwa kunileta duniani na kunilea katika maadili mazuri.
Nawashkuru pia kwa kunipa Elimu na kunipa chochote nilichokitaka but more over kwa kunipa support kubwa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/L87BcYtLJm8/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/F_3krU1MtNQ/default.jpg)