Picha: Wema Sepetu Kwenye Uzinduzi Rasmi wa Mitsubishi ASX
Hizi ni baadhi ya picha za mrembo na staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu hapo jana usiku katika uzinduzi rasmi wa gari la kampuni ya Mitsubishi aina ya ASX akiwa kama balozi.
Hivi karibuni Wema Sepetu na mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo, walipata shavu la kutengeneza tangazo la gari hilo jipya ambapo kwenye tangazo la gari hilo, mastaa hao wenye ushawishi mkubwa wanaonekana wakisifia vitu mbalimbali vilivyomo kwenye gari hilo.
Hongera sana Wema na team yako kutoka Endless...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Diamond Motors wazindua gari jipya la Mitsubishi 2015 ASX jijini Dar es Salaam
Hili ndilo gari la ASX Mitsubish jipya lililozinduliwa wiki iliyopita katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Wema Sepetu akiwasha gari Jipya la ASX Mitsubishi katika uzinduzi wa gari hilo jijini Dar es Salaam.
Mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo na mwigizaji maarufu nchini, Wema Sepetu wamesifia gari jipya la Mitsubishi ASX la mwaka 2015 linalouzwa na kusambazwa na kampuni ya Diamond Motors (Hansa Group).
Katika uzinduzi wa kutambulisha gari hilo uliofanyika mwishoni mwa wiki...
10 years ago
Bongo Movies24 Jul
Picha: Wema Sepetu Akiwa Kwenye Harakati za Ubunge Huko Singida
Hizi ni baadhi ya picha za staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu zinazo ‘trend’ leo hii mtandaoni kwa hapa bongo zikimuonyesha staa huyu aliyetitos kuwania nafasi ya ubunge wa viti maalum kupitia chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Singida.
Kila la Kheri Madam
10 years ago
Vijimambo27 Mar
PICHA YA WEMA SEPETU NA IDRIS SULTAN WAKIFANYA SHOPPING PAMOJA KWENYE SUPER MARKET
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Flh5.ggpht.com%2F-TC3W2KR3USU%2FVRU5pACHweI%2FAAAAAAAARJU%2FCOAvkq8G-l8%2Fs640%2FPhotoGrid_1427454235036.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Flh6.ggpht.com%2F-8L26tidyT8k%2FVRU6ZBOoPoI%2FAAAAAAAARJo%2F8tNJ1mo6s3Q%2Fs640%2FPhotoGrid_1427454286459.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Flh5.ggpht.com%2F-lgL19hqvDKA%2FVRU6XqOhH0I%2FAAAAAAAARJk%2Feyv0WSILqRM%2Fs640%2FPhotoGrid_1427454261122.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Flh5.ggpht.com%2F-L6fxEgHx3Bk%2FVRU6ahe952I%2FAAAAAAAARJw%2FgYs1YJPFXUg%2Fs640%2FPhotoGrid_1427454321865.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
CloudsFM22 Dec
9 years ago
Bongo508 Dec
Picha/Video: Tanesco wagundua wizi wa umeme kwenye nyuma ya Wema Sepetu, Idris Sultan akutwa ndani
![20151208052550](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/20151208052550-300x194.jpg)
Shirika la Umeme nchini, Tanesco limebaini wizi wa umeme nyumbani kwa Wema Sepetu.
Mafundi wa shirika hilo waliambatana na waandishi wa habari hadi kwenye nyumba hiyo na kubaini kuwa umeme unaingia moja kwa moja kwenye nyumba bila kupita kwenye mita.
Wakati mafundi hao wameingia nyumba hiyo walimkuta Idris Sultan ndani aliyejaribu kuwasihi wasiukate umeme.
Kukutwa kwa Idris kwenye nyumba hiyo kumetia mafuta zaidi tetesi za kuwa wawili hao wana uhusiano.
Jiunge na Bongo5.com...
10 years ago
Bongo509 Nov
Picha: Wema Sepetu na Penny wamaliza tofauti zao, wakumbatiana na kupiga picha pamoja
10 years ago
Bongo Movies08 Feb
PICHA:Penzi la Wema Sepetu na Ommy Dimpoz lazidi kuchanua, Watupia picha wakiwa kitandani!!
Baada ya kuwa ni wazi sasa kuwa wawili hao wapo kwenye Le Project flani Amazing..sasa wameamua kutupia picha kwenye kurasa zao za mitandaoni wakiwa kitandani.
Alianza Ommy na badae akafuta Wema ambae aliweka picha hizo jana usiku na kuwatakia followers wake usiku mwema.
Penzi la watu hawa linaendelea kuzua mvutano mkali kati ya wale ambao wanaona sawa na wale ambao wanaona kama sio sawa, wanaosema sawa wanasema,baada ya watu kuachana kila mmoja ana haki ya kula maisha na anaempenda hivyo...
10 years ago
CloudsFM30 Sep