Lowassa aanza safari yake
ALIYEKUWA Waziri Mkuu, Mbunge wa Monduli mkoani Arusha, Edward Lowassa, ametangaza nia ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), ili awe mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-SB79Pcj9q5M/VX2iLMTn1EI/AAAAAAAASxY/1EatthTluEc/s72-c/IMG-20150518-WA0004.jpg)
MTIA NIA WA UBUNGE JIMBO LA KILOSA KUPITIA CHADEMA NDUGU RAJAB MSABAHA KAUZELA AANZA RASMI SAFARI YAKE YA KUWAKOMBOA WANA-KILOSA
![](http://3.bp.blogspot.com/-SB79Pcj9q5M/VX2iLMTn1EI/AAAAAAAASxY/1EatthTluEc/s1600/IMG-20150518-WA0004.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2ip2ueH4r6o/VX2iMhBZwkI/AAAAAAAASxg/OXLcOEcJarI/s1600/IMG-20150614-WA0000.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vMBmd6X6jTg/VX2iP9ToCiI/AAAAAAAASxo/0DRLlJHZdk0/s1600/IMG-20150613-WA0023.jpg)
11 years ago
Habarileo30 Dec
JK aanza safari ya historia
RAIS Jakaya Kikwete, leo anakabidhiwa Rasimu mpya ya Katiba, baada ya kufanyiwa marekebisho na Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mpya.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/1.jpg?width=500)
MISS TZ AANZA SAFARI YA DUNIA KWA KUCHANGIA DAMU
10 years ago
Dewji Blog26 Jul
Wema afurahi kukubalika aanza safari rasmi ya siasa
Mgombea nafasi ya ubunge viti maalum CCM mkoa wa Singida, Wema Sepetu, akisindikizwa kwa maandamano kuelekea ukumbi wa mkutano wa kanisa la katoliki mjini Singida, kushiriki zoezi la uchaguzi wa kuchagua wana CCM wawili watakaoshika nafasi za ubunge viti maalum.
Mgombea nafasi ya ubunge viti maalum CCM mkoa wa Singida, Wema Sepetu, akiwa na na mgombea mwenzake Sara Mwambu, wakipokelewa kwenye lango la kuingilia kwenye ukumbi wa mkutano wa kanisa la katoliki mjini Singida, kwa ajili ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ReuTOx5h8cE/VFICIU8hWPI/AAAAAAAGuJs/CacIWcGGbnc/s72-c/DSCF0081.jpg)
SAFARI LAGER YAZINDUA RASMI PROGAMU YAKE YA “SAFARI LAGER WEZESHWA” KWA MSIMU 4 JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-ReuTOx5h8cE/VFICIU8hWPI/AAAAAAAGuJs/CacIWcGGbnc/s1600/DSCF0081.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-D0YseoIFta0/VFICIJz6vwI/AAAAAAAGuJo/g6I5j5mxTVU/s1600/DSCF0093.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Wema Sepetu aanza safari ya kuwania Ubunge wa Viti maalum Singida
Tanzania 2006 na Msanii wa Bongo Movie,Bi Wema Sepetu akipokea maelekezo kutoka kwa katibu wa CCM wilaya ya Ikungi,Bwana Alluu Ismaili Segamba kabla ya kuongea na wananhi pamoja na wanachama waliohudhuria kwenye mkutano huo. (Picha zote na Jumbe Ismailly).
Na Jumbe Ismailly,Ikungi
Hatimaye aliyewahi kuwa, Miss Tanzania 2006 na Msanii wa Bongo Movie,Wema Spetu ameanza safari maalum ya kuwania nafasi ya Ubunge kupitia chama cha Mapinduzi Mkoani Singida, ambapo ni chimbuko la Mama yake...
9 years ago
Mtanzania25 Aug
Lowassa aanza kivingine
NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM
WAKATI mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, akizindua kampeni zake juzi jijini Dar es Salaam kwa mkutano wa hadhara, mpinzani wake mkubwa ambaye ni mgombea wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, ameanza kwa mtindo wa aina yake wa kuwafuata wananchi mitaani.
Katika hali ambayo haijazoeleka katika siasa za Tanzania, jana Lowassa alifika kwenye kituo cha daladala kilichopo eneo la Gongo la Mboto,...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-15ig9u-SWs0/VdoaPnSET3I/AAAAAAAD4c0/UlVcgY11X60/s72-c/533151e8d80a8f2ac448b75f488b2b2f.jpg)
BALOZI AMINA SALUM ALI AANZA KUAGWA WASHINGTON, DC KWA SAFARI YA KURUDI NYUMBANI TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-15ig9u-SWs0/VdoaPnSET3I/AAAAAAAD4c0/UlVcgY11X60/s640/533151e8d80a8f2ac448b75f488b2b2f.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y2-D_oaQ0yQ/VdoaPhDGfgI/AAAAAAAD4c4/E8YbhAI9BOk/s640/a67d87a528e4bc811e586b1eb0217a77.jpg)
11 years ago
GPL02 Jan
LOWASSA ATANGAZA KUANZA SAFARI