Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa aanza kivingine

LOWASANA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM

WAKATI mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, akizindua kampeni zake juzi jijini Dar es Salaam kwa mkutano wa hadhara, mpinzani wake mkubwa ambaye ni mgombea wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, ameanza kwa mtindo wa aina yake wa kuwafuata wananchi mitaani.

Katika hali ambayo haijazoeleka katika siasa za Tanzania, jana Lowassa alifika kwenye kituo cha daladala kilichopo eneo la Gongo la Mboto,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Lowassa Aanza kivingine: Tunataka Kiongozi anaejali Shida za Wananchi: UKAWA Chaguo lako Mtanzania.

NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM WAKATI mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, akizindua kampeni zake juzi jijini Dar es Salaam kwa mkutano wa hadhara, mpinzani wake mkubwa ambaye ni mgombea wa […]

The post Lowassa Aanza kivingine: Tunataka Kiongozi anaejali Shida za Wananchi: UKAWA Chaguo lako Mtanzania. appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Habarileo

Lowassa aanza safari yake

Aliyekuwa Waziri Mkuu, Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa akihutubia umati wa wananchi mjini Arusha jana wakati akitangaza nia ya kuomba ridhaa ya CCM kumteua agombee Urais. (Na Mpigapicha Wetu).ALIYEKUWA Waziri Mkuu, Mbunge wa Monduli mkoani Arusha, Edward Lowassa, ametangaza nia ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), ili awe mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Dr. Slaa Aanza Rasmi Kumpigia Kampeni Magufuli……Asema Lowassa Hafai Kuwa Rais

Thursday, October 8, 2015 Siku chache baada ya chama cha ACT-Wazalendo kutoa tamko rasmi kuwa hawataweza kumruhusu Dk. Wilbroad Slaa kupanda kwenye jukwaa lao kumnadi mgombea urais wa chama hicho kwa sababu za kiusalama, jana mwanasiasa […]

The post Dr. Slaa Aanza Rasmi Kumpigia Kampeni Magufuli……Asema Lowassa Hafai Kuwa Rais appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Dewji Blog

Lowassa atikisa Dodoma, achukua fomu aanza kusaka wadhamini “Chap Chap”, awazoa lukuki Dodoma

Waziri Mkuu wa zamani na mbunge wa Monduli, ambaye tayari ametangaza nia ya kuwania urais kupitia CCM, akionyesha mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa pamoja na nyaraka nyingine, baada ya kukabidhiwa makao makuu ya CCM, (White House), Dodoma, Alhamisi Juni 4, 2015. Mara baada ya kuchukua fomu hizo, Lowassa, alielekea kwenye ofisi za CCM wilaya ya Dodoma mjini na kuanza kusaka wadhamini, ambapo mamia ya wanachama wa CCM, waklijitokeza kumdhamini, na mmoja wa watu mashuhuri ndani ya chama...

 

10 years ago

GPL

AZAM TV KUJA KIVINGINE

Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Azam Media, Tido Mhando, akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Tido akitoa ufafanuzi, (waliokaa ni wafanyakazi wa Azam Tv) wakimsikiliza.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tamasha la Pasaka kuja kivingine

TAMASHA la Pasaka la mwaka huu litakalozinduliwa rasmi Aprili 20 jijini Dar es Salaam likibeba kaulimbiu ya ‘Tanzania Kwanza Haki Huinua Taifa’, litaendeshwa kwa staili mpya ya wadau wenyewe kuamua...

 

10 years ago

Dewji Blog

BBS waja kivingine 2015

Mkurugenzi wa Benchmark Production, Rita Paulsen “Madam Rita”(katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu ufunguzi rasmi wa Bongo Star Search kwa mwaka 2015.

Gasto Shayo Afisa Masoko wa Salama Kondom ambao ndio wadhamini wakuu wa shindano la Bongo Star Search kwa mwaka 2015 akizungumza jambo kwa waandishi wa habari jana jijini Dar.

Mshereheshaji wa Uzinduzi wa Bongo Star Search 2015, Babbie Kabae akizungumza jambo

Mshindi Wa Bongo Star Search kwa Mwaka...

 

9 years ago

Global Publishers

Kiiza: Simba imebadilika, inakuja kivingine

HAMISI-KIIZAStraika Hamis Kiiza.

Wilbert Molandi,
Dar es Salaam
BAADA ya kufanikiwa kuwasajili Brian Majwega, Paul Kiongera na Danny Lyanga, straika Hamis Kiiza wa Simba amesema kikosi chao kimebadilika na sasa kina mwonekano mpya wa ushindi.
Majwega ni kiungo mshambuliaji kama ilivyo kwa Kiongera wakati Lyanga ni straika, wengine waliosajiliwa na Simba wakati huu ni beki Novatus Lufunga wa African Sports na straika Hija Ugando. Kiiza raia wa Uganda aliyewahi kuichezea Yanga, aliliambia Championi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani