BBS waja kivingine 2015
Mkurugenzi wa Benchmark Production, Rita Paulsen “Madam Rita”(katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu ufunguzi rasmi wa Bongo Star Search kwa mwaka 2015.
Gasto Shayo Afisa Masoko wa Salama Kondom ambao ndio wadhamini wakuu wa shindano la Bongo Star Search kwa mwaka 2015 akizungumza jambo kwa waandishi wa habari jana jijini Dar.
Mshereheshaji wa Uzinduzi wa Bongo Star Search 2015, Babbie Kabae akizungumza jambo
Mshindi Wa Bongo Star Search kwa Mwaka...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania25 Aug
Lowassa aanza kivingine
NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM
WAKATI mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, akizindua kampeni zake juzi jijini Dar es Salaam kwa mkutano wa hadhara, mpinzani wake mkubwa ambaye ni mgombea wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, ameanza kwa mtindo wa aina yake wa kuwafuata wananchi mitaani.
Katika hali ambayo haijazoeleka katika siasa za Tanzania, jana Lowassa alifika kwenye kituo cha daladala kilichopo eneo la Gongo la Mboto,...
10 years ago
GPLAZAM TV KUJA KIVINGINE
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Tamasha la Pasaka kuja kivingine
TAMASHA la Pasaka la mwaka huu litakalozinduliwa rasmi Aprili 20 jijini Dar es Salaam likibeba kaulimbiu ya ‘Tanzania Kwanza Haki Huinua Taifa’, litaendeshwa kwa staili mpya ya wadau wenyewe kuamua...
9 years ago
Habarileo24 Oct
Bondia Lulu Kayage ajipanga kivingine
BONDIA Lulu Kayage, ameingia kambini kujiandaa na mchezo wake dhidi ya bondia Mwanne Haji utakaofanyika Uwanja wa Jamhuri Morogoro, Desemba 25 mwaka huu.
9 years ago
Bongo509 Nov
Batuli kuja kivingine baada ya uchaguzi
![12080693_790121817765870_2078775622_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12080693_790121817765870_2078775622_n-300x194.jpg)
Muigizaji wa filamu, Batuli amesema amejipanga kuja tofauti katika filamu zake baada ya kujifunza mambo mengi kutoka kwenye kampeni za uchaguzi alizoshiriki.
Batuli ameiambia Bongo5 kuwa atafanya kazi kubwa ili kuhakikisha kazi zake zinagusa maisha ya watanzania wa kawaida aliowaona wakati akizunguka kwenye kampeni za CCM.
“Nakuja kivingine kwa sababu nimejifunza mengi kwenye kampeni na kuna umuhimu wa kuviweka kwenye kazi zangu,” amesema. “Nitafanya filamu za kibongo kama kawaida lakini...
9 years ago
GPLTAMASHA LA MAGARI NCHINI KUJA KIVINGINE
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Kiiza: Simba imebadilika, inakuja kivingine
Straika Hamis Kiiza.
Wilbert Molandi,
Dar es Salaam
BAADA ya kufanikiwa kuwasajili Brian Majwega, Paul Kiongera na Danny Lyanga, straika Hamis Kiiza wa Simba amesema kikosi chao kimebadilika na sasa kina mwonekano mpya wa ushindi.
Majwega ni kiungo mshambuliaji kama ilivyo kwa Kiongera wakati Lyanga ni straika, wengine waliosajiliwa na Simba wakati huu ni beki Novatus Lufunga wa African Sports na straika Hija Ugando. Kiiza raia wa Uganda aliyewahi kuichezea Yanga, aliliambia Championi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-B7Fa3w3egrU/XvHfkD0QGrI/AAAAAAABA1o/lKFubPp6uVQUQOJjdltG6gXGy0LswKE-QCLcBGAsYHQ/s72-c/David.jpeg)
Huduma ya Tigo Rusha yaja kivingine
![](https://1.bp.blogspot.com/-B7Fa3w3egrU/XvHfkD0QGrI/AAAAAAABA1o/lKFubPp6uVQUQOJjdltG6gXGy0LswKE-QCLcBGAsYHQ/s640/David.jpeg)