Huduma ya Tigo Rusha yaja kivingine
![](https://1.bp.blogspot.com/-B7Fa3w3egrU/XvHfkD0QGrI/AAAAAAABA1o/lKFubPp6uVQUQOJjdltG6gXGy0LswKE-QCLcBGAsYHQ/s72-c/David.jpeg)
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Tigo Tanzania, David Umoh akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani ) kwa njia ya Mtandao wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya Tigo Rusha Mapema leo Jijini Dar ES Salaam. Kampuni ya mawasiliano inayoongoza kwa kutoa huduma za kidigitali nchini, Tigo Tanzania leo imezindua huduma mpya iliyoboreshwa inayomuwezesha mteja wa Tigo kununua muda wa maongezi pamoja na vifurushi kutoka katika maduka ya Tigo (Tigo shops) na katika maduka ya rejareja...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kOFI-56haHo/XpX2MqWhA7I/AAAAAAALm8g/kPVyf443NRM5gfpfpUT__hH6-do3uZtwgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-14%2Bat%2B8.09.20%2BPM.jpeg)
TECNO yaja kivingine, kuzindua simu mpya CAMON 15 kwa njia ya mtandao Tanzania
“Hii sio tu nafasi nzuri kwa TECNO kuwasiliana na wateja...
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Wateja wa Tigo Pesa kunufaika na huduma ya “Tigo wekeza” kwa kupata faida kupitia akaunti zao
Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu huduma mpya ya Tigo Wekeza iliyozinduliwa leo kwa ajili ya kuwawezesha wateja wa Tigo Pesa zaidi ya milioni 3.5 kuweza kupata gawiwo moja kwa moja katika akaunti zao za Tigo Pesa. Kushoto ni Profesa Andrew Temu kutoka mfuko wa fedha Financial Services Deepening Trust (FSDT), wa pili kulia ni Mkuu wa Idara ya Tigo Pesa Andrew Hodgson na wakala wa Tigo Pesa Ramadhan Wangwa.
Tigo Tanzania leo imekuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jNrZ7iSqItbAXO8zYdSsF9hKnaTz8E8PxI4a9QaeTla1VWZHu3TJSuUJWgg8FKmr2lxUhGiCne37AQxCebJPdbyK0yhEcm*l/001.VINJARI.jpg?width=650)
VODACOM YAJA NA HUDUMA YA VINJARI NA M-PESA
11 years ago
GPLVODACOM YAJA NA HUDUMA YA ZOGO
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Covenant yaja na huduma benki mtaaniÂ
BENKI ya Covenant inayomilikiwa na wanawake nchini imezindua huduma mpya ya benki mtaani yenye lengo la kuwawezesha wateja kuweka na kutoa fedha katika akaunti zao kupitia simu ya mkononi. Uzinduzi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LDRZ*VdxUTG3RlXYs9lzAzhsgzuaZiuergw2no4NYSh5Lr-MuDvQD6NjBZO0WeVlfMDAaTCPg3WYTlEDvMgF62Z81CYoCIGD/1.jpg)
AIRTEL YAJA NA HUDUMA MPYA YA KUTOA PUNGUZO KWA WATEJA
11 years ago
Habarileo13 May
Tigo yaboresha huduma zake
KAMPUNI ya simu za mikononi ya Tigo Tanzania, imezindua huduma mpya ya kutuma na kupokea fedha kwa njia rahisi na ya ufanisi zaidi kwa wateja wenye simu zenye programu aina ya android na iOS, ambayo ni huduma ya kwanza ya aina hiyo Afrika Mashariki.
10 years ago
Dewji Blog18 May
TIGO waja na huduma ya kijasiriamali
Tigo, kampuni yenye ubunifu zaidi wa kidijitali nchini na EduMe, inayotoa huduma ya kwanza ya kimataifa ya mambo ya elimu kupitia simu wamezindua bidhaa ya kipekee ya ujasiriamali kwenye simu kwa wateja wa Tigo nchini Tanzania.
Shule ya Biashara inawawezesha watumiaji kujifunza ujuzi wa biashara na ujasiriamali kwa bei nafuu kabisa kupitia kwenye simu yoyote ya mkononi. Tigo Tanzania, ambayo ni sehemu ya kampuni ya kimataifa ya mawasiliano ya simu na vyombo vya habari ya Millicom, ni ya...
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Tigo, Airtel, Zantel zaunganisha huduma