Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tamasha la Pasaka kuja kivingine

TAMASHA la Pasaka la mwaka huu litakalozinduliwa rasmi Aprili 20 jijini Dar es Salaam likibeba kaulimbiu ya ‘Tanzania Kwanza Haki Huinua Taifa’, litaendeshwa kwa staili mpya ya wadau wenyewe kuamua...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TAMASHA LA PASAKA KUJA KIVINGINE MWAKA HUU.

Tamasha la pasaka la Mwaka huu litakalozinduliwa rasmi April 20,jijini dar likibeba kaulimbiu ya "Tanzania kwanza haki huinua Taifa",litaemdendeshwa kwa namna ya Wadau wenyewe kuchagua waimbaji,aidha iwe kutoka ndani ama nje ya nchi ikiwemo sambamba na mgeni rasmi.


Hayo yalibainishwa jijini Dar,mwishoni mwa wiki na Mkurugenzi Mtendaji wa Msama Promotions,ambao ndio wandaaji wa tamasha.Alifafanua kuwa wapenzi wa muziki huo ndio watakaochagua waimbaji hao kwa kutuma ujumbe mfupi kupitia...

 

9 years ago

GPL

TAMASHA LA MAGARI NCHINI KUJA KIVINGINE

Kutoka kushoto ni Ofisa Masoko, Michael Kanyatta, Meneja Huduma wa kampuni ya Sanwa Service Ltd, Masao Kuwabara, Mkurugenzi Mtendaji wa Vision Investments, Ally Nchahaga, Meneja Masoko, Mori Bencus na Meneja kitengo cha huduma wa Vision, Dorah Raymond. Meneja Huduma wa Kampuni ya Sanwa Service Ltd, Masao Kuwabara akizungumza jambo.…

 

10 years ago

GPL

AZAM TV KUJA KIVINGINE

Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Azam Media, Tido Mhando, akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Tido akitoa ufafanuzi, (waliokaa ni wafanyakazi wa Azam Tv) wakimsikiliza.…

 

9 years ago

Bongo5

Batuli kuja kivingine baada ya uchaguzi

12080693_790121817765870_2078775622_n

Muigizaji wa filamu, Batuli amesema amejipanga kuja tofauti katika filamu zake baada ya kujifunza mambo mengi kutoka kwenye kampeni za uchaguzi alizoshiriki.

12080693_790121817765870_2078775622_n

Batuli ameiambia Bongo5 kuwa atafanya kazi kubwa ili kuhakikisha kazi zake zinagusa maisha ya watanzania wa kawaida aliowaona wakati akizunguka kwenye kampeni za CCM.

“Nakuja kivingine kwa sababu nimejifunza mengi kwenye kampeni na kuna umuhimu wa kuviweka kwenye kazi zangu,” amesema. “Nitafanya filamu za kibongo kama kawaida lakini...

 

10 years ago

Mwananchi

BSS haijafa, sasa kuja kivingine- Madam Rita Poulsen

Jaji kiongozi wa mashindano ya kusaka vipaji vya muziki, maarufu BSS, Rita Poulsen amewataka mashabiki na wapenda muziki kuondoa hofu akieleza kuwa mashindano hayo hayajafa.

 

11 years ago

Michuzi

KAPOTIVE STAR SINGERS-BUKOBA KUFANYA TAMASHA LA PASAKA LINA'S CLUB, PASAKA PILI NI KATIKA MJI WA BIHARAMULO

Kikundi mahiri cha KAPOTIVE Star Singers- Bukoba,Wanayo furaha kuwatangazia kuwa kwa mapenzi ya Mungu, Tar. 20/04/2014 sikukuu ya Pasaka watakuwa na tamasha la Pasaka LINA’S CLUB -Bukoba, kuanzia saa 9 mchana hadi 2 usiku na kesho yake tar. 21/04/2014 Watakuwa katika mji wa Biharamulo. 
 Mratibu wa Tamasha hilo Bw. Andrew Kagya amesema kuwa Mwimbaji mgeni (Guest singer) atakuwa Flora Mbasha na kundi lake zima kutoka jijini Dar es Salaam na pia Kutakuwepo kwaya mbalimbali za RC, KKKT na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani