Q-CHILLAH: CHUJI, NIYONZIMA NA MANGWAIR NDIYO WALIOOKOA MAISHA YANGU
Mwanamuziki nguli wa Bongo Fleva, Aboubakar Shaaban Katwila ‘Q- Chillah’, katika mahojiano yake na Global TV Online sehemu ya PILI amefunguka mambo kibao yakiwemo haya: Q-Chillah akifikiria jambo wakati akihojiwa na Global TV Online. - Safari yake ya…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Jux: Siringi, ‘bling bling’ ndiyo maisha yangu
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Jux, amesema alianza kuvaa nguo za gharama na vidani hata kabla hajawa msanii, na kama msanii ni lazima avae hivyo kujitofautisha na watu...
9 years ago
Bongo529 Dec
Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)
![12292738_1516860355279681_1179389451_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12292738_1516860355279681_1179389451_n-300x194.jpg)
Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.
FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.
“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.
“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.
“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...
10 years ago
GPLQ-CHILLAH KUKINUKISHA MAISHA CLUB LEO KATIKA UTAMBULISHO WA WIMBO WAKE MPYA 'FOR YOU'
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsYVKE-pbjZpBe4MtrSFZrSsen0GxznU5v5SXufMuLLMKmysc7k3Vc3pnqNsRYKutDo23A10Mok4K5OU9RxA25Vy41RWOCZn/CHEKANAKITIME.jpg)
HAYA NDIYO MALENGO YANGU 2015!
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Hii ndiyo siri yangu-Mzee Yusuph
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6aBJIQTwXqC*yPRVFg1q9PyOqyVT4WBIXVN8OUHS0tAB37fQ7KoauItL7QSrK-eE4rWkxzG0kdhBsvSA16toGSZ/MASOGANGE.jpg?width=650)
MASOGANGE: MAKALIO YANGU NDIYO KILA KITU
10 years ago
Bongo Movies25 Jul
Wema: Safari Yangu ya Siasa Ndiyo Kwanza Inaanza
Nilivyo amua kugombea viti maalum, nilijua kuna kupata na kukosa. Awamu hii nimekosa, ila dunia bado inazunguka. Nawapongeza walioshinda. Nawashukuru mlioniunga mkono, Mungu aendelee kuwabariki kwa mapenzi yenu juu yangu, yananipa moyo.
Nawashukuru pia wote mlionipinga maana mmeniongezea ujasiri na nina nguvu mpya ya kuthubutu upya. 2015 ni mwaka wa kipekee kwenye muamko wa vijana Tanzania. Bigger things loading.. Most of all Nilizaliwa nikiwa katika Chama Cha Mapinduzi na nitakufa nikiwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El*JMqoAbUa-8LG*oV20xik83KbpRHQUd9M5pVxRYAc3fkziNlCLERAtSjA5Zv6j0tvUTWYvHnk9ZZuTjxwJtG9S/d.jpg?width=650)
DUDE: AKILI YANGU MBOVU NDIYO MAANA SIOI
10 years ago
GPLKAJALA: NIACHENI NA MAISHA YANGU