HAYA NDIYO MALENGO YANGU 2015!
![](http://api.ning.com:80/files/QsYVKE-pbjZpBe4MtrSFZrSsen0GxznU5v5SXufMuLLMKmysc7k3Vc3pnqNsRYKutDo23A10Mok4K5OU9RxA25Vy41RWOCZn/CHEKANAKITIME.jpg)
Kwanza nawatakieni tena wote heri ya mwaka mpya 2015, hata wale walioanza mwaka kwa ‘kuwekwa kiporo’, waliofukuzwa kazi na bosi, waliogawana ule mkwanja, waliokosa ule mkwanja, wanaolalamika kwa kuwa walikosa ule mkwanja, wanaolalamika kwa kuwa wanaona wananchi waliukosa ule mkwanja, wanaolalamika kuhusu ule mkwanja kusudi wapate mkwanja, wanaolalamika kwa nini watu wanalalamika kuhusu ule mkwanja, wanaolalamika kuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Haya ndiyo yaliyobamba 2015
10 years ago
Mwananchi13 May
CCM: Haya ndiyo tuliyoshindwa, kufanikiwa Ilani ya 2010/2015
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Haya ndiyo majina matatu (3) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora duniani 2015
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Shirikisho la soka duniani (FIFA) limetaja majina matatu (3) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa dunia kwa mwaka 2015.
Majina hayo matatu (3) yamepatikana kutoka kwa majina 23 aliyokuwa yamependekezwa awali. Majina hayo ni;
Cristiano Ronaldo (Ureno – Real Madrid)
Lionel Messi (Argentina – Barcelona)
Neymar da Silva Santos (Brazil – Barcelona)
Kwa upande wa wanawake FIFA imewataja;
Carli Lloyd (Houston Dash -USA)
Aya Miyama (Okayama Yunogo Belle –...
9 years ago
Dewji Blog01 Jan
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
SPORT NEWS: Haya ndiyo majina matano ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora Afrika ya BBC 2015
Na Rabi Hume
Shirika la Utangazaji la Wingereza limetangaza majina matano (5) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa mwaka 2015.
Katika orodha hiyo pia yupo mchezaji aliyetwa tuzo hiyo msimu uliopita, Yacine Brahimi anayekipiga katika katika klabu ya Porto inayoshiriki ligi kuu ya Ureno na timu ya Taifa ya Algeria.
Majina kamili ya wachezaji hao;
1. Pierre – Emerick Aubameyang (Gabon, Borussia Dortmund)
2. Andre Ayew (Ghana, Swansea)
3. Sadio Mane (Senegal,...
9 years ago
Mwananchi22 Nov
Tumsaidie Dk Magufuli kutimiza malengo haya
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Hii ndiyo siri yangu-Mzee Yusuph
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6aBJIQTwXqC*yPRVFg1q9PyOqyVT4WBIXVN8OUHS0tAB37fQ7KoauItL7QSrK-eE4rWkxzG0kdhBsvSA16toGSZ/MASOGANGE.jpg?width=650)
MASOGANGE: MAKALIO YANGU NDIYO KILA KITU
10 years ago
Bongo Movies25 Jul
Wema: Safari Yangu ya Siasa Ndiyo Kwanza Inaanza
Nilivyo amua kugombea viti maalum, nilijua kuna kupata na kukosa. Awamu hii nimekosa, ila dunia bado inazunguka. Nawapongeza walioshinda. Nawashukuru mlioniunga mkono, Mungu aendelee kuwabariki kwa mapenzi yenu juu yangu, yananipa moyo.
Nawashukuru pia wote mlionipinga maana mmeniongezea ujasiri na nina nguvu mpya ya kuthubutu upya. 2015 ni mwaka wa kipekee kwenye muamko wa vijana Tanzania. Bigger things loading.. Most of all Nilizaliwa nikiwa katika Chama Cha Mapinduzi na nitakufa nikiwa...