Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jux: Siringi, ‘bling bling’ ndiyo maisha yangu

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Jux, amesema alianza kuvaa nguo za gharama na vidani hata kabla hajawa msanii, na kama msanii ni lazima avae hivyo kujitofautisha na watu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Drake — ‘Hotline Bling’

Drake baada ya kuachia single yake ya “Hotline Bling”. Hii ni official music video ya wimbo huo Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Music: Trina — Hotline Bling (Remix)

The “Hotline Bling” remix wave continues. Hot on the heels of Erykah Badu, Keyshia Cole, and Mila J, Trina dials up her own bossy response to Drake’s smash hit, which is currently No. 2 on the Hot 100. The Baddest Bitch puts a lame lover on blast for trying to play her, but she’s just […]

 

9 years ago

Bongo5

Music: Keyshia Cole — Hotline Bling (Remix)

‘Hot Line Bling,’ (original) ni wimbo wa rapper Drake ambao mwimbaji Keyshia Cole ameamua kuja na remix yake. Mwingine ambaye amefanya remix ya wimbo huo ambao unafanya vizuri kwa sasa ni pamoja na Jadakiss, remix yake ameiita “Thot Line Bling.” Isikilize hapa version ya Keyshia Cole Na hii ni vesrion ya Jadakiss Hii ni original […]

 

9 years ago

Bongo5

Music: Justin Bieber — Hotline Bling (Remix)

bieber-hotline-blingJustin Bieber ameingia kwenye orodha ya wasanii walioamua kufanya remix ya ‘Hotline Bling’, wimbo wa rapper Drake. Wengine waliofanya remix ya wimbo huo ni pamoja na Keyshia, Cole, Trina, Erykah Badu, Jadakiss na Mila J. Tofauti na walivyofanya wasanii wengine, Bieber aliamua kuwaambia mashabiki wake wapige namba maalum ili kusikiliza. Album ya Justin Bieber, ‘Purpose’ […]

 

9 years ago

Bongo5

Drake ajibu ombi la Adele la kutaka kuwemo kwenye ‘official remix’ ya Hotline Bling

adele-drake-hotline-bling

Adele alidai kutamani kuwepo kwenye official remix ya wimbo wa Drake, Hotline Bling.

adele-drake-hotline-bling

Mashabiki wao walikuwa wanasubiri tu jibu la Drake na sasa rapper huyo wa Toronto amejibu. “Nitafanya chochote kwa Adele,” Drake aliwaambia waandishi wa habari jijini Toronto Jumatano hii alipoenda kuangalia game ya timu ya kikapu ya Raptors.

“Ninaweza hata kwenda nyumbani kwa Adele muda huu na kufua nguo zake,” aliongeza.

Kwenye mahojiano hivi karibuni, Adele alisema: “I love Drake so much. I even got the...

 

10 years ago

GPL

Q-CHILLAH: CHUJI, NIYONZIMA NA MANGWAIR NDIYO WALIOOKOA MAISHA YANGU

Mwanamuziki nguli wa Bongo Fleva, Aboubakar Shaaban Katwila ‘Q- Chillah’, katika mahojiano yake na Global TV Online sehemu ya PILI amefunguka mambo kibao yakiwemo haya: Q-Chillah akifikiria jambo wakati akihojiwa na Global TV Online. - Safari yake ya…

 

9 years ago

Bongo5

Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)

12292738_1516860355279681_1179389451_n

Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.

FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.

“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.

“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.

“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...

 

10 years ago

GPL

HAYA NDIYO MALENGO YANGU 2015!

Kwanza nawatakieni tena wote heri ya mwaka mpya 2015, hata wale walioanza mwaka kwa ‘kuwekwa kiporo’, waliofukuzwa kazi na bosi, waliogawana ule mkwanja, waliokosa ule mkwanja, wanaolalamika kwa kuwa walikosa ule mkwanja, wanaolalamika kwa kuwa wanaona wananchi waliukosa ule mkwanja, wanaolalamika kuhusu ule mkwanja kusudi wapate mkwanja, wanaolalamika kwa nini watu wanalalamika kuhusu ule mkwanja, wanaolalamika kuwa...

 

11 years ago

GPL

MASOGANGE: MAKALIO YANGU NDIYO KILA KITU

Stori: Imelda Mtema
VIDEO QUEEN ‘grade one’ Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ amefunguka kuwa hakuna kitu anakizimikia kwenye mwili wake kama makalio. Video Queen ‘grade one’ Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ asogange aliiambia Bongowood kuwa:“Hakuna sehemu ninayoipenda kama makalio, yamekaa vizuri, nayapenda, najidai kupitia sehemu hiyo niliyojaaliwa na Mwenyezi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani