Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Linex: Mimi sijawahi kua mvuta bangi maisha yangu yote na kama ninavuta Mungu ananiona

Kuna baadhi ya watu ambao huamini kuwa mtu akishakuwa msanii wa muziki ni lazima atakua mtumiaji wa vilevi kama bangi, na wapo wanaoamini kuwa binti akishaingia kwenye sanaa ya urembo pia ni lazima atajihusisha na umalaya, kitu ambacho si kweli kwasababu hiyo ni tabia ya mtu binafsi. Linex Sunday Mjeda leo ameamua kujibu swali ambalo […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)

12292738_1516860355279681_1179389451_n

Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.

FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.

“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.

“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.

“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...

 

10 years ago

GPL

JOSLIN: SIJAWAHI KUPENDA HARUFU YA BANGI

Msanii wa muziki wa kizazi kipya aliyetamba na ngoma ya Niite Basi, Joslin Robert Mchalla ‘Joslin’ katika pozi. MSANII wa muziki wa kizazi kipya aliyetamba na ngoma ya Niite Basi, Joslin Robert Mchalla ‘Joslin’, amefungua kinywa chake na kusema kuwa hakuwahi kuvuta bangi wala kutumia madawa ya kulevya lakini ‘anazimia’ sana bia, huku akisisitiza yeye na bia ni damudamu.… ...

 

10 years ago

Bongo5

Linex: Nimeingiza mkwanja mrefu mwaka 2014 kuliko miaka yote

Mwaka 2014 umekuwa wenye neema kuliko miaka yote kwa Linex Sunday Mjeda kwakuwa anadai ameingiza mkwanja mrefu zaidi. Linex ameiambia Bongo5 kuwa anafikiri yeye ni msanii pekee aliyefanya matangazo mengi ya biashara ya redio kuliko wasanii wote wa Tanzania. “Toka nimeanza kufanya Bongo Flava, hakuna mwaka nimefanikiwa kama mwaka huu,” amesema Linex. “Mwaka huu nimefanya […]

 

11 years ago

GPL

MUACHE MUNGU AITWE MUNGU NA KAMA HUJAFA HUJAUMBIKA‏

Elisha Bahunde akiwa chumba # 8 ghorofa ya 6 alipolazwa tangia siku ya Jumatano Feb 19, 2014 alipoletwa Maryland kwa matibabu zaidi
Elisha Bahunde au Eric akiwa hana miguu wa mkono kama picha inavyoonyesha.…

 

11 years ago

GPL

BATULI: SIJAWAHI KUPENDA KAMA MTUNIS

Na Gabriel Ng’osha KWA mara nyingine, staa wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf  ‘Batuli’ amemwaga data za kimapenzi akidai hajawahi kumpenda mwanaume kama alivyompenda Nice Mohammed ‘Mtunis’. Staa wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf  ‘Batuli’ Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, Batuli alisema licha ya kuwa walimwagana na staa huyo lakini hatokuja kupenda mwanaume kama...

 

11 years ago

GPL

NASUBIRI MUNGU AICHUKUE ROHO YANGU

MWANAFUNZI wa kidato cha nne nchini Burundi, Miburo Anne Mony (17), raia wa nchi  hiyo amesema anakwenda kufia kwao baada ya madaktari ya Hospitali ya Taifa Muhimbili kumwambia ugonjwa wake wa kansa umecheleweshwa hivyo si rahisi kutibika. HAJUI ATARUDIJE NYUMBANI
Akizungumza na mwandishi wetu huku akibubujikwa machozi ndani ya Wodi Na. 24, Sewa Haji, Muhimbili, mwanafunzi huyo wa kike ambaye hajui Kiswahili wala Kingereza...

 

11 years ago

Mwananchi

Namshukuru Mungu sauti yangu inamtumikia YeYE

Tanzania ni nchi iliyojaliwa kuwa na wasanii mbalimbali, wanaotoa aina tofauti za burudani. Wapo wa muziki wa dansi, ngoma za asili, maigizo, sarakasi hata muziki wa Injili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani