Linex: Mimi sijawahi kua mvuta bangi maisha yangu yote na kama ninavuta Mungu ananiona
Kuna baadhi ya watu ambao huamini kuwa mtu akishakuwa msanii wa muziki ni lazima atakua mtumiaji wa vilevi kama bangi, na wapo wanaoamini kuwa binti akishaingia kwenye sanaa ya urembo pia ni lazima atajihusisha na umalaya, kitu ambacho si kweli kwasababu hiyo ni tabia ya mtu binafsi. Linex Sunday Mjeda leo ameamua kujibu swali ambalo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo529 Dec
Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)
![12292738_1516860355279681_1179389451_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12292738_1516860355279681_1179389451_n-300x194.jpg)
Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.
FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.
“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.
“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.
“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...
10 years ago
GPLJOSLIN: SIJAWAHI KUPENDA HARUFU YA BANGI
10 years ago
Bongo531 Dec
Linex: Nimeingiza mkwanja mrefu mwaka 2014 kuliko miaka yote
11 years ago
GPLMUACHE MUNGU AITWE MUNGU NA KAMA HUJAFA HUJAUMBIKA
11 years ago
Michuzi12 Feb
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfgiSQvCFm7dc2cYIb78UaBc154kOQZNrHz9rWvrGKweVFhdUDWki5RNMZXjkk9RxzsSYzz3EKXEJoLsEabBC8Fq/batuli.jpg)
BATULI: SIJAWAHI KUPENDA KAMA MTUNIS
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pFJjdzRt4aZa5TB9VoMWEFjapJ2lDLjqobLjPfGUmTM0h5EsgssdKHDTJd4GBa24Qc1uaHKJj7*ATJGeAwnMxQ/maskini.jpg)
NASUBIRI MUNGU AICHUKUE ROHO YANGU
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Namshukuru Mungu sauti yangu inamtumikia YeYE