Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BATULI: SIJAWAHI KUPENDA KAMA MTUNIS

Na Gabriel Ng’osha KWA mara nyingine, staa wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf  ‘Batuli’ amemwaga data za kimapenzi akidai hajawahi kumpenda mwanaume kama alivyompenda Nice Mohammed ‘Mtunis’. Staa wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf  ‘Batuli’ Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, Batuli alisema licha ya kuwa walimwagana na staa huyo lakini hatokuja kupenda mwanaume kama...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TAMBO BATULI AMLIPUA MTUNIS

STAA wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mwigizaji Nice Mohammed ‘Mtunis’, amemchana zilipendwa wake huyo kwa kumwambia hana mvuto! Staa wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli. Kuonesha msisitizo, Batuli alisema kwa Mtunis ilikuwa ni kama daraja tu, alishapita hivyo hana mpango naye tena kwani tayari amepata mchumba wa Kizungu, raia wa nchi moja...

 

11 years ago

GPL

BATULI ADAIWA KUITIKISA NDOA YA MTUNIS

HABARI za motomoto kutoka vyanzo vya uhakika, zinasema kuwa staa wa kike anayekuja juu kwa sasa katika tasnia ya filamu Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ ameitikisa ndoa ya mwigizaji mwenzake, Nice Mohammed ‘Mtunis’ kwa madai ya kutoka naye kimapenzi. Mkali katika tasnia ya filamu Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’. Chanzo chetu, kwa sharti la kutochorwa jina lake gazetini kilifunguka kuwa ishu...

 

10 years ago

GPL

JOSLIN: SIJAWAHI KUPENDA HARUFU YA BANGI

Msanii wa muziki wa kizazi kipya aliyetamba na ngoma ya Niite Basi, Joslin Robert Mchalla ‘Joslin’ katika pozi. MSANII wa muziki wa kizazi kipya aliyetamba na ngoma ya Niite Basi, Joslin Robert Mchalla ‘Joslin’, amefungua kinywa chake na kusema kuwa hakuwahi kuvuta bangi wala kutumia madawa ya kulevya lakini ‘anazimia’ sana bia, huku akisisitiza yeye na bia ni damudamu.… ...

 

10 years ago

Mtanzania

BATULI: Kanumba kama kaacha laana kwenye filamu za bongo

BATULI 2NA FESTO POLEA

APRILI 7 mwaka 2012 tasnia ya filamu ilipatwa na majonzi makubwa kutokana na kifo cha aliyekuwa mwigizaji nguli, Steven Kanumba, ambaye alikuwa kipenzi cha wengi ndani na nje ya nchi.
Licha ya wengi kutokuamini kwa muda huo, baada ya muda ikagundulika kweli amefariki, hivyo majonzi zaidi yakarindima, huku kila mtu akisema lake kuhusu kifo hicho.
Baada ya mazishi yake mashabiki walijipa matumaini kwamba tasnia hiyo licha ya kumpoteza mwigizaji huyo ingeendelea vema kutokana na...

 

10 years ago

Bongo5

Linex: Mimi sijawahi kua mvuta bangi maisha yangu yote na kama ninavuta Mungu ananiona

Kuna baadhi ya watu ambao huamini kuwa mtu akishakuwa msanii wa muziki ni lazima atakua mtumiaji wa vilevi kama bangi, na wapo wanaoamini kuwa binti akishaingia kwenye sanaa ya urembo pia ni lazima atajihusisha na umalaya, kitu ambacho si kweli kwasababu hiyo ni tabia ya mtu binafsi. Linex Sunday Mjeda leo ameamua kujibu swali ambalo […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Mtunis Amuwekea Ngumu Mkewe, Mke Ajuta!

Staa wa bongo movies, Nice Mohammed ‘Mtunis’ amesema lich aya kuombwa radhi na mkewe Aziza Abdallah baada ya kushitakiana mahakamani kwamwe hatorudi myuma na kurudiana naye

Akiongea na gazeti la Kiu, kuhusiana na swala zima la mahusiano yao Mtunisi alisema  kuwa kwa sasa ameamua kupumzika na kuangalia masiha yake baaada ya purukushani  kubwa ambazo zimemfanya  awe makini na wanawake.

Kwakweli siwezi kurudiana na mke wangu licha ya kuomba radhi na kudai mashoga ndio wamemponza kama kweli...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mtunis Atoboa Haya Kuhusu Tasnia ya Filamu

Staa wa Bongo Movies, Nice Mohammed ‘mtunis’ amesema kuwa tasnia ya uigizaji inahitaji umakini zaidi ili kujikosoa penye makosa. Alisema licha ya kwamba  filamu zinadaiwa  hazilipi hiyo  siyo sababu yakutayarisha zisizokuwa na ubora.

Alifafanua hata wakongwe wanapoibua chipukizi wanapaswa kuzingatia wenye vipaji zaidi ili tasnia huyo iendelee kufanya vizuri .

Alieleza kuwa hakuna kitu kibaya kama mtu anayekuamini akikudharau harudi nyuma, hivyo kwa kuwa makini kutayarisha filamu bora na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Huu Ndio Wito wa Mtunis kwa Watanzania Waishio ‘SAUZI’

Utani Kidogo: Kufuatia kile kinachoendelea kule Afrika Kusini,  na tamko la waziri wa mambo ya nje wa hapa Tanzania, Staa wa Bongo Movies, Nice Mohammed ‘Mtunis’  ameandika hii kwenye kukursa wake mtandaoni

"Haya jamani wale wenzangu na mimi ambao mumekaa muda mrefu huko SOUTH AFRICA na ukajikuta hata nauli ya kurudia NYUMBANI huna mbaya zaidi hata sababu ya kujitetea muda wote huo umekaa huko huna ulichokifanya mungu keshashua neema yake ni kiasi tu cha kwenda pale kwenye ile KAMBI YA...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhuru wa kupenda na kupendwa

Uhuru wa kupenda ni lugha ya kimataifa na wapendanao hupenda kuitetea kwa dhati. Lakini uhuru huo unakabiliwa na changamoto. Ali Mutasa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani