BATULI ADAIWA KUITIKISA NDOA YA MTUNIS
![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q2nE6LdYf841Gyx1DtKwC1xW9fOo4vnW*ALu9GDigLWITrMiR8dIBHpxlH0BsQMuD3KIHL7t1Ke5nG4uw7kGl5F/BATULI.jpg?width=650)
HABARI za motomoto kutoka vyanzo vya uhakika, zinasema kuwa staa wa kike anayekuja juu kwa sasa katika tasnia ya filamu Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ ameitikisa ndoa ya mwigizaji mwenzake, Nice Mohammed ‘Mtunis’ kwa madai ya kutoka naye kimapenzi. Mkali katika tasnia ya filamu Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’. Chanzo chetu, kwa sharti la kutochorwa jina lake gazetini kilifunguka kuwa ishu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u-nuBgwJg3wFtaJ0SypkMtclBEvkXEOwPR*FX1I2lN2q*ug2YB6Mjkjdf5b1HnRtn5Z0GLv6hovd8zHhG123eZjTDnxP*Zgg/batu.jpg)
TAMBO BATULI AMLIPUA MTUNIS
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfgiSQvCFm7dc2cYIb78UaBc154kOQZNrHz9rWvrGKweVFhdUDWki5RNMZXjkk9RxzsSYzz3EKXEJoLsEabBC8Fq/batuli.jpg)
BATULI: SIJAWAHI KUPENDA KAMA MTUNIS
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXIS3tmwemZVfI7fxN06186Gpdkni8m4rkklRpiwp*kyM0ZeW4DMJRlJZv0doMF6IapIQCE5M8fd*RTc2tS8sUvg/Rose.jpg?width=650)
ROSE NDAUKA ADAIWA KUMTIBULIA DILI BATULI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WA*Dv5OWc2iXJrBe3nKIivutTsw0nkD50oSvDgq3GdpYsAdIxw59TSs1Ya*5certYjXAwjSBcK7r5gAIgE79k9FyWeiNXRv8/batuli.jpg?width=650)
BATULI ADAIWA KUJIWEKA KWA CHIFU KIUMBE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq*bkVy7*I29pwpKpLE*H-BPcH4YaO-CZGcCWmsupAqofxui727bH9DH4U25hsi97GLdXSKbee58ScJby3IJjN66/wema.jpg?width=650)
WEMA ADAIWA KUTIBUA NDOA YA PETIT MAN
10 years ago
Habarileo27 Oct
Mwanamke adaiwa kuiba mtoto kulinda ndoa
POLISI mkoani Rukwa wanamshikilia mkazi wa kitongoji cha Chanji, Manispaa ya Sumbawanga, Magreth Juma (34) akituhumiwa kuiba mtoto wa kike mwenye umri wa siku mbili ili asiachike katika ndoa yake, kwa kuwa hajabahatika kumzalia mtoto mumewe.
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Adaiwa kuiba kichanga ili kulinda ndoa
JESHI la polisi mkoani Rukwa linamshikilia Magreth Juma (34), mkazi wa mtaa wa Chanji Manispaa ya Sumbawanga kwa tuhuma za wizi wa mtoto mchanga wa siku mbili. Mtuhumiwa huyo, alikamatwa...
10 years ago
Bongo Movies08 Jul
Baada ya Kuficha Ujauzito, Snura Adaiwa Kufunga Ndoa Kimya Kimya
Staa wa Bongo Fleva alieanzia uigizaji, Snura Mushi amedaiwa kufunga ndoa ya siri na mchumba wake wa siku nyingi ambaye pia ni mzazi mwenziye,DJ maarufu mjini Mbeya,Hunter.
Habari zinasema kuwa katika sherehe ya ndoa hiyo walialikwa watu wachache kutoka kwenye pande mbili za familia ya wanandoa hao na ilifungwa kwa siri jijini Dar.
Kupitia U heard na Soudy Brown amezungumza na Snura ambaye amekana kufunga ndoa,lakini alipoulizwa kama aliweza kuficha mimba hadi alipojifungua je? Hawezi...
10 years ago
Raia Tanzania13 Jul
Dk. Slaa, Magufuli kuitikisa Dar
KITENDAWILI cha kumpata mgombea urais wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), huenda kikateguliwa kesho kwa vyama hivyo kumtangaza Dk. Wilbrod Slaa.
Ukawa inaundwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), NCCR Mageuzi, Chama cha Wananchi (CUF) na NLD.
Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana kutoka ndani ya vikao vya Ukawa vilivyofanyika mfululizo mwishoni mwa wiki, pamoja na mnyukano uliokuwapo, hatimaye vyama hivyo vinatarajia kutoka na jina moja la mgombea...