BATULI ADAIWA KUJIWEKA KWA CHIFU KIUMBE
![](http://api.ning.com:80/files/WA*Dv5OWc2iXJrBe3nKIivutTsw0nkD50oSvDgq3GdpYsAdIxw59TSs1Ya*5certYjXAwjSBcK7r5gAIgE79k9FyWeiNXRv8/batuli.jpg?width=650)
Stori: Waandishi wetu Staa wa filamu Yobunesh Yusuph ‘Batuli’ amedaiwa kujiweka kwa Pedeshee Chifu Kiumbe baada ya siku kadhaa zilizopita kumfuata na kumtaka amsaidie katika project ya filamu yake . Staa wa filamu Yobunesh Yusuph ‘Batuli’. Kwa mujibu wa chanzo chetu, baada ya msanii huyo kupewa sapoti ikiwa ni pamoja na gari la kushutia, mdada huyo amekuwa akijionesha kuwa pedeshee huyo ni mtu wake. ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q2nE6LdYf841Gyx1DtKwC1xW9fOo4vnW*ALu9GDigLWITrMiR8dIBHpxlH0BsQMuD3KIHL7t1Ke5nG4uw7kGl5F/BATULI.jpg?width=650)
BATULI ADAIWA KUITIKISA NDOA YA MTUNIS
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXIS3tmwemZVfI7fxN06186Gpdkni8m4rkklRpiwp*kyM0ZeW4DMJRlJZv0doMF6IapIQCE5M8fd*RTc2tS8sUvg/Rose.jpg?width=650)
ROSE NDAUKA ADAIWA KUMTIBULIA DILI BATULI
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3ZNaaScuphA/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-wQgOzDiO9Xw/VZWUgWV8hqI/AAAAAAADvS4/N67wzXxjsg4/s72-c/k2.jpg)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA MAZISHI YA CHIFU KINGALU WA 14 WA WALUGURU, NA KUSIMIKWA KWA CHIFU KINGALU 15 KIJIJINI KINOLE, MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-wQgOzDiO9Xw/VZWUgWV8hqI/AAAAAAADvS4/N67wzXxjsg4/s640/k2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DEwAHnar3qk/VZWUgtAFU-I/AAAAAAADvTA/cy7beLKTlW0/s640/k3.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa pole na pia kumpongeza Kiongozi mpya wa kabila la Waluguru wa Mkoa wa Morogoro Chifu Kingalu wa 15 baada ya kusimikwa rasmi kijijini Kinole mkoani Morogoro leo Alhamisi Julai 3, 2015 kufuatia kifo na hatimaye mazishi ya kaka yake Marehemu Chifu Kingalu wa 14.
![](http://4.bp.blogspot.com/-3FvbpaxirvI/VZWUgkQ2DKI/AAAAAAADvS8/z9WAmKmwnKo/s640/k4.jpg)
Kiongozi mpya wa kabila la Waluguru wa Mkoa wa Morogoro Chifu Kingalu wa 15 akiongea machache baada ya kusimikwa rasmi kijijini Kinole mkoani Morogoro leo Alhamisi Julai 3, 2015 kufuatia kifo na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-dgJSMpBQyiY/Xu9unQpiixI/AAAAAAABoQ4/N_Fj8T_DRgcH0J2FYmN5rqDh4UMSenqfgCLcBGAsYHQ/s72-c/0ff4b71b-e583-4f37-94b0-0bbacd8cdaf5.jpg)
CHIFU ADAM WA PILI ASIMIKWA RASMI KUWA CHIFU WA WAHEHE
![](https://1.bp.blogspot.com/-dgJSMpBQyiY/Xu9unQpiixI/AAAAAAABoQ4/N_Fj8T_DRgcH0J2FYmN5rqDh4UMSenqfgCLcBGAsYHQ/s640/0ff4b71b-e583-4f37-94b0-0bbacd8cdaf5.jpg)
Hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Mashujaa uliopo Kalenga Mkoani Iringa ambapo Umoja Wa Machief Tanzania UMT umeshiriki.
Chief Adam wa Pili anachukua nafasi ya baba yake, Chief Abdul Mfwimwi aliyefariki mwaka 2005.
![](https://1.bp.blogspot.com/-S80vsH1zLlk/Xu9uf-C-PSI/AAAAAAABoQ0/W_13LZDFvmEPrb79wlOW0xmC0ol075EgQCLcBGAsYHQ/s640/f3dd9958-6d9f-4cef-b3fb-a66c11048ba0.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0EX-KB4616g/U_hIPnX843I/AAAAAAAGBjo/JaH1uzlbjrk/s72-c/k1.jpg)
Rais Kikwete atawazwa kuwa chifu msaidizi wa waluguru na chifu kingalu huko kinole, morogoro, apewa jina la Chidukila
![](http://4.bp.blogspot.com/-0EX-KB4616g/U_hIPnX843I/AAAAAAAGBjo/JaH1uzlbjrk/s1600/k1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-c7ruhR7Z9QY/U_hKwvzBrxI/AAAAAAAGBmA/msdYqRdUesY/s1600/k4.jpg)
CHIFU wa Waluguru Kingalu Mwanabanzi wa 14,...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
GEMMA AKILIMALI: Mwalimu anayefanya makubwa kwa taifa bila kujiweka mbele
LEO katika safu yetu ya Mwanamama tunawaletea Mwalimu Gemma Akilimali. Mama huyu alizaliwa Januari 27, mwaka 1950. Ni mwanaharakati wa kutetea haki za binadamu, mwalimu, msomi, mwanafamilia, muumini imara wa...
11 years ago
Mwananchi14 May
Ajifungua kiumbe wa ajabu Handeni
9 years ago
Bongo524 Aug
Nyumba ya Batuli yateketea kwa moto