Ajifungua kiumbe wa ajabu Handeni
Mwanamke mmoja mkazi wa Kata ya Sindeni wilayani hapa, Mwajuma Seif (50) amejifungua mtoto mwenye umbile la ajabu hali iliyomtisha na kufikia hatua ya kuwaomba madaktari wamfunge kizazi kwa kudai amechoka na anaogopa kubeba mimba zaidi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGj8nXBcp01MK0lcDnnVhbAzjyPGtYi3wfkPMfWBGqGH6msBM0914eUaJ3UJqdEb6tDQjeQGSY02mVg9CwHHWJ94/MamaM.jpg)
MAMA AJIFUNGUA MTOTO WA AJABU
Na Dustan Shekidele, Morogoro My God! Mama aliyetambulika kwa jina la Swaumu Sadick (25), mkazi wa Manzese jijini Dar, amejikuta yeye na manesi wakitimua mbio kwa woga baada ya kujifungua kiumbe wa ajabu. Swaumu Sadick akiwa hospitali baada ya kujifungua mtoto huyo. Kwa mujibu wa shuhuda wetu, tukio hilo ambalo kwa sasa ni gumzo, lilijiri hivi karibuni mishale ya saa 8:00 usiku kwenye Kituo cha Afya Cha Kijiji cha Mlali...
11 years ago
Mwananchi23 May
Aliyezaa mtoto wa ajabu Handeni alonga
>Tangu mwaka 2012 zaidi ya watoto 154 wamezaliwa na wanawake walio juu ya umri wa miaka 50. Miongoni mwao, wamo waliotokana na teknolojia ya upandikizaji.
10 years ago
MichuziTAMASHA LA HANDENI KWETU KUFANYIKA DESEMBA 31 WILAYANI HANDENI MKOANI TANGA
TAMASHA kubwa la umataduni linalojulikana kama 'Handeni Kwetu' limepangwa kufanyika Desemba 13 mwaka huu, katika Uwanja wa Azimio, wilayani Handeni, mkoani Tanga.
Mratibu Mkuu wa Tamasha la Handeni Kwetu, Kambi Mbwana, akizungumza jambo katika tamasha la mwaka lililofanyika Desemba 14. Mwaka huu tamasha hilo litafanyika Desemba 13, Siku ya Jumamosi, katika Uwanja wa Azimio, wilayani Handeni, mkoani Tanga. Picha na Maktaba Yetu.
Wasanii wa kundi la ngoma za asili la Mgambo JKT, wilayani...
![](http://4.bp.blogspot.com/-r8fysY5OXRo/VAQW4UyzX0I/AAAAAAAAIQ0/bnvYT0qN5zo/s1600/handeni%2B1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9Q_WKOuXuSU/Uy2fn1_fxPI/AAAAAAAFVoU/HW1yTXv4VXA/s72-c/unnamed+(36).jpg)
JK KUIFUNGUA BARABARA YA MKATA — HANDENI NA HANDENI — KOROGWE MKOANI TANGA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kesho anatarajiwa kuifungua rasmi barabara ya Mkata - Handeni ambayo ujenzi wake umekamilika kwa kiwango cha lami.
Kwa muibu wa taarifa kutoka Wizara ya Ujenzi, Barabara hii ina urefu wa kilometa 53.2.
Akiwa Wilayani Handeni, Rais Kikwete ataifungua pia barabara ya Korogwe – Handeni ambayo vile vile imekamilika kujengwa kwa kiwango cha lami.
Barabara hii ina urefu wa kilometa 65. Katika hatua nyingine mnamo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RIGOnYWMldo/Uy_9UkugZdI/AAAAAAAFV50/eA5RpNhsbcM/s72-c/Picha+Na+1.jpg)
RAIS KIKWETE AZIFUNGUA BARABARA ZA MKATA — HANDENI NA KOROGWE — HANDENI MKOANI TANGA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-RIGOnYWMldo/Uy_9UkugZdI/AAAAAAAFV50/eA5RpNhsbcM/s1600/Picha+Na+1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WXRfWRaNP08/Uy_-LcNLWVI/AAAAAAAFV6E/Fxo7o_piQQc/s1600/Picha+Na+2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pog920fjmi8YTaOH18v52OvBRFY6FWkhDyBYsig--NL8nSWwrFlgsd6NFo8ppc-GQgMpn5GtsibyOzXmu01yj6Wdv3W7vGre/MAMAWEMA.jpg?width=650)
MAPEDESHEE, CHIEF KIUMBE KAWAZIDI UJANJA
Mohamed Abdallah Kiumbe,'Chif kiumbe' mwenye kanzu yanjano. JINA alilopewa na wazazi wake ni Mohamed Abdallah Kiumbe, lakini baada ya mihangaiko yake huku na kule, akipiga hatua taratibu za maendeleo, akajikuta amepata umaarufu mkubwa mno, sasa akijulikana kama Chief Kiumbe. Ninamfahamu kiasi huyu jamaa, ni mchangamfu, mtu wa watu, lakini usisahau, ni kijana wa kisasa. Enzi hizo ukikutana naye kwenye kumbi za starehe, huwezi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WA*Dv5OWc2iXJrBe3nKIivutTsw0nkD50oSvDgq3GdpYsAdIxw59TSs1Ya*5certYjXAwjSBcK7r5gAIgE79k9FyWeiNXRv8/batuli.jpg?width=650)
BATULI ADAIWA KUJIWEKA KWA CHIFU KIUMBE
Stori: Waandishi wetu Staa wa filamu Yobunesh Yusuph ‘Batuli’ amedaiwa kujiweka kwa Pedeshee Chifu Kiumbe baada ya siku kadhaa zilizopita kumfuata na kumtaka amsaidie katika project ya filamu yake . Staa wa filamu Yobunesh Yusuph ‘Batuli’. Kwa mujibu wa chanzo chetu, baada ya msanii huyo kupewa sapoti ikiwa ni pamoja na gari la kushutia, mdada huyo amekuwa akijionesha kuwa pedeshee huyo ni mtu wake. ...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/YH5jmcNjNHw/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DSgMy3IPIaa81*SPMDXyjygAqYZgoFronwlGmqJfja*iMw*rFDpdEU57bnc0d-IEmo8MESHAQQCcGStbT4pjKFq/BELINAPIC.jpg)
BELINA AJIFUNGUA
Belina Mgeni. Stori: Imelda Mtema
MWANAMITINDO maarafu Bongo, Belina Mgeni amejifungua mtoto wa kike. Mtoto wa Belina. Mrembo huyo alijifungua juzikati katika Hospitali ya TMJ, iliyopo Mikocheni, jijini Dar es Salaam ambapo mwanamitindo huyo hakusita kuanika furaha yake mbele ya paparazi wetu kisha akatangaza jina la kichanga hicho, Naila. “Kiukweli siku zote ukimuomba Mungu unafanikiwa kwani nilikuwa… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania