BELINA AJIFUNGUA

Belina Mgeni. Stori: Imelda Mtema MWANAMITINDO maarafu Bongo, Belina Mgeni amejifungua mtoto wa kike. Mtoto wa Belina. Mrembo huyo alijifungua juzikati katika Hospitali ya TMJ, iliyopo Mikocheni, jijini Dar es Salaam ambapo mwanamitindo huyo hakusita kuanika furaha yake mbele ya paparazi wetu kisha akatangaza jina la kichanga hicho, Naila. “Kiukweli siku zote ukimuomba Mungu unafanikiwa kwani nilikuwa… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
BELINA ANASWA NA KICHANGA CHAKE
11 years ago
GPL
MTOTO WA BELINA ‘AOGESHWA MAHELA’
11 years ago
GPL
BELINA AZAWADIWA ZAWADI YA RUBBY NA MPENZI WAKE
10 years ago
GPL
SAJENTI AJIFUNGUA
11 years ago
GPL
AISHA BUI AJIFUNGUA
11 years ago
GPL
ODAMA AJIFUNGUA KIDUME
11 years ago
GPL
ROSE NDAUKA AJIFUNGUA
11 years ago
GPL
MAMA MCHUNGAJI AJIFUNGUA HIRIZI!
10 years ago
Habarileo12 May
Ajifungua watatu, siku 3 hospitali 2
MKAZI wa kijiji cha Kisalala, Kata ya Laela wilayani Sumbawanga katika mkoa wa Rukwa, Lydia Shazi (29) amejifungua watoto watatu wote wa kiume kwa siku tofauti na hospitali mbili tofauti.