MAMA MCHUNGAJI AJIFUNGUA HIRIZI!
![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0QISz4-nUiMgISk-B48sEvi0XlQw12vUKm0-T5BVM-KTI6GajLe1tn2QOkFmJA388wVDjNGxaz*t1KXQsu3gRLF/mchungaji.jpg)
Stori: Shani Ramadhani na Rhoda Josiah NI maajabu ya dunia! Mke wa Mchungaji wa Kanisa la EAGT ‘Bonde la Baraka’ lililopo Kata ya Kerege Manofu, Bagamoyo mkoani Pwani, Boniface Onesmo Mahera (38) (pichani), Bentha Seth (27) baada ya kubeba mimba kwa miezi tisa hatimaye amejifungua hirizi, gazeti la kijamii, Uwazi lina mkasa wote. Mke wa Mchungaji wa Kanisa la EAGT ‘Bonde la Baraka’, Bentha Seth...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGj8nXBcp01MK0lcDnnVhbAzjyPGtYi3wfkPMfWBGqGH6msBM0914eUaJ3UJqdEb6tDQjeQGSY02mVg9CwHHWJ94/MamaM.jpg)
MAMA AJIFUNGUA MTOTO WA AJABU
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Mama ajifungua pacha wanne Mbeya
10 years ago
GPLMWANZA: MAMA AJIFUNGUA MTOTO, AMTUPA DAMPO
5 years ago
BBCSwahili26 May
Virusi vya corona: Mama aliyekuwa na maambukizi ya Covid-19 ajifungua salama
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BKB8rO763wEzt2qQinNSA-5R8-c231xqYJf2UytPCRbUs6uQQnzduowQsvCv1OfiWXbeBwugzlypgl-7jqMqfwfur1Yn6qHi/skendo.jpg?width=650)
SKENDO! MAMA AJIFUNGUA, MANESI WADAIWA KUMTUMBUKIZA MTOTO KWENYE NDOO
10 years ago
Dewji Blog22 May
Staa wa Bongo Movie, Aunt Ezekiel sasa ni Mama COOKIE!! ajifungua mtoto wa kike
Aunt Ezekiel
Na Andrew Chale, Modewji blog
Ilikuwa si rahisi kama ilivyojulikana na wengi hasa kwa namna ya ‘fans’ wa staa wa filamu za Bongo maalufu Bongo Movie, kujua hatma ya ujauzito wake ambao ulikuwa ukifuatiliwa na wengi. staa huyo si mwingine ni Aunty Ezekiel (pichani), katika kipindii chote cha ujauzito wake. Lakini kwa neema za Mungu, Asubuhi ya Mei 21.2015, staa huyo aliweza kuifungulia dunia kwa kumleta mtoto wa kike.
Hata hivyo, Mtoto huyo tayari jina lake limeshajulikana...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-5CkFr_2p47M/Xp0_Iz6psDI/AAAAAAAAyPA/OuHdiQcGabEfiEIoDbW_0mhw42ve2SnYwCLcBGAsYHQ/s72-c/Bishop-Dr.Gertrude-Rwakatare-habari-Njema.jpg)
BREAKING NEWS: MCHUNGAJI MAMA GERTRUDE RWAKATARE AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5CkFr_2p47M/Xp0_Iz6psDI/AAAAAAAAyPA/OuHdiQcGabEfiEIoDbW_0mhw42ve2SnYwCLcBGAsYHQ/s400/Bishop-Dr.Gertrude-Rwakatare-habari-Njema.jpg)
Mtoto wake Muta Rwakatare amethibitisha.
Taarifa zaidi tutawaletea kadri tutakavyoendelea kupata taarifa.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-10JxlHGicaQ/VRveT2Z4Y7I/AAAAAAAHOw4/sZmHrocx1C0/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
MAMA AJIFUNGUA MAPACHA WANNE KWA MKUPUO MKOANI KIGOMA, AOMBA MSAADA KWA WATANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-10JxlHGicaQ/VRveT2Z4Y7I/AAAAAAAHOw4/sZmHrocx1C0/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
MKAZI wa Kijiji cha Buzebazeba katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, Zuwena Abdu (29) jana amejifungua watoto mapacha wanne kwa mkupuo katika Hospital ya Mkoa wa Kigoma (Maweni).
Zuwena alisema kuwa watoto aliojifungua wenye jinsia ya kiume ni watatu na mmoja ambaye ni wa mwisho ana jinsia ya kike ,wa kwanza akiwa na uzito wa kilo 1.8,pili 2.5 wa tatu 1.7 na wanne 1.7.
Alisema watoto hao alijifungua jana majira ya saa kumi na mbili jioni salama kwa njia...