Mtunis Amuwekea Ngumu Mkewe, Mke Ajuta!
Staa wa bongo movies, Nice Mohammed ‘Mtunis’ amesema lich aya kuombwa radhi na mkewe Aziza Abdallah baada ya kushitakiana mahakamani kwamwe hatorudi myuma na kurudiana naye
Akiongea na gazeti la Kiu, kuhusiana na swala zima la mahusiano yao Mtunisi alisema kuwa kwa sasa ameamua kupumzika na kuangalia masiha yake baaada ya purukushani kubwa ambazo zimemfanya awe makini na wanawake.
Kwakweli siwezi kurudiana na mke wangu licha ya kuomba radhi na kudai mashoga ndio wamemponza kama kweli...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/y39xTR5a6g4Nwu1Rn1jwFmbS0U0qT6Do*lMXK3GhVGIK3DFJJmGc2JVqjEqkAPv-FiVMA1ZI8Sl*I2gg457hv-b0QXZJkO*M/DUDE.jpg)
BETHIDEI YA MTOTO, MKE WA MTITU, DUDE AMKTISHA MAUNO MKEWE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhk5UnKluLgVgIGUEU3kQFW92R8hCumRhItevvfdkNzos1Kbwc42R-M7jYiYvD13B2WoQkJOQXNVLnH*2fsULw5c/13.gif)
MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE (CUF) AMUWEKEA PINGAMIZI WA CHADEMA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-H1clHA6zHAs/VOWS1gTUuOI/AAAAAAAAHkA/Ez6l2ZC7Qcw/s72-c/Indian-Wedding-Photos-151.jpg)
BWANA HARUSI AANGUKA KIFAFA KABLA YA HARUSI, ALIMFICHA MKEWE MTARAJIWA KAMA ANAANGUKA, MKE AAMUA KUOLEWA NA MWINGINE PAPO KWA PAPO
![](http://2.bp.blogspot.com/-H1clHA6zHAs/VOWS1gTUuOI/AAAAAAAAHkA/Ez6l2ZC7Qcw/s640/Indian-Wedding-Photos-151.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u-nuBgwJg3wFtaJ0SypkMtclBEvkXEOwPR*FX1I2lN2q*ug2YB6Mjkjdf5b1HnRtn5Z0GLv6hovd8zHhG123eZjTDnxP*Zgg/batu.jpg)
TAMBO BATULI AMLIPUA MTUNIS
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfgiSQvCFm7dc2cYIb78UaBc154kOQZNrHz9rWvrGKweVFhdUDWki5RNMZXjkk9RxzsSYzz3EKXEJoLsEabBC8Fq/batuli.jpg)
BATULI: SIJAWAHI KUPENDA KAMA MTUNIS
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q2nE6LdYf841Gyx1DtKwC1xW9fOo4vnW*ALu9GDigLWITrMiR8dIBHpxlH0BsQMuD3KIHL7t1Ke5nG4uw7kGl5F/BATULI.jpg?width=650)
BATULI ADAIWA KUITIKISA NDOA YA MTUNIS
10 years ago
Bongo509 Dec
Rapper amuua mkewe na kujiua, mkewe alimsaliti na Trey Songz, Mayweather ashuhudia tukio zima la mauaji!
10 years ago
Bongo Movies19 Apr
Mtunis Atoboa Haya Kuhusu Tasnia ya Filamu
Staa wa Bongo Movies, Nice Mohammed ‘mtunis’ amesema kuwa tasnia ya uigizaji inahitaji umakini zaidi ili kujikosoa penye makosa. Alisema licha ya kwamba filamu zinadaiwa hazilipi hiyo siyo sababu yakutayarisha zisizokuwa na ubora.
Alifafanua hata wakongwe wanapoibua chipukizi wanapaswa kuzingatia wenye vipaji zaidi ili tasnia huyo iendelee kufanya vizuri .
Alieleza kuwa hakuna kitu kibaya kama mtu anayekuamini akikudharau harudi nyuma, hivyo kwa kuwa makini kutayarisha filamu bora na...
10 years ago
Bongo Movies21 Apr
Huu Ndio Wito wa Mtunis kwa Watanzania Waishio ‘SAUZI’
Utani Kidogo: Kufuatia kile kinachoendelea kule Afrika Kusini, na tamko la waziri wa mambo ya nje wa hapa Tanzania, Staa wa Bongo Movies, Nice Mohammed ‘Mtunis’ ameandika hii kwenye kukursa wake mtandaoni
"Haya jamani wale wenzangu na mimi ambao mumekaa muda mrefu huko SOUTH AFRICA na ukajikuta hata nauli ya kurudia NYUMBANI huna mbaya zaidi hata sababu ya kujitetea muda wote huo umekaa huko huna ulichokifanya mungu keshashua neema yake ni kiasi tu cha kwenda pale kwenye ile KAMBI YA...