Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtunis Amuwekea Ngumu Mkewe, Mke Ajuta!

Staa wa bongo movies, Nice Mohammed ‘Mtunis’ amesema lich aya kuombwa radhi na mkewe Aziza Abdallah baada ya kushitakiana mahakamani kwamwe hatorudi myuma na kurudiana naye

Akiongea na gazeti la Kiu, kuhusiana na swala zima la mahusiano yao Mtunisi alisema  kuwa kwa sasa ameamua kupumzika na kuangalia masiha yake baaada ya purukushani  kubwa ambazo zimemfanya  awe makini na wanawake.

Kwakweli siwezi kurudiana na mke wangu licha ya kuomba radhi na kudai mashoga ndio wamemponza kama kweli...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BETHIDEI YA MTOTO, MKE WA MTITU, DUDE AMKTISHA MAUNO MKEWE

Stori: Imelda Mtema Kazi ipo! Taarifa ikufikie kwamba kutoka kwenye bonge la pati la bethidei ya mtoto na mke wa mwigizaji, William Mtitu, staa wa Bongo Dar es Salaam, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amejikuta akimkatisha mauno mkewe, Eva hadharani kitendo kilichozua minong’ono mingi baada ya mwanamama huyo kufanya kweli hadi jamaa akamwambia yatosha. Mke wa mwigizaji, William Mtitu, Yovitha akiwa na mwanaye...

 

11 years ago

GPL

MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE (CUF) AMUWEKEA PINGAMIZI WA CHADEMA

TAARIFA YA PINGAMIZI LA MGOMBEA WA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE FABIAN LEONARD SKAUKI – MGOMBEA CHAMA CHA WANANCHI –CUF
                                                            DHIDI YA
MATHAYO MANG’UNDA TORONGEY – MGOMBEA...

 

10 years ago

Vijimambo

BWANA HARUSI AANGUKA KIFAFA KABLA YA HARUSI, ALIMFICHA MKEWE MTARAJIWA KAMA ANAANGUKA, MKE AAMUA KUOLEWA NA MWINGINE PAPO KWA PAPO

Bi harusi mmoja kaskazini mwa nchi ya India alifanya maamuzi ya papo kwa hapo kuolewa na mmoja wa wageni waliofika kushereheka naye katika harusi yake baada ya mumewe kuugua ghafla.Mwanamke huyo ajulikanaye kama Indra anayetokea Rampur jimbo la Uttar Pradesh, inaelezwa kuwa sekunde chache kabla ya ndoa ya wawili hao mume akaanguka kifafa, na hivyo kumlazimu kuondoka harusini na kwenda kumwona daktari.Bi harusi Indra, alishikwa na hasira ya hali ya juu, kwakuwa mume alimficha juu ya hali...

 

10 years ago

GPL

TAMBO BATULI AMLIPUA MTUNIS

STAA wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mwigizaji Nice Mohammed ‘Mtunis’, amemchana zilipendwa wake huyo kwa kumwambia hana mvuto! Staa wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli. Kuonesha msisitizo, Batuli alisema kwa Mtunis ilikuwa ni kama daraja tu, alishapita hivyo hana mpango naye tena kwani tayari amepata mchumba wa Kizungu, raia wa nchi moja...

 

11 years ago

GPL

BATULI: SIJAWAHI KUPENDA KAMA MTUNIS

Na Gabriel Ng’osha KWA mara nyingine, staa wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf  ‘Batuli’ amemwaga data za kimapenzi akidai hajawahi kumpenda mwanaume kama alivyompenda Nice Mohammed ‘Mtunis’. Staa wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf  ‘Batuli’ Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, Batuli alisema licha ya kuwa walimwagana na staa huyo lakini hatokuja kupenda mwanaume kama...

 

11 years ago

GPL

BATULI ADAIWA KUITIKISA NDOA YA MTUNIS

HABARI za motomoto kutoka vyanzo vya uhakika, zinasema kuwa staa wa kike anayekuja juu kwa sasa katika tasnia ya filamu Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ ameitikisa ndoa ya mwigizaji mwenzake, Nice Mohammed ‘Mtunis’ kwa madai ya kutoka naye kimapenzi. Mkali katika tasnia ya filamu Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’. Chanzo chetu, kwa sharti la kutochorwa jina lake gazetini kilifunguka kuwa ishu...

 

10 years ago

Bongo5

Rapper amuua mkewe na kujiua, mkewe alimsaliti na Trey Songz, Mayweather ashuhudia tukio zima la mauaji!

Rapper wa Marekani, Earl Hayes amemuua mke wake Stephanie Moseley aliyekuwa staa kwenye kipindi cha “Hit the Floor” cha VH1 kwa risasi na yeye kujiua kutokana na wivu wa mapenzi. Stephanie Moseley Hayes alikuwa ameumizwa na uhusiano wa kimapenzi aliokuwa nao mke wake na Trey Songz. Stephanie Moseley aliuawa nyumbani kwao na mume wake huyo […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Mtunis Atoboa Haya Kuhusu Tasnia ya Filamu

Staa wa Bongo Movies, Nice Mohammed ‘mtunis’ amesema kuwa tasnia ya uigizaji inahitaji umakini zaidi ili kujikosoa penye makosa. Alisema licha ya kwamba  filamu zinadaiwa  hazilipi hiyo  siyo sababu yakutayarisha zisizokuwa na ubora.

Alifafanua hata wakongwe wanapoibua chipukizi wanapaswa kuzingatia wenye vipaji zaidi ili tasnia huyo iendelee kufanya vizuri .

Alieleza kuwa hakuna kitu kibaya kama mtu anayekuamini akikudharau harudi nyuma, hivyo kwa kuwa makini kutayarisha filamu bora na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Huu Ndio Wito wa Mtunis kwa Watanzania Waishio ‘SAUZI’

Utani Kidogo: Kufuatia kile kinachoendelea kule Afrika Kusini,  na tamko la waziri wa mambo ya nje wa hapa Tanzania, Staa wa Bongo Movies, Nice Mohammed ‘Mtunis’  ameandika hii kwenye kukursa wake mtandaoni

"Haya jamani wale wenzangu na mimi ambao mumekaa muda mrefu huko SOUTH AFRICA na ukajikuta hata nauli ya kurudia NYUMBANI huna mbaya zaidi hata sababu ya kujitetea muda wote huo umekaa huko huna ulichokifanya mungu keshashua neema yake ni kiasi tu cha kwenda pale kwenye ile KAMBI YA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani