Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NASUBIRI MUNGU AICHUKUE ROHO YANGU

MWANAFUNZI wa kidato cha nne nchini Burundi, Miburo Anne Mony (17), raia wa nchi  hiyo amesema anakwenda kufia kwao baada ya madaktari ya Hospitali ya Taifa Muhimbili kumwambia ugonjwa wake wa kansa umecheleweshwa hivyo si rahisi kutibika. HAJUI ATARUDIJE NYUMBANI
Akizungumza na mwandishi wetu huku akibubujikwa machozi ndani ya Wodi Na. 24, Sewa Haji, Muhimbili, mwanafunzi huyo wa kike ambaye hajui Kiswahili wala Kingereza...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

‘EE MUNGU SITEMBEI TENA, NASUBIRI KIFO CHANGU TU’

Na Gabriel Ng’osha
WAGOMBANAPO mafahari wawili ziumiazo ni nyasi, haya yametokea kwa Joyce Kauzeni (43) mkazi wa Kibamba, jijini Dar e s Salaam baada ya kupooza sehemu kubwa ya mwili wake, kutokana na mgomo wa madaktari nchi nzima uliotokea Juni, 2012 kwa ajili ya kuishinikiza serikali kutimiza madai yao kumi, likiwemo la masilahi. Miguu ya Joyce Kauzeni ikiwa imepooza. Akisimulia mkasa huo mume wa Joyce, Lazaro...

 

10 years ago

Raia Mwema

Sasa roho yangu imetulia

WAKATI wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005, Rais Jakaya Kikwete, alivuma sana na alipendwa na watu wen

Privatus Karugendo

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

GPL

11 years ago

Mwananchi

Namshukuru Mungu sauti yangu inamtumikia YeYE

Tanzania ni nchi iliyojaliwa kuwa na wasanii mbalimbali, wanaotoa aina tofauti za burudani. Wapo wa muziki wa dansi, ngoma za asili, maigizo, sarakasi hata muziki wa Injili.

 

11 years ago

GPL

JAMANI! 'MATESO YANGU ANAYAJUA MUNGU’

Makala: Deogratius Mongela na Denis Mtima WAKATI wewe unaishi vizuri na kufanya kila aina ya starehe uitakayo, mambo ni tofauti kwa Ili Chacha (40) ambaye hata mahitaji muhimu kwake ni shida kwa kuwa anasumbuliwa na gonjwa hatari la kansa kwa zaidi ya miaka 14 sasa bila matibabu yoyote.…

 

10 years ago

Mwananchi

TUHUMA UGAIDI: ‘Namwachia Mungu suala la binti yangu’

>Wakati mama mzazi wa msichana anayedaiwa kutaka kujiunga na Kundi la Al-Shabaab, Tahliya Sadir akisema kuwa anamwachia Mungu suala la binti yake, babu na bibi yake wameonekana kushtushwa na taarifa hizo na kusema hawakuwahi kufikiria kama  mjukuu wao angethubutu kufanya uamuzi kama huo.

 

10 years ago

Bongo5

Linex: Mimi sijawahi kua mvuta bangi maisha yangu yote na kama ninavuta Mungu ananiona

Kuna baadhi ya watu ambao huamini kuwa mtu akishakuwa msanii wa muziki ni lazima atakua mtumiaji wa vilevi kama bangi, na wapo wanaoamini kuwa binti akishaingia kwenye sanaa ya urembo pia ni lazima atajihusisha na umalaya, kitu ambacho si kweli kwasababu hiyo ni tabia ya mtu binafsi. Linex Sunday Mjeda leo ameamua kujibu swali ambalo […]

 

11 years ago

GPL

MUACHE MUNGU AITWE MUNGU NA KAMA HUJAFA HUJAUMBIKA‏

Elisha Bahunde akiwa chumba # 8 ghorofa ya 6 alipolazwa tangia siku ya Jumatano Feb 19, 2014 alipoletwa Maryland kwa matibabu zaidi
Elisha Bahunde au Eric akiwa hana miguu wa mkono kama picha inavyoonyesha.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani