‘EE MUNGU SITEMBEI TENA, NASUBIRI KIFO CHANGU TU’
![](http://api.ning.com:80/files/mMRmJLLEzVHtLZ4INT44dTXtu4vRQ24IIXA6Fmfb5ady93QauAZOiRryzEcEax4gBxzDG5HJar4UcEY21qbhJLJZvBXhiCXm/3.jpg?width=650)
Na Gabriel Ng’osha WAGOMBANAPO mafahari wawili ziumiazo ni nyasi, haya yametokea kwa Joyce Kauzeni (43) mkazi wa Kibamba, jijini Dar e s Salaam baada ya kupooza sehemu kubwa ya mwili wake, kutokana na mgomo wa madaktari nchi nzima uliotokea Juni, 2012 kwa ajili ya kuishinikiza serikali kutimiza madai yao kumi, likiwemo la masilahi. Miguu ya Joyce Kauzeni ikiwa imepooza. Akisimulia mkasa huo mume wa Joyce, Lazaro...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pFJjdzRt4aZa5TB9VoMWEFjapJ2lDLjqobLjPfGUmTM0h5EsgssdKHDTJd4GBa24Qc1uaHKJj7*ATJGeAwnMxQ/maskini.jpg)
NASUBIRI MUNGU AICHUKUE ROHO YANGU
9 years ago
Bongo518 Nov
Ninafikiri siku ya kifo changu imekaribia – Wema Sepetu
![wema2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/wema2-300x194.jpg)
Hakuna binadamu asiyefahamu hatma yake hapa duniani, licha ya kwamba wengi huwa hawapendi hata kuzungumzia swala la kifo, lakini mrembo Wema Sepetu hana tatizo katika hilo.
Muigizaji na Miss Tanzania wa zamani Wema Sepetu ameandika ujumbe kuhusu ‘anachofikiria’ kuhusu kifo chake, kitendo kilichowaachia maswali mashabiki wake ya kwanini amewaza na kuamua kuandika maneno hayo.
Kupitia Instagram Wema ameandika:
“Kumbuka kwamba kuna kifo… Iko siku utaitwa Marehemu…. Put that in your head… Im...
11 years ago
Mwananchi22 May
Familia yamwachia Mungu kifo cha Meneja Ewura
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FkLMylrJqnU0WifgWs90liwipsQLu0vATtgagceh9W33b7QbV*Gfu6EXcDTLV0cXs4G91KxeXYwPPiiAYfJsBJMCoC0QOUyT/10933818_10153855376887195_1226112306730163947_n.jpg?width=650)
KIFO CHA MFALME ABDULLAH: NI UKUMBUSHO TOSHA MALI SI LOLOTE MBELE YA MUNGU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-2YZ-tAVvtAlJzECsodfQ1Kcc0tr6lnRxarJL1OsX-cD-QbvVTBLB2acr2LuHWhCVDYFiVvZWhopL0gwfjqxaQf/shija.jpg?width=650)
SHIJA: SITEMBEI NA MASTAA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8R-KigMAM7C53u-3bP9sulWSSvmr5YnrE9ucnBYA1EJxv3-RV633i3OtbnpebY-MCORcxKYzn8u5*m2xk9B*Wyv/meriam.jpg)
MWANAMKE ALIYEHUKUMIWA KIFO AKAMATWA TENA
11 years ago
GPLMUACHE MUNGU AITWE MUNGU NA KAMA HUJAFA HUJAUMBIKA
9 years ago
Mtanzania11 Nov
Maalim Seif: Nasubiri kuapishwa
*EU yataka mshindi Zanzibar atangazwe
Na Mwandishi Wetu, Pemba
MGOMBEA urais wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amewata wananchi wa Kisiwa cha Pemba kutembea kifua mbele, kwani anachosubiri ni muda tu ili aweze kuapishwa kuwa rais wa awamu ya nane wa Zanzibar.
Kauli hiyo aliitoa jana alipokuwa akihutubia katika mkutano ulioandaliwa kwa ajili ya viongozi wa wilaya, majimbo na matawi kisiwani Pemba uliofanyika wilayani Chakechake.
Maalim Seif ambaye pia ni Katibu Mkuu wa...
9 years ago
Mtanzania16 Sep
Cyrill: Nasubiri uchaguzi upite
NA CHRISTOPHER MSEKENA
UCHAGUZI mkuu wa rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, umepunguza kasi ya wasanii wa sanaa mbalimbali kutoa kazi zao kutokana na upepo wa kisiasa kuchukua nafasi kubwa.
Msanii kutoka Singida, Cyrill Kamikaze, ni mmoja wao licha ya kukamilisha uandaaji wa wimbo wake mpya, lakini anashindwa kuutoa kwa sasa kutokana na harakati za siasa zilivyopamba moto.
“Sio mimi tu, wasanii wengi wapo kimya kwa sababu ya uchaguzi, kwa upande wangu nasubiri...