Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘EE MUNGU SITEMBEI TENA, NASUBIRI KIFO CHANGU TU’

Na Gabriel Ng’osha
WAGOMBANAPO mafahari wawili ziumiazo ni nyasi, haya yametokea kwa Joyce Kauzeni (43) mkazi wa Kibamba, jijini Dar e s Salaam baada ya kupooza sehemu kubwa ya mwili wake, kutokana na mgomo wa madaktari nchi nzima uliotokea Juni, 2012 kwa ajili ya kuishinikiza serikali kutimiza madai yao kumi, likiwemo la masilahi. Miguu ya Joyce Kauzeni ikiwa imepooza. Akisimulia mkasa huo mume wa Joyce, Lazaro...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

NASUBIRI MUNGU AICHUKUE ROHO YANGU

MWANAFUNZI wa kidato cha nne nchini Burundi, Miburo Anne Mony (17), raia wa nchi  hiyo amesema anakwenda kufia kwao baada ya madaktari ya Hospitali ya Taifa Muhimbili kumwambia ugonjwa wake wa kansa umecheleweshwa hivyo si rahisi kutibika. HAJUI ATARUDIJE NYUMBANI
Akizungumza na mwandishi wetu huku akibubujikwa machozi ndani ya Wodi Na. 24, Sewa Haji, Muhimbili, mwanafunzi huyo wa kike ambaye hajui Kiswahili wala Kingereza...

 

9 years ago

Bongo5

Ninafikiri siku ya kifo changu imekaribia – Wema Sepetu

wema2

Hakuna binadamu asiyefahamu hatma yake hapa duniani, licha ya kwamba wengi huwa hawapendi hata kuzungumzia swala la kifo, lakini mrembo Wema Sepetu hana tatizo katika hilo.

wema

Muigizaji na Miss Tanzania wa zamani Wema Sepetu ameandika ujumbe kuhusu ‘anachofikiria’ kuhusu kifo chake, kitendo kilichowaachia maswali mashabiki wake ya kwanini amewaza na kuamua kuandika maneno hayo.

Kupitia Instagram Wema ameandika:

“Kumbuka kwamba kuna kifo… Iko siku utaitwa Marehemu…. Put that in your head… Im...

 

11 years ago

Mwananchi

Familia yamwachia Mungu kifo cha Meneja Ewura

Aliyekuwa Meneja wa Biashara ya Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), Julius Gashaza anazikwa leo katika Kijiji cha Mulukulazo, Ngara mkoani Kagera huku familia yake ikisema haina cha kusema kuhusu kifo hicho, bali inamwachia Mungu.

 

10 years ago

GPL

KIFO CHA MFALME ABDULLAH: NI UKUMBUSHO TOSHA MALI SI LOLOTE MBELE YA MUNGU!

Aliyebebwa na kisha kulazwa hapa ni Mfalme Abdullah wa Saudia. Aliswaliwa na kuzikwa huko Riyadh mapema wiki hii.
Kuna mengi tunajifunza kwa kifo cha Mfalme huyu wa Duniani, Allah ampe kheri na jazaa huko akhera , ameen. Mfalme ambaye alikua na utajiri usomithilika, alikua na nguvu za kusema kile nataka hiki sitaki, alikua na uwezo mkubwa, lakini yote haya ulifika muda ikawa ni mwisho wake. Mwisho wa maamuzi. Hata akivuliwa...

 

11 years ago

GPL

SHIJA: SITEMBEI NA MASTAA

Stori: Mayasa Mariwata
STAA wa filamu Bongo, Deogratius Shija amesema katika maisha yake hafikirii kutoka kimapenzi na mwanamke yoyote ambaye ni msanii hususani kuingia naye katika maisha ya ndoa. Deogratius Shija. Akizungumza na paparazi wetu alisema, kamwe hawezi kukurupuka akajiingiza mkenge kumuoa msanii kwa kuwa hana imani na wasanii wa kike na hajawahi kujihusisha nao kimapenzi, kwani  mastaa wengi ni walaghai...

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE ALIYEHUKUMIWA KIFO AKAMATWA TENA

Meriam akiwa na mwanaye Maya, kushoto ni mumewe Daniel Wani aliyempakata mtoto wao wa kiume Martin na wadau waliopigania mama huyo kuachiwa huru kabla ya kukamatwa tena leo. Meriam Ibrahim na mumewe Daniel Wani siku ya ndoa yao mwaka 2011. MWANAMKE Meriam Ibrahim aliyeachiwa huru jana baada ya kuhukumiwa kifo kwa kosa la kuolewa na mwanamume mkristo na kukana dini ya kiisilamu amekamatwa tena akiwa na mumewe pamoja na watoto...

 

11 years ago

GPL

MUACHE MUNGU AITWE MUNGU NA KAMA HUJAFA HUJAUMBIKA‏

Elisha Bahunde akiwa chumba # 8 ghorofa ya 6 alipolazwa tangia siku ya Jumatano Feb 19, 2014 alipoletwa Maryland kwa matibabu zaidi
Elisha Bahunde au Eric akiwa hana miguu wa mkono kama picha inavyoonyesha.…

 

9 years ago

Mtanzania

Maalim Seif: Nasubiri kuapishwa

pic+seif*EU yataka mshindi Zanzibar atangazwe

Na Mwandishi Wetu, Pemba

MGOMBEA urais wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amewata wananchi wa Kisiwa cha Pemba kutembea kifua mbele, kwani anachosubiri ni muda tu ili aweze kuapishwa kuwa rais wa awamu ya nane wa Zanzibar.

Kauli hiyo aliitoa jana alipokuwa akihutubia katika mkutano ulioandaliwa kwa ajili ya viongozi wa wilaya, majimbo na matawi kisiwani Pemba uliofanyika wilayani Chakechake.

Maalim Seif ambaye pia ni Katibu Mkuu wa...

 

9 years ago

Mtanzania

Cyrill: Nasubiri uchaguzi upite

CYILLNA CHRISTOPHER MSEKENA

UCHAGUZI mkuu wa rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, umepunguza kasi ya wasanii wa sanaa mbalimbali kutoa kazi zao kutokana na upepo wa kisiasa kuchukua nafasi kubwa.

Msanii kutoka Singida, Cyrill Kamikaze, ni mmoja wao licha ya kukamilisha uandaaji wa wimbo wake mpya, lakini anashindwa kuutoa kwa sasa kutokana na harakati za siasa zilivyopamba moto.

“Sio mimi tu, wasanii wengi wapo kimya kwa sababu ya uchaguzi, kwa upande wangu nasubiri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani