Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ninafikiri siku ya kifo changu imekaribia – Wema Sepetu

wema2

Hakuna binadamu asiyefahamu hatma yake hapa duniani, licha ya kwamba wengi huwa hawapendi hata kuzungumzia swala la kifo, lakini mrembo Wema Sepetu hana tatizo katika hilo.

wema

Muigizaji na Miss Tanzania wa zamani Wema Sepetu ameandika ujumbe kuhusu ‘anachofikiria’ kuhusu kifo chake, kitendo kilichowaachia maswali mashabiki wake ya kwanini amewaza na kuamua kuandika maneno hayo.

Kupitia Instagram Wema ameandika:

“Kumbuka kwamba kuna kifo… Iko siku utaitwa Marehemu…. Put that in your head… Im...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WEMA SEPETU ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA

Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ akijiandaa kukata keki yake ya siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Kijitonyama. Wema Isaac Sepetu akiongea na wageni wake (hawapo pichani) kabla ya kukata Ndafu.…

 

10 years ago

GPL

‘EE MUNGU SITEMBEI TENA, NASUBIRI KIFO CHANGU TU’

Na Gabriel Ng’osha
WAGOMBANAPO mafahari wawili ziumiazo ni nyasi, haya yametokea kwa Joyce Kauzeni (43) mkazi wa Kibamba, jijini Dar e s Salaam baada ya kupooza sehemu kubwa ya mwili wake, kutokana na mgomo wa madaktari nchi nzima uliotokea Juni, 2012 kwa ajili ya kuishinikiza serikali kutimiza madai yao kumi, likiwemo la masilahi. Miguu ya Joyce Kauzeni ikiwa imepooza. Akisimulia mkasa huo mume wa Joyce, Lazaro...

 

10 years ago

Bongo Movies

'Wema Sepetu Msamehe Kajala' Mashabiki Wamlilia Wema

Ikiwa ni masaa kadhaa yamepita toka msanii wa filamu nchini Kajala Masanja kufunguka ya moyoni juu ya Wema Sepetu na Petit Man na kueleza kuwa kamwe katika maisha yake ya hapa Duniani hawezi kusahau fadhila na moyo wa upendo ambao

ulioneshwa na watu wao kipindi ambacho alikuwa na matatizo na jinsi walivyoweza kujitolea mpaka kufikia hatua ya kuweza kumsaidia katika matatizo ambayo alikuwa anakabiliana nayo kwa kipindi kile.

Kajala alifunguka hayo kupitia ukurasa wake wa Instgram na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mzee Majuto Amuunga Mkono Wema Sepetu, Diamond Amtaka Wema Abadilike Kama Kweli Anautaka Ubunge

Mzee Majuto  kwa mara ya kwanza ameamua kufunguka kumuunga mkono Wema Sepetu kwa nia yake ya kutaka kuwa mbunge.Kupitia ukurasa wake mtandaoni, Mzee Majuto ameandika;

Nisingependa kuyaongea haya kwenye mfungu mtukufu ila kiundani ningependa kuonyesha umoja na kumuunga mkono wazo na lengo la Mwanangu kwa kuwa anaweza na amethubutu sasa isitokee wale wasiopenda maendeleo ya watu na taifa hili kuvuruga misingi na mipango madhubuti ya kuwapa nafasi vijana na hasa wanawake kushika hatamu na...

 

10 years ago

Mtanzania

KUMRADHI WEMA SEPETU

wema4Katika gazeti letu la Mtanzania toleo No. 7709 la Alhamisi Januari 22, mwaka huu, tuliandika kimakosa stori yenye kichwa cha habari ‘Wema Sepetu ampeleka Diamond Polisi’. Baada ya kufanya uchunguzi tumejiridhisha habari ile haikuwa na ukweli, kwani chanzo kilichotupatia kilitupotosha, hivyo kuleta usumbufu kwa msanii Wema pamoja na jamii. Kutokana na hali hiyo, tunapenda kumwomba radhi Wema na familia yake. Siku zote sisi MTANZANIA tumekuwa makini katika kusimamia misingi ya habari za weledi...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani