Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHIJA: SITEMBEI NA MASTAA

Stori: Mayasa Mariwata
STAA wa filamu Bongo, Deogratius Shija amesema katika maisha yake hafikirii kutoka kimapenzi na mwanamke yoyote ambaye ni msanii hususani kuingia naye katika maisha ya ndoa. Deogratius Shija. Akizungumza na paparazi wetu alisema, kamwe hawezi kukurupuka akajiingiza mkenge kumuoa msanii kwa kuwa hana imani na wasanii wa kike na hajawahi kujihusisha nao kimapenzi, kwani  mastaa wengi ni walaghai...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

‘EE MUNGU SITEMBEI TENA, NASUBIRI KIFO CHANGU TU’

Na Gabriel Ng’osha
WAGOMBANAPO mafahari wawili ziumiazo ni nyasi, haya yametokea kwa Joyce Kauzeni (43) mkazi wa Kibamba, jijini Dar e s Salaam baada ya kupooza sehemu kubwa ya mwili wake, kutokana na mgomo wa madaktari nchi nzima uliotokea Juni, 2012 kwa ajili ya kuishinikiza serikali kutimiza madai yao kumi, likiwemo la masilahi. Miguu ya Joyce Kauzeni ikiwa imepooza. Akisimulia mkasa huo mume wa Joyce, Lazaro...

 

10 years ago

GPL

ISHU YA MASTAA KUJIUZA CATHY AWALAUMU MASTAA WA KIUME

Na Mayasa Mariwata
MKONGWE kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ amewalaumu vikali mastaa wa kiume Bongo kuwa ndiyo chanzo kikubwa cha tasnia kutawaliwa na mastaa wa kike wanaojiuza. Mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ Akizungumzia kuhusiana na kuwepo kwa madai ya wasanii wa kike Bongo Movie kujiuza, Cathy alisema hawezi kuweka wazi kama anawajua wahusika au...

 

10 years ago

Michuzi

DR WILLIAM SHIJA R.I.P

I am saddened by   the untimely  death  of  Dr  William  Shija  , Baba, a  friend and  above  all  a  diplomat.I  had  known  Dr  William  Shija. Since  his  appointment  as  the  secretary  General in  London, by  then I  was   a sitting  journalist  covering   the  British  houses  of  Parliament and  the  West  Minister  Village,  clicked instantly  and  I had the honour to being   the  first  journalist  to  interview  him  since  he was  the  The  first  ethnic  Minority  person  to ...

 

11 years ago

IPPmedia

Dr William Shija


IPPmedia
Dr William Shija
IPPmedia
The Parliament has been urged to formulate specific laws that will help legislators to oversee government budget expenditures and the imposing of punishment against civil servants abusing public funds. This was said on Monday by the Secretary General of ...

 

10 years ago

GPL

MAPACHA WA SHIJA WAIBUKA!

Mapacha wa waliopata umaarufu kupitia kwa mwigizaji, Deogratius Shija, Christina Mroni na Regina Mroni wakiwa kwenye pozi.
Mwandishi wetu
Vunja ukimya! Baada ya kupotea kwa muda mrefu kwenye sanaa ya filamu Bongo, mapacha wa waliopata umaarufu kupitia kwa mwigizaji, Deogratius Shija, Christina Mroni na Regina Mroni, wameibuka na kueleza sababu iliyowapoteza kuwa walikuwa wanalea. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, mmoja wa...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Bongo Movies

Shija Amshirikisha Kajala

Muigizaji na muongozaji wa filamu, Deogratious Shija amekuja na filamu mpya ya ‘Love and Pain’ ambayo imetoka wiki iliyopita akimshirikisha Kajala Masanja.

Shija ameeleza kuwa filamu hiyo inahusu mapenzi na imekuja ili kuvunja kimya chake cha mudda mrefu kitu ambacho kinafanya mashabiki wake kujua kuwa ameishiwa kisanaa.

Shija amesema katika  filamu hiyo amewashirikisha wakali kama Hemmed PHD, Kajala na Yvone Bigilwa.

 

11 years ago

GPL

SHIJA ATONGOZWA NA SHOGA

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu za Kibongo, Deogratius Shija hivi karibuni alijikuta katika wakati mgumu baada ya kutongozwa na shoga. Deogratius Shija. Akitema mbili tatu na paparazi wetu, Shija alisema tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika Ukumbi wa Traventine-Magomeni, Dar ambapo alitoka na kwenda msalani akiwa hajui hili wala lile alishtuka baada ya kumsikia mwanaume akimpapasa huku akimwambia kuwa anampenda....

 

10 years ago

GPL

SHIJA AMWANIKA MWANAYE

Msanii wa filamu Bongo, Deogratius Shija akiwa na mwanaye, Theresia Shija (14). Stori: Gladness Mallya/Ijumaa Wikienda
KWA mara ya kwanza msanii wa filamu Bongo, Deogratius Shija amemwanika mwanaye na kudai ndiye faraja kwake kila anapomuona. Shija alisema mwanaye aliyemtaja kwa jina la Theresia Shija (14), amekuwa ni faraja kubwa katika maisha yake na kila anapomwangalia anapata nguvu ya kufanya kazi. “Ukweli nimekuza,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani