ISHU YA MASTAA KUJIUZA CATHY AWALAUMU MASTAA WA KIUME
![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxY86mIhSd1SkilbzSd1sHMUhbJLy3nt4AkE-9m2oiCzgzDfjO5mZUemaejGaS1vIRh-d9BPEXH*Ma5pOUp424Oj/CATHY.jpg?width=650)
Na Mayasa Mariwata MKONGWE kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ amewalaumu vikali mastaa wa kiume Bongo kuwa ndiyo chanzo kikubwa cha tasnia kutawaliwa na mastaa wa kike wanaojiuza. Mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ Akizungumzia kuhusiana na kuwepo kwa madai ya wasanii wa kike Bongo Movie kujiuza, Cathy alisema hawezi kuweka wazi kama anawajua wahusika au...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLAUNT LULU AKIRI MASTAA KUJIUZA MITANDAONI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfiqPvmGUhlFkYDLDxeTRfLgzTwFjPKX-xe*yCEbwvGXRzNiyKyyR0D4wuheovFL9kCQ6rdwCWhd3476twa5YI6J/cathy.jpg?width=650)
CATHY ATANGAZA VITA NA MASTAA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUl0oUncw0sttvcfX8097gIx-PYC8O1PTtDUSymvxUHvJinJIEmWsv9JHq-Af0KRgeSgFsYopXaBNWQVQkY6ycpb/g.jpg)
MASTAA: WATOTO KWANZA, NDOA SIYO ISHU
10 years ago
Bongo Movies14 Jan
Mastaa wa Kike: Watoto Kwanza, Ndoa Siyo Ishu
WAKATI mastaa kadhaa wa kike wa filamu Tanzania wakionekana umri wao kuwatupa mkono, lakini wakiwa hawana ndoa wala watoto, baadhi yao wamefunguka kuwa wanahitaji zaidi kupata uzao kuliko kuishi maisha ya kuolewa.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam, walisema suala la ndoa ni majaaliwa na si jambo unaloweza kupanga, kwa vile mwenye uwezo wa kufanya hayo yote ni Mungu, kama ilivyo katika kuamua kuzaa au la.
Coletha Raymond ‘Koletha’, alisema katika maisha ya Kitanzania,...
10 years ago
GPLMASTAA WA KIUME WALIOBAKIZA MAJINA MJINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT2KjdOTbHh3KuziUn13Iz0Qedkbv-84BbFAXeTUe2lIpNDXysSPiEO15q*tHLMI6Y0CjcmC9CiGFhHXH4TI-OrY/Top10.jpg)
TOP TEN YA MASTAA KUVAA NUSU UTUPU SIYO ISHU KWAO!
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Peter-Okoye-Lola-Okoye.jpg)
MASTAA WA KIUME WENYE MADEMU ‘VISU’ ZAIDI AFRIKA
10 years ago
Bongo Movies16 Mar
Shamsa Ford: Hawa Ndio Mastaa Wangu wa Tano wa Kiume Hapa Bongo
“Kwa upande wangu mimi kuna wanaume wa 5 ambao huwa nasemaga ni mastaa kupitiliza, yaani naamanisha akipita mtaani ni shida na kila mtu lazima ajue msanii kapita.. (1)Mzee majuto (2)Mboto (3)Kingwendu(4)Joti(5)Jacob……Hawa watu kwanza wanaongoza sana kupendwa na watoto yaani wakipita mtaani ni shida.aisee Mungu awabariki....na wewe nitajie wako 5 unaona wakipita mtaani kwako inakuwaga ni hekaheka”-Shamsa aliandika mtandaoni.
Hebu na sisi tuwataje wetu.