AUNT LULU AKIRI MASTAA KUJIUZA MITANDAONI
Mwanadada mwenye umbo la utata Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’ MWANADADA mwenye umbo la utata Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’ ameibuka na kueleza kwamba mastaa wamegundua njia mpya ya kujiuza ambayo ni kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii. Akistorisha na gazeti hili, Aunt Lulu alisema mastaa wengi wa kike wanajiuza kwenye mitandao ambapo mapedeshee waliopo mikoa mbalimbali wakishaziona picha zao...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxY86mIhSd1SkilbzSd1sHMUhbJLy3nt4AkE-9m2oiCzgzDfjO5mZUemaejGaS1vIRh-d9BPEXH*Ma5pOUp424Oj/CATHY.jpg?width=650)
ISHU YA MASTAA KUJIUZA CATHY AWALAUMU MASTAA WA KIUME
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/skuCKHlxf8UCcj3IgILfZas5jLpV2ipOMsu8urntW4gTBXl65lyTlt**nt0aH4ka526ZKyPJjwVAq89D0ZsK61BkXMrQxbYX/Davina.jpg)
DAVINA AKIRI WASANII KUJIUZA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Apuk65MO0R3SmqNAo5G4PPrmCsTIWvVABrI8O7cY1EtImxlmTxgz2Hw3FOWFDb9zIEEaqT4-nnnSeO-eTSR4n06LW43jKcLw/aunt.jpg?width=650)
AUNT EZEKIEL AKIRI MUMEWE KUKAMATWA DUBAI
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Mastaa wa muziki walivyoongoza kuuza mitandaoni >> Alikiba, Christian Bella, Vee Money na Weusi..
Nafasi ya muziki kwa sasa imekua kubwa sana kiasi kwamba wasanii wetu wa Tanzania mbali na kutotoa album tena lakini wamekua na nafasi ya kuuza singo moja moja, mitandaoni na huko ndio zinakusanywa pesa nyingine pia na matunda ya muziki wao. Sasa tovuti inayouza ngoma za wasanii mitandaoni, Mkito.com wametupa list kamili ya wasanii waliiongoza […]
The post Mastaa wa muziki walivyoongoza kuuza mitandaoni >> Alikiba, Christian Bella, Vee Money na Weusi.. appeared first on...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zdyFMqJvbXJKCdOWdaBRKj1-jJRMaqb-usJ9Jc6Hq9O7s-oHHFDeDDYB*jT-z4L1yPnASZoRfZ*dR7XRoPl930ohY04H*87e/1.jpg?width=650)
BETHIDEI YA AUNT YAHUDHURIWA NA MASTAA KIBAO
11 years ago
Mwananchi18 Feb
Lulu akiri mahakamani kuwa mpenzi wa Kanumba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0FoxLxd*pHFiAlgqlsYRauOFDDFs-ZH-Fkt24SHqaRTnr8yNldhr*cEctXXMj*sTewEqUfyzwZQn6C1cbUQFjJZp/AuntLulu.jpg?width=650)
AUNT LULU HOI KITANDANI
10 years ago
Bongo Movies07 Jul
Aunt Lulu Awashangaa Wanawake Wanaomkosoa
Mtangazaji na muigizaji wa filamu hapa Bongo, Lulu Mathias ‘Aunty Lulu’ amewashangaa wanawake wote ambao wamekuwa wakimtukana kila anapoweka picha zenye mikao ya kihasara kwenye mtandao ya kijamii na kusema endapo wataendelea atawachukulia mabwana zao.
Akizungumza na Tanuru la Filamu, Aunt Lulu alisema kwamba wanawake ndiyo wanaongoza kumtukana kila akiweka picha za kuonyesha jinsi Mungu alivyolia kumuumba na kumpa mapaja yenye ushawishi kwa kila anayeyaangalia awe wa kike ama...
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Aunt Lulu, huko ni kujirahisi kulikopitiliza!
LULU Mathias Semagongo ndilo jina lake halisi, lakini watu wa burudani wanamfahamu zaidi kama Aunt Lulu. Ni binti mmoja mdogo aliyezaliwa mwaka 1987.
Historia yake inaonesha ni binti aliyekuwa na kipaji, kwani katika umri mdogo, tayari alikuwa mtangazaji wa kipindi cha watoto kilichokuwa kikiendeshwa na redio ya kwanza binafsi nchini, Radio One, kilichoitwa Watoto Show.
Binafsi nilimfahamu kuanzia mwaka 2006, alipokuwa mmoja kati ya washiriki wa shindano lililosisimua enzi hizo, la kusaka...