AUNT LULU HOI KITANDANI
![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0FoxLxd*pHFiAlgqlsYRauOFDDFs-ZH-Fkt24SHqaRTnr8yNldhr*cEctXXMj*sTewEqUfyzwZQn6C1cbUQFjJZp/AuntLulu.jpg?width=650)
Na Hamida Hassan Staa wa Filamu za Kibongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’ yupo hoi kitandani baada ya kusumbuliwa na jino la juu ambalo anahofia kulitoa. Staa wa Filamu za Kibongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’. Akizungumza na Amani, Aunt Lulu alisema kuwa anajiona amekonda kwa maumivu ya jino tu na kutokana na vitisho anavyovipata kutoka kwa marafiki zake anaogopa kwenda kuling’oa. “Yaani...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/skuCKHlxf8VDn1TrT1UN-1usrA*WakZpuAfPSld1LP3V3OlFvos9XjB21RuQmljsTB*SPAOr2bE-QlxTuLrutuuFvFdai9HQ/RisasiJmooo.jpg)
BABA, MAMA DIAMOND HOI KITANDANI
9 years ago
Bongo Movies21 Dec
Maneno Haya ya Lulu Kwenye Picha Hii ya Waacha Hoi Mashabiki Wake
Hapa na Pale: Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewacha watu hoi baada ya kubandika picha hiyo hapo chini ikimuonyesha yeye na baba yake mzazi ‘Mzee Michael’ na kumwagia sifa baba yake huku akiomba dua aje kuzaa mtoto atakaye fanana na baba yake (Mzee Michael) kitendo ambacho kila shabiki yake mtandaoni alikuwa na yake ya kusema.
“Le Mbebe…! Le Super HandsomeLe Twinnie
Mzaa Chema…Mzee Michael..!!!
Ewe Mtoto Wangu WA...
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Aunt Lulu, huko ni kujirahisi kulikopitiliza!
LULU Mathias Semagongo ndilo jina lake halisi, lakini watu wa burudani wanamfahamu zaidi kama Aunt Lulu. Ni binti mmoja mdogo aliyezaliwa mwaka 1987.
Historia yake inaonesha ni binti aliyekuwa na kipaji, kwani katika umri mdogo, tayari alikuwa mtangazaji wa kipindi cha watoto kilichokuwa kikiendeshwa na redio ya kwanza binafsi nchini, Radio One, kilichoitwa Watoto Show.
Binafsi nilimfahamu kuanzia mwaka 2006, alipokuwa mmoja kati ya washiriki wa shindano lililosisimua enzi hizo, la kusaka...
10 years ago
Bongo Movies07 Jul
Aunt Lulu Awashangaa Wanawake Wanaomkosoa
Mtangazaji na muigizaji wa filamu hapa Bongo, Lulu Mathias ‘Aunty Lulu’ amewashangaa wanawake wote ambao wamekuwa wakimtukana kila anapoweka picha zenye mikao ya kihasara kwenye mtandao ya kijamii na kusema endapo wataendelea atawachukulia mabwana zao.
Akizungumza na Tanuru la Filamu, Aunt Lulu alisema kwamba wanawake ndiyo wanaongoza kumtukana kila akiweka picha za kuonyesha jinsi Mungu alivyolia kumuumba na kumpa mapaja yenye ushawishi kwa kila anayeyaangalia awe wa kike ama...
10 years ago
GPLAUNT LULU AKIRI MASTAA KUJIUZA MITANDAONI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UxG8FbEp4za7-rcy2WqNQL3NtuCreaencEjsJDnYwEwKpG1Td2zQx4W4WqK-88Dej8FiVhRJP05iYhyNVUy1lpwhFHM9DpQ4/auntlulu.gif)
AUNT LULU APIGWA TENA NA BWANA’KE
11 years ago
GPLETI AUNT LULU ALIA KUKOSA BWANA!
10 years ago
GPLADAIWA KUBANJUKA NA AUNT, AJITOSA KWA LULU - 7
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX7NRVZY3VyH6MuvzeFzBmHY7e0W0KueFE0gl*5d8cjAOAa3E4u-MBqlQ4k-YnmLsZeoBncFhqu473geqITybAxY/Lulu.jpg)
AUNT LULU AANZA MWAKA KWA KUPIMA ‘NGOMA’